Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

Mjadala kuhusu Babu wa Loliondo na dawa yake.

Kuna watu humu jf,utani wameweka mbele watu wanajadili mambo muhimu wao ujinga tu...sijui condom mara nigeria sumbawanga. Acheni ufedhuli
 
Yumkini hii habari km haitakua kweli nadhani itakua mbali sana na uongo...beside dawa ya ukimwi ni matendo yetu,ARV na condoms si suluhisho la kudumu km hatutabadili mifumo yetu ya maisha bado tutaangamia...nikumbushe tena kua virus vya ukimvi ni sisi wenyewe na dawa yake ni matendo yetu!
 
Hapa Arusha, Gumzo kuu ni hiyo dawa, na inaonekana kuna ukweli kuhusu matibabu yake.
Walioenda wanashuhudia hivyo na sisi wengine ambao pia tuna matatizo yanayofanana na hayo ni vizuri tukaanza sasa kufunga safari ya kwenda huko badala ya kujivutavuta mwisho tukute mtoto si wetu.

Ni bora kuamini kwamba Mungu yupo halafu usimkute kuliko kutoamini Mungu yupo halafu ukamkuta. kwa hiyo ni heri kwenda huko tukapate hiyo Dozi bila kujiuliza uliza gharama za kwenda huko.

Bahati mbaya ni kwamba baada ya kupata dozi kama ugonjwa wako ni HIV, unatakiwa uache kale kamchezo, maana ukiupata tena ile dawa haitibu twice. Kazi kwenu
 
Hapa Arusha, Gumzo kuu ni hiyo dawa, na inaonekana kuna ukweli kuhusu matibabu yake.
Walioenda wanashuhudia hivyo na sisi wengine ambao pia tuna matatizo yanayofanana na hayo ni vizuri tukaanza sasa kufunga safari ya kwenda huko badala ya kujivutavuta mwisho tukute mtoto si wetu.

Ni bora kuamini kwamba Mungu yupo halafu usimkute kuliko kutoamini Mungu yupo halafu ukamkuta. kwa hiyo ni heri kwenda huko tukapate hiyo Dozi bila kujiuliza uliza gharama za kwenda huko.

Bahati mbaya ni kwamba baada ya kupata dozi kama ugonjwa wako ni HIV, unatakiwa uache kale kamchezo, maana ukiupata tena ile dawa haitibu twice. Kazi kwenu
Jamani!! Hv? Hakuna m2 yeyote wa JF ambaye amefika huko a2juze zaidi? Kwn hz tetesi zimekuwa gumzo sana hp A town na nimepata kusikia ya kwmb nauli mpk kwa huyo Mchunga kondoo wa Bwn ni Tsh.70,000 nenda
rudi.
 
Jamani!! Hv? Hakuna m2 yeyote wa JF ambaye amefika huko a2juze zaidi? Kwn hz tetesi zimekuwa gumzo sana hp A town na nimepata kusikia ya kwmb nauli mpk kwa huyo Mchunga kondoo wa Bwn ni Tsh.70,000 nenda
rudi.
HTML:

Binafsi sijui, lakini nina mpango wa kujitolea kwenda huko na siku hiyo nitawaletea laivu hapa JF
 
mie nipo Arusha kwa kweli huyo mchungaji yupo na idadi inayokwenda huko sio ya kawaida ni hatari nina marafiki zangu wengi wamekwenda.
mmojawapo mama yake alikuwa anaumwa sana ugonjwa wa sukari amekwenda huko wiki 2 zilizopita amepewa dawa na nimekwenda kumwona anaendelea vizuri anakula kila kitu hata vile ambavyo alikuwa amekatazwa kula na daktari sukari yake kwa sasa ni 7-8 kabla ya kwenda kwa mchungaji ilikuwa 14-16
nawashauri kwa wale wenye nafasi ya kwenda au wenyewe wagonjwa wawapeleke kwa imani watapona
 
Inaelekea kuna usanii katika hili swala, kwa maana nime note kuna contradiction ya mahali alipo huyu mchungaji wengine wanasema yupo arumeru, wengine wanasema yupo loliondo, wengine engaruka wengine karatu, wengine mto wa mbu (?sijui labda ana hama hama)
 
Habari ni za kweli na watu wanaenda.anaetaka kwenda aniPM nina usafiri wa kwenda huko kutokea Arusha mjini 70000.
 
