Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du, bora jamani. Tumechoka kutembea na condomT
Kuna ndugu mmoja( Askofu mstaafu wa K.K.K.T) au maarufu kama Doctor anakaa wilaya ya Loliondo mkoa wa Arusha anatibu magonjwa yote sugu kama Ukimwi,kisukari,magojwa ya moyo,mifupa,ini,figo n.k kwa muda mfupi. Maelfu ya watu kutoka sehemu mbali mbali za nchi,uarabuni,ulaya wanamimini. Binafsi kuna mzee wangu alikuwa na kisukari amepona kabisa. Bei ya dawa ni shilingi mia tano tu.
Nione haraka nimekufichia dozi yako :coffee:Mimi naumwa mapenzi.
Yaani mapenzi yangu kila siku yanazidi kwa JF..
Nikilala naota jf, nikiamka nawaza jf. Nikinywa maji naiona jf kwenye glasi.
Ndugu mtoa mada, nahisi huo ni ugonjwa. Naweza nikapata dawa ya kupunguza makali?
NB: Sitaki nipone kabisa.
mkuu ww ulikwenda kutibiwa nn? ebu tujuzeJamani mimi nimefika hadi kwa huyo mzee. Sio askofu mstaafu kama mtoa mada anavyosema bali ni mchungaji mstaafu japokuwa bado anafanya kazi za uchungaji. Anatoa dawa aina moja tu (kikombe kimoja cha chai) kwa magonjwa yote iwe HIV, kisukari, pumu, vidonda vya tumbo na mengineyo. Sijathibitisha HIV lakini pumu na kisukari nimethibitisha watu wakipona. Naamini dawa anayotoa inaweza kuponya kwa sababu watu ni wengi sana wanaenda huko kwa siku (zaidi hata ya 100) na ni gharama kubwa kumfuata, zaidi ya km 300 kutokea Arusha mjini na barabara ni mbaya mno. Je ingekuwa watu hawaponi wangegaramika namna hiyo kumfuata huyo mchungaji ilihali hawana hata ushahidi wa mtu aliyemponya?
Jamani kuna mzee mmoja huko Loliondo anatibu magonjwa mengi hadi ukimwi kwa shiiling 500 tu.....haitaji zaidi ya hapo.
Jamani kuna mzee mmoja huko Loliondo anatibu magonjwa mengi hadi ukimwi kwa shiiling 500 tu.....haitaji zaidi ya hapo.