Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Miaka 50 ijayo?Hapa tunajadili solution ya wakati huu, siyo mambo ya miaka 50 ijayo.
Simba na Yanga zimeanzishwa lini? Na KMC na Azam Fc zimeanzishwa lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 50 ijayo?Hapa tunajadili solution ya wakati huu, siyo mambo ya miaka 50 ijayo.
Bila kusahau kupiga marufuku vizee vyenye mavazi ya asili kama vibwaya na kaniki vikiwa vimebeba tunguri na ambao sio sehemu yeyote ya benchi la ufundi la timu siku ya mazoezi ya mwisho ya timu kabla ya mechi.Wanyama na ndege wa kufugwa hawaruhusiwi eneo la mchezo timu itakayobainika kuleta viumbe hao itapewa adhabu kali
HahahBila kusahau kupiga marufuku vizee vyenye mavazi ya asili kama vibwaya na kaniki vikiwa vimebeba tunguri na ambao sio sehemu yeyote ya benchi la ufundi la timu siku ya mazoezi ya mwisho ya timu kabla ya mechi.
Hiyo mechi iliisha ahirishwa, hakuna anayeweza kurudisha muda nyuma.Hapa tunajadili solution ya wakati huu, siyo mambo ya miaka 50 ijayo.
Hebu tuongee ukweli, simba ni mgeni na uwanja wa mkapa? Game ya azam si alichezea pale?Lawama hazijawahi kuondoa tatizo,
Kila jambo lina faida na hasara!
Moja ya faida ya mizengwe iliyotokea katika mpira wetu ituamshe ili tuboreshe kanuni na sheria ili kulinda hadhi ya ligi!
Pasipo kunyoosheana vidole kipi kitakuwa suruhisho la kudumu ili haya mambo ya mizengwe yasiendelee kiasi cha kuumiza wapenzi na washabiki wa mpira?
Kwa maoni yangu! Tuboreshe kanuni isomeke hivi.
1. Timu ngeni itahitaji kuutumia uwanja siku moja kabla ya mechi pasipo kuomba ridhaa ya timu mwenyeji, Timu wenyeji wakibainika wameihujumu timu ngeni kwa namna isiyofaa ili kukwamisha zoezi watapokonywa point 6
2. Timu hairuhusiwi kugomea mechi kabla ya malalamiko ya shauri lao kutolewa maamuzi na bodi ya ligi, kutangaza kutoshiriki kabla ya maamuzi ya bodi itatafsiliwa kuwa ni kuizarau mamlaka ya ligi
3. Timu yoyote itayothibitika kuzarau mamlaka ya ligi itashushwa daraja
4. Mechi iliyo ahirishwa kwa sabababu za kinanuni haitakuwa na kiingilio kwa mashabiki endapo timu zote mbili zitakapokutana awamu inayofuata.
5. Bodi ya ligi itatoa ufafanuzi wa malalamiko masaa 6 kabla ya mechi kuchezwa, Bodi ya ligi haitakuwa na mamlaka ya kuahirisha mechi kwa makosa ya kikanuni ndani ya masaa 12 kabla ya mechi
6. Uongozi unaosimamia uwanja utalazimika kuwepo eneo la uwanja masaa 60, kutokuwepo eneo la uwanja kutatafsiliwa kuahilishwa kwa mechi na bodi ya ligi itatangaza hilo.
7. Waamuzi wa mchezo wanaweza kubadilishwa kuamua mechi endapo kuna malalamiko yatayowasilishwa kwa nakala kabla ya saa 6 za mchezo kuchezwa
HAYA NI MAONI YANGU; WEWE UNA Maoni gani ili kuwepo kanuni za kudumu kukomesha mizengwe karibu katika mjadala!
Hoja nzuri sana1. Polisi walinde Uwanja kama inahitajika kulinda Uwanja. Badala ya kutumia watu wasiotambulika kisheria.
2. Watu maalumu wabainishwe ktk timu inaporuhusiwa kuingia kufanya mazoezi kabla ya mechi wanapoambatana na timu.
3. Wamiliki wa Uwanja waanishe muda maalumu wa timu kufanya mazoezi, e.g masaa
4. Kanuni zifuatwe na zitafsiriwe endapo zitavunjwa
HahahHiyo mechi iliisha ahirishwa, hakuna anayeweza kurudisha muda nyuma.
Tunajadili ya mbele. Simba wmalize uwanja wao Bunju wafanye mazoezi hata usiku kucha, na Yanga wamalize uwanja wao Jangwani au Kigamboni, na wao wakeshe huko sawa tu, lakini viwanja vya ligi visiwe viwanja vya mazoezi, isipokuwa kwa timu za mikoani au zitokazo nje ya nchi.
Vilabu vinapesa, mnawaacha watu wapuuzi wana filisi halafu mnataka mfanye mazoezi viwanja vya ligi.
Utaupimaje kikanuniYanga waache uchawi
Kulinda uwanjaUtaupimaje kikanuni
Kwenye kanuni unaliandikajeKulinda uwanja