Ungeziongezea thamani habari hizi kwa kudisclose Jina na contacts za huyo DoctaKuna ndugu mmoja( Askofu mstaafu wa K.K.K.T) au maarufu kama Doctor anakaa wilaya ya Loliondo mkoa wa Arusha anatibu magonjwa yote sugu kama Ukimwi,kisukari,magojwa ya moyo,mifupa,ini,figo n.k kwa muda mfupi. Maelfu ya watu kutoka sehemu mbali mbali za nchi,uarabuni,ulaya wanamimini. Binafsi kuna mzee wangu alikuwa na kisukari amepona kabisa. Bei ya dawa ni shilingi mia tano tu.
Bado kuamini mie, kwani wengi wanatibu magonjwa nyemelezi na kufikiri wametibu ukimwi. Je wizara imethibitisha hilo ?
Kuna ndugu mmoja( Askofu mstaafu wa K.K.K.T) au maarufu kama Doctor anakaa wilaya ya Loliondo mkoa wa Arusha anatibu magonjwa yote sugu kama Ukimwi,kisukari,magojwa ya moyo,mifupa,ini,figo n.k kwa muda mfupi. Maelfu ya watu kutoka sehemu mbali mbali za nchi,uarabuni,ulaya wanamimini. Binafsi kuna mzee wangu alikuwa na kisukari amepona kabisa. Bei ya dawa ni shilingi mia tano tu.
Du, bora jamani. Tumechoka kutembea na condomT
Naumia mieee!Du, bora jamani. Tumechoka kutembea na condomT
Hata hiyo avatar yako inonesha unajali ingawa jamaa alim**** house girl wkeDu, bora jamani. Tumechoka kutembea na condomT