Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 329
- 413
Makelele ni uchafu kama uchafu mwingine na kuna kiwango maalum kinachoruhusiwa na NEMC. Iwapo mtaani kwako kuna Kelele unatakiwa ureport ofisi yabNEMC iliyopo karibu yako. Kelele za Makanisa zikizidi kiwango fulani ni kosa na kuna adhabuHellow wanafamilia wa jf
Kumekuwa na haya makanisa yakilokole yanayoota kama uyoga katikati ya makazi yetu,, na likiwepo basi ni kelele mtindo mmoja
Ninapoishi mimi kuna kikanisa kidogo cha aina hii karibu (umbali wa mita 30 tu) ikifika jioni nimerudi kazini siwezi hata kupumzisha kichwa ndani kwangu maana si kwa kelele hizi za maombi na miziki
Je umewahi kupitia hali kama yangu?
Karibu tupeane uzoefu wa jinsi yakukabiliana na hali kama hii,, maana imefikia hatua nachukia makazi yangu.
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Asante sana mkuu [emoji1431]Makelele ni uchafu kama uchafu mwingine na kuna kiwango maalum kinachoruhusiwa na NEMC. Iwapo mtaani kwako kuna Kelele unatakiwa ureport ofisi yabNEMC iliyopo karibu yako. Kelele za Makanisa zikizidi kiwango fulani ni kosa na kuna adhabu
Bunge laagiza NEMC kudhibiti muziki wa kelele kwenye makazi - HabariLeo
BUNGE limeitaka Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira kupitia Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) idhibiti uchafuzi wa mazingira kupitia kelele zinazotokana na muziki au mambo mengine katika makazi ya watu. Naibu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu ametoa agizo...habarileo.co.tz
🙏🏽
Naona NEMC wamesikia Kilio Chako- Mei Mosi wanaingia Mzigoni😀Hellow wanafamilia wa jf
Kumekuwa na haya makanisa yakilokole yanayoota kama uyoga katikati ya makazi yetu,, na likiwepo basi ni kelele mtindo mmoja
Ninapoishi mimi kuna kikanisa kidogo cha aina hii karibu (umbali wa mita 30 tu) ikifika jioni nimerudi kazini siwezi hata kupumzisha kichwa ndani kwangu maana si kwa kelele hizi za maombi na miziki
Je umewahi kupitia hali kama yangu?
Karibu tupeane uzoefu wa jinsi yakukabiliana na hali kama hii,, maana imefikia hatua nachukia makazi yangu.
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Thanks for the link broHili la nyumba za ibada kujengwa katikati ya makazi ya watu limekaaje?
Hello Tanzania Hivi serikali ina taratibu zozote kwenye kutoa vibali za nyumba za ibada? Na ina taratibu gani? Serikali haina dini ila watu wake wana dini. Katika hali isiyo ya kawaida hasa kwa makanisa ya kilokole huwa yanakawaida ya kuanzisha makanisa hovyo hata katika ya makazi ya watu...www.jamiiforums.com
Safi [emoji1433]Naona NEMC wamesikia Kilio Chako- Mei Mosi wanaingia Mzigoni[emoji3]
Haya makanisa Boss ni ya sisi Maskini! Mchungaji anasema Nanyua simu yako juu Mpesa ikuingizie pesa 😂Masaki akuna mjinga wa kumwambia anunue maji au mafuta ya upako eti awe tajiri.Hivi wana makanisa masaki?,sijawahi yaona kabisa haha au kule wanasali kimya kimya
mbwembwe wakipewa hela hawafanyi loloteMakelele ni uchafu kama uchafu mwingine na kuna kiwango maalum kinachoruhusiwa na NEMC. Iwapo mtaani kwako kuna Kelele unatakiwa ureport ofisi yabNEMC iliyopo karibu yako. Kelele za Makanisa zikizidi kiwango fulani ni kosa na kuna adhabu
Bunge laagiza NEMC kudhibiti muziki wa kelele kwenye makazi - HabariLeo
BUNGE limeitaka Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira kupitia Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) idhibiti uchafuzi wa mazingira kupitia kelele zinazotokana na muziki au mambo mengine katika makazi ya watu. Naibu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu ametoa agizo...habarileo.co.tz
Sio lazima ukoment! Nna jua sehem zaidi ya 3 ambazo NEMC wamedeal nazo kutokana na Kupiga mziki kwa sauti kubwa! Hela ya kuwapa mpaka wakashindwa tekeleza wajibu wao wewe unazo?? Inaonekana ata mlo mmoja kupata ni shidambwembwe wakipewa hela hawafanyi lolote
Mmechukua hatua gani hadi sasa mkuu,, au ndo mnavuliana tu [emoji848]Mtaani kwetu sidhani kama kutakua na pepo wachafu, tumezungukwa na makanisa mawili, full kukemea pepo kuanzia saa 11 asubuhi... Utake usitake maomba yatakufikia huko huko ulipo, hata kama ni usingizini.
SAUTI ZAO ni Balaaa...!!!!!
Ukijua wewe inatosha, nimeshacomment na hauna lolote la kufanya.Sio lazima ukoment! Nna jua sehem zaidi ya 3 ambazo NEMC wamedeal nazo kutokana na Kupiga mziki kwa sauti kubwa! Hela ya kuwapa mpaka wakashindwa tekeleza wajibu wao wewe unazo?? Inaonekana ata mlo mmoja kupata ni shida
Hellow wanafamilia wa JF,
Kumekuwa na haya makanisa ya kilokole yanayoota kama uyoga katikati ya makazi yetu, na likiwepo basi ni kelele mtindo mmoja.
Ninapoishi mimi kuna kikanisa kidogo cha aina hii karibu (umbali wa mita 30 tu) ikifika jioni nimerudi kazini siwezi hata kupumzisha kichwa ndani kwangu maana si kwa kelele hizi za maombi na miziki.
Je umewahi kupitia hali kama yangu?
Karibu tupeane uzoefu wa jinsi yakukabiliana na hali kama hii, maana imefikia hatua nachukia makazi yangu.
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app