Mjadala: Je, Tuzo ya Mashabiki tuliyopata Wanachama wa Simba ina maana gani?

Uzuri hunaga makasiriko [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji196][emoji196][emoji196]weee
Jf naielewa vzr .....[emoji1][emoji1]
Hii mbinu ndio tunayotumia Kwa jenta .....tukitaka alimwe ban.....unampanikisha kidgo ....anatukana then analiwa kichwa[emoji23][emoji23]
 
Jf naielewa vzr .....[emoji1][emoji1]
Hii mbinu ndio tunayotumia Kwa jenta .....tukitaka alimwe ban.....unampanikisha kidgo ....anatukana then analiwa kichwa[emoji23][emoji23]
Na hana mshipa wa uvumilivu yule.... 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Jee supu ya vibudu yenye kimeta ina faida gani kwa gongowazi?
 
Wengi waliokunywa ile supu ya vibudu wameugua sana matumbo ya kuhara.
 
Kweli mlionewa huruma. Inasikitisha sana mtu yupo mjini anavaa nguo kama hizo kisa zinarangi nyekundu muda mwingine mashabiki hawako smart iwe simba au yanga ila hii ni aibu asee suruali karume hadi 3k unapata mtu anajidhalilisha kwaa kuvaa mavitu yamechanika dah kweli kwa hali hii acha wa mkoani wafaidi unaweza ukawa unaishi mjini ila alieko kijijini akawa anakuhurumia wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…