Mjadala: Jinsi yakupambana na kero za kelele za makanisa ya kilokole mitaani kwetu

Mjadala: Jinsi yakupambana na kero za kelele za makanisa ya kilokole mitaani kwetu

Kuna kikanisa kimoja UCHWARA jirani yangu kilitaka kutuchezea hivyo hivyo.
Nikawafuata na kuwaambia kama mna vimaombi vyenu UCHWARA anzeni asubuhi hadi saa tano USIKU iwe mwisho.
Matokeo yake wakawa wanaanza saa TANO usiku hadi saa tisa au kumi alfajiri

Nilichofanya ni kwenda Karia koo na kununua yale maspika kama ya msikitini (Nimesahau jina lake).

Nikayafunga kuelekezea liliko kanisa.
Wakianza saa TANO yao na mimi nafungulia mziki wangu - Wakanitafuta na kuniahidi kunipooza.

Wakaja kunifungia gypsum ndani na kuniwekea vioo ili makelele yao nisiyasikie na kila jumamosi naenda kuchukua SADAKA na kuzinywea Bia [emoji481].
Hivyo
 
Hellow wanafamilia wa JF,

Kumekuwa na haya makanisa ya kilokole yanayoota kama uyoga katikati ya makazi yetu, na likiwepo basi ni kelele mtindo mmoja.

Ninapoishi mimi kuna kikanisa kidogo cha aina hii karibu (umbali wa mita 30 tu) ikifika jioni nimerudi kazini siwezi hata kupumzisha kichwa ndani kwangu maana si kwa kelele hizi za maombi na miziki.

Je umewahi kupitia hali kama yangu?

Karibu tupeane uzoefu wa jinsi yakukabiliana na hali kama hii, maana imefikia hatua nachukia makazi yangu.

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Nenda kashitaki kwa mtendaji...wanamiongozo na taratibu wamepewa hawaruhusiw kupiga makelele na siku ya ibada ni jumapili...nimepitia hio kadhia nikaenda kushtaki..mpaka leo kimya wanapiga kelele jumapili tu
 
Subiria watu watu wa taifa teule waje.
waisrael wa Gairo na bariadi
 
Nenda kashitaki kwa mtendaji...wanamiongozo na taratibu wamepewa hawaruhusiw kupiga makelele na siku ya ibada ni jumapili...nimepitia hio kadhia nikaenda kushtaki..mpaka leo kimya wanapiga kelele jumapili tu
Asante kwa ushauri ndugu,, nitajitahidi niende huko [emoji1431][emoji1431]

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Haya makanisa Boss ni ya sisi Maskini! Mchungaji anasema Nanyua simu yako juu Mpesa ikuingizie pesa [emoji23]Masaki akuna mjinga wa kumwambia anunue maji au mafuta ya upako eti awe tajiri.
Kutofuata mipango miji ndo tatizo kubwa Tanzania, kwa sasa kila nyumba ina frame mbele
 
Hellow wanafamilia wa JF,

Kumekuwa na haya makanisa ya kilokole yanayoota kama uyoga katikati ya makazi yetu, na likiwepo basi ni kelele mtindo mmoja.

Ninapoishi mimi kuna kikanisa kidogo cha aina hii karibu (umbali wa mita 30 tu) ikifika jioni nimerudi kazini siwezi hata kupumzisha kichwa ndani kwangu maana si kwa kelele hizi za maombi na miziki.

Je umewahi kupitia hali kama yangu?

Karibu tupeane uzoefu wa jinsi yakukabiliana na hali kama hii, maana imefikia hatua nachukia makazi yangu.

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app

Mie ni msikiti, nyumba ya makazi jirani yetu sijui ikawaje ikageuzwa msikiti! Wakavunja baadhi ya vyumba kukidhi mahitaji yao.

Tabu ni kwamba wanatumia speaker kuendeshea ibada, adhana si shida sana.

Kuwe na sheria itakayosimamia uanzishwaji wa nyumba za ibada na mabaa, kumbi na groceries. Badala ya sasa mtu akilala hana kazi kesho yake anageuza nyumba yake kuwa ya ibada au anafungua baa hapo. Hali ni mbaya sana huku mitaani.
 
Back
Top Bottom