Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu, someni updates kule kwenye ORIGINAL POST,....KUNA HABARI TUMEPATA..SASA HIVI
jamani aste aste, huyu babu antumia mizimu ya babu zake au ya nani .maana nimesikia alioteshwa ndoto usingizini,akaonyeshwa mti wa kutumia kutibu magonjwa.mjihadhari hizo roho zisije zikawavaeni halafu mshindwe kutoka mi simo!
Wakuu, someni updates kule kwenye ORIGINAL POST,....KUNA HABARI TUMEPATA..SASA HIVI
Jamani kuna mzee mmoja huko Loliondo anatibu magonjwa mengi hadi ukimwi kwa shiiling 500 tu.....haitaji zaidi ya hapo.
Mkuu mkirejea mtujuvye sasa naona Tanzania nzima na East Afrika itapiga kambi hapo Loliondo. Km ni kweli, basi Mungu anamaajabu makubwa.
Nadhani hata wamarekani watakuja, na bei ya 500 kwa dozi ukizidisha mara watu milioni moja 500X1,000,000= 500,000,000 milioni mia tano km sijakosea si haba.
mungu amlinde huyu mtu wasije wakamfanyia mizengwe watu wabaya.
Kwa wale waliopo Arusha kuna magari yanatoka stand adi hapo kwa mchungaji. Nauli ni elfu sitini kwenda na kurudi. ANGALIZO: kwa wale wenye magari binafsi barabara ni mbaya sana. Gari za kufaa ni landcruse,landrover na yote ya aina hiyo. Ukiwa Arusha city watu wanaonda ni wengi so njia ya kwenda utafahamu.
Babu anaweza kututibia mkulu wetu asianguke tena?...hebu muulize
JK ofa hii itampita manake yupo safarini kila siku wakati afya mgogoro.