Mjadala: Je, Tuzo ya Mashabiki tuliyopata Wanachama wa Simba ina maana gani?

Hili nalo tulitazame [emoji1]
Ningekua mimi ile tuzo ningeikataa au ningeificha kwa kutoipa umuhimu.yani ningeifanya kama kakitu fulani kadogo kasikokua na umuhimu. Na hata kwenye frem ya tunzo zingine nisinge iweka pamoja.
Mtu akija kuangalia tuzo ataiona kama yupo Rwanda na sio timu ya tanzania.hivyo kiongozi makini asingekubali kuionyesha kwa sifa, wakati ule ni mtego wa kutuzalau.

Tatizo zoezi zima la bodi ya mpira hapa waliingiza simba kwenye hilo kombe kwa ushabiki lakini sio kwa uzalendo.
Ndio maana wamesahau hata kuishauri serkali angalau kuweka chochote cha kutangazia hapa cha kwenye nchi yetu.

Maana wangeteua timu kwa uzalendo pia na akili ya kuweka cha kutangaza wasingekosa na kweye tuzo kama hii wangekiweka/ kukiandika pale mbele ya tuzo kama ilivyo hiyo sasa.
 
Daaah sema kagame ni mafia sana .....[emoji23][emoji23]
 
Hebu tuwasikie wenyewe wanasemaje
Bโ€ฆ Mdakuzi
B... mbona nilishasema jamani kuhusu hili kwenye thread nyingine ya hivi. Pia, nilishajadili na wewe pia kuwa mashabiki wa Simba ndiyo mashabiki bora, lakini hukuwa tayari kukubali.

Sasa CAF wameshasema kuwa, mashabiki bora kwa Afrika nzima ni mashabiki wa Simba, hayo mengine ni kama jambo la kuwafariji mashabiki wasiokuwa bora. Sisi ni bora.

Na maana ya ubora ni kwamba mmefanya vizuri kama mashabiki katika kushikamana na timu yenu hadi kufikia huo wakati wa kutolewa hiyo tuzo.

Ova
 
Kushikamana kwa mechi 2? Acheni kulazimisha mambo bโ€ฆ

Hiyo ni kifuta machozi mmepewa, mlipania sana mmeonewa huruma walau na nyie.
Na hivi Hersi aliwapa taarifa ya goal 5โ€ฆ

Nyie mna ushabiki gani kuzidi Waarabu wa Misri, Algeria & Morocco?
Soka limejaa siasa, na Afrika ndio kumeoza.
 

Tuzo ya ushabiki bora inawafanya makolo muwe wakubwa afrika ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kote huko hawakujaza viwanja vyao kama ambavyo sisi tulijaza kwa Mkapa. Usitishike na wale watu wanaojaza jukwaa moja tu. Sisi huwa tunayajaza yote ya pande zote nne.

Ova
 
Ni kweli ni supu ya vibudu au wenye nia ovu wanachafua tu?
 
Mkuu hivi mashabiki wa bongo wanajaza uwanja kuliko wale wa North Africa kweli?
 
Ulitaka wapewe wale fungulia mbwa na ticket za bure kutoka kwa wanasiasa hao ni mashabiki wanaojiweza sio wanaokaa karibu na mitaro kunywa supu.
 
Kote huko hawakujaza viwanja vyao kama ambavyo sisi tulijaza kwa Mkapa. Usitishike na wale watu wanaojaza jukwaa moja tu. Sisi huwa tunayajaza yote ya pande zote nne.

Ova
Usisahau kuwa wananchi tulikuwepo wakutosha
 
Mna akili wachache sana huko...
Sio kina Labani og kichwa chake kimejaa utopolo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