Kaka wa arusha nina shida kubwa ya kisukari. Nitafikaje kwa huyo mganga nikifika arusha?. Naomba msaada nina shida kubwa ya kisukari iko juu 32, nataka nimwone huyo mzee na mtumishi wa mungu
 
contact za huyo doctor?

Mkuu Utingo,

Habari hizi ni za kweli kabisa.

Nasikitika kukujulisha kuwa kwa tabibu huyu si rahisi kupata contact zake, maana aina ya tiba yake ni kwa PHYISICAL APPEARANCE TU, not less, not more!.

Ni kwamba group yote inayofika hapo mnakusanywa, mnaombewa na huku watumishi wake wakiwa wanachemsha hiyo dawa ambayo iko kama chai ya rangi.

Baada ya maombi hayo, na kwa usimamizi wake, watu wote wanapewa vikombe na wanaanza kugawiwa kila mtu kiasi kidogo tu(kama chai ya msibani), na unakunywa hapo hapo, hakuna kuondoka nayo...pIa wanasema haulizi shida yako, ili mradi umeenda pale mnaunganishwa na wengine wote na kuanza kuhudumiwa, na tatizo lako litaponywa tu.

Nilifahamishwa na jamaa wa huko kuwa kuna wenyeji wa eneo hilo waliojaribisha kwenda kuchimba dawa hiyohiyo na kuichemsha, lakini haikuweza kubadilika rangi kuwa kama chai...lakini ikifikia mikononi mwa huyu tabibu hubadilika na kuwa kama chai(kama imetiwa majani), na ndipo hapo inafanya kazi ya kutibu, na si vinginevyo.

Kuna wazungu ambao wanafanya kazi na Flying Medicals, walikuwa na wagonjwa wao wa HIVna SUKARI, wakiwa wanawa'manage kwenye hospitali ya Selian...baada ya kusikia habari za mganga huyu nilishuhudia jana wakiwapakia wagonjwa hao kwenye ndege zao na kuelekea nao Loliondo kwa tabibu huyo, japo kutokana na uzungu wao wana hali ya kuhoji sana aina hiyo ya tiba...Hawaaamini kama mtu anaweza kupona bila kuchukua maelezo yake ya historia ya ugonjwa kwanza...Lakini wanasahau kuwa kumsafirisha mtu hadi huko tayari ni imani.

Jambo lingine kuhusiana na mahala huko kwa mganga, ni kwamba kuna jam ya magari ya kufa mtu..kuna watu toka Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi Congo etc...na kuna wengine wanarudi kwake kwaajili ya kutoa shukrani ya fedha nyingi, lakini anazikataa katakata akiwaeleza kuwa waende sehemu wanazoabudu wakazitoe kama sadaka.

Taaarifa za uhakika zinadai kuwa hata viongozi wetu wa juu sana serikalini wameshahudhuria huko, na kutibiwa.
Nabii hakubaliki kwao, lakini Watanzania tutabaki na magonjwa, huku watu wa nchi za jirani wakifurika kupata tiba kwa mganga huyu, na kupona kabisa..
Ukienda hupotezi kitu, zaidi ya fedha hizi zinazoweza kutafutwa kesho.

Nawasilisha.

 
Hakuna contacts zaidi ya wewe kusafiri mpaka Loliondo ukifika utaelekezwa wapi anapatikana, kuna tetesi mzee wa kaya na mkewe, mkuu wa uwekezaji, na mzee wa monduli wamekwenda pale na wamepewa dawa..!!!

Kwa wakazi wa Arusha kuna wafanyabiashara wenye magari wameanzisha safari za huko na gharama zinatofautiana kulingana na aina ya gari na wateja.
 
Kuna ndugu mmoja( Askofu mstaafu wa K.K.K.T) au maarufu kama Doctor anakaa wilaya ya Loliondo mkoa wa Arusha anatibu magonjwa yote sugu kama Ukimwi,kisukari,magojwa ya moyo,mifupa,ini,figo n.k kwa muda mfupi. Maelfu ya watu kutoka sehemu mbali mbali za nchi,uarabuni,ulaya wanamimini. Binafsi kuna mzee wangu alikuwa na kisukari amepona kabisa. Bei ya dawa ni shilingi mia tano tu.
Loliondo sehemu gani
 
Back
Top Bottom