Lawama hazijawahi kuondoa tatizo,
Kila jambo lina faida na hasara!
Moja ya faida ya mizengwe iliyotokea katika mpira wetu ituamshe ili tuboreshe kanuni na sheria ili kulinda hadhi ya ligi!
Pasipo kunyoosheana vidole kipi kitakuwa suruhisho la kudumu ili haya mambo ya mizengwe yasiendelee kiasi cha kuumiza wapenzi na washabiki wa mpira?
Kwa maoni yangu! Tuboreshe kanuni isomeke hivi.
1. Timu ngeni itahitaji kuutumia uwanja siku moja kabla ya mechi pasipo kuomba ridhaa ya timu mwenyeji, Timu wenyeji wakibainika wameihujumu timu ngeni kwa namna isiyofaa ili kukwamisha zoezi watapokonywa point 6
2. Timu hairuhusiwi kugomea mechi kabla ya malalamiko ya shauri lao kutolewa maamuzi na bodi ya ligi, kutangaza kutoshiriki kabla ya maamuzi ya bodi itatafsiliwa kuwa ni kuizarau mamlaka ya ligi
3. Timu yoyote itayothibitika kuzarau mamlaka ya ligi itashushwa daraja
4. Mechi iliyo ahirishwa kwa sabababu za kinanuni haitakuwa na kiingilio kwa mashabiki endapo timu zote mbili zitakapokutana awamu inayofuata.
5. Bodi ya ligi itatoa ufafanuzi wa malalamiko masaa 6 kabla ya mechi kuchezwa, Bodi ya ligi haitakuwa na mamlaka ya kuahirisha mechi kwa makosa ya kikanuni ndani ya masaa 12 kabla ya mechi
6. Uongozi unaosimamia uwanja utalazimika kuwepo eneo la uwanja masaa 60, kutokuwepo eneo la uwanja kutatafsiliwa kuahilishwa kwa mechi na bodi ya ligi itatangaza hilo.
7. Waamuzi wa mchezo wanaweza kubadilishwa kuamua mechi endapo kuna malalamiko yatayowasilishwa kwa nakala kabla ya saa 6 za mchezo kuchezwa
HAYA NI MAONI YANGU; WEWE UNA Maoni gani ili kuwepo kanuni za kudumu kukomesha mizengwe karibu katika mjadala!
Kila jambo lina faida na hasara!
Moja ya faida ya mizengwe iliyotokea katika mpira wetu ituamshe ili tuboreshe kanuni na sheria ili kulinda hadhi ya ligi!
Pasipo kunyoosheana vidole kipi kitakuwa suruhisho la kudumu ili haya mambo ya mizengwe yasiendelee kiasi cha kuumiza wapenzi na washabiki wa mpira?
Kwa maoni yangu! Tuboreshe kanuni isomeke hivi.
1. Timu ngeni itahitaji kuutumia uwanja siku moja kabla ya mechi pasipo kuomba ridhaa ya timu mwenyeji, Timu wenyeji wakibainika wameihujumu timu ngeni kwa namna isiyofaa ili kukwamisha zoezi watapokonywa point 6
2. Timu hairuhusiwi kugomea mechi kabla ya malalamiko ya shauri lao kutolewa maamuzi na bodi ya ligi, kutangaza kutoshiriki kabla ya maamuzi ya bodi itatafsiliwa kuwa ni kuizarau mamlaka ya ligi
3. Timu yoyote itayothibitika kuzarau mamlaka ya ligi itashushwa daraja
4. Mechi iliyo ahirishwa kwa sabababu za kinanuni haitakuwa na kiingilio kwa mashabiki endapo timu zote mbili zitakapokutana awamu inayofuata.
5. Bodi ya ligi itatoa ufafanuzi wa malalamiko masaa 6 kabla ya mechi kuchezwa, Bodi ya ligi haitakuwa na mamlaka ya kuahirisha mechi kwa makosa ya kikanuni ndani ya masaa 12 kabla ya mechi
6. Uongozi unaosimamia uwanja utalazimika kuwepo eneo la uwanja masaa 60, kutokuwepo eneo la uwanja kutatafsiliwa kuahilishwa kwa mechi na bodi ya ligi itatangaza hilo.
7. Waamuzi wa mchezo wanaweza kubadilishwa kuamua mechi endapo kuna malalamiko yatayowasilishwa kwa nakala kabla ya saa 6 za mchezo kuchezwa
HAYA NI MAONI YANGU; WEWE UNA Maoni gani ili kuwepo kanuni za kudumu kukomesha mizengwe karibu katika mjadala!