Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,852
Preta,
KWANINI umezima cmu zako?
jamani jamani mbona zote 6 zipo hewani?.....angoja nikuonyeshee advataiz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Preta,
KWANINI umezima cmu zako?
Orait...Orait...Orait..jamani jamani mbona zote 6 zipo hewani?.....angoja nikuonyeshee advataiz
Orait...Orait...Orait..
Ican now breath again!
kweli nauli ni kubwa sana-na niliuliza kwa nini watu wasitume dawa kwa hao wanaoenda-nikasikia kuwa eti dawa unatakiwa kupewa wewe unayeumwa,na si mtu mwingine then akuletee-ukifanya hivyo,dawa haitafanya kazihaiwezekani kuhama....alipoelekezwa na roho ni huko Loliondo...usonjoni......hata sisi watu wa Arusha tulipenda sana asogee sogee hata hapo Mto wa Mbu....kwenda Loliondo si ishu ndogo...lakini habari ndio hiyo....lipa elfu 70 za usafiri, dawa sh 500....hili ni fumbo la imani....Tafakari
Kwa muda sasa habari zimetapakaa kuhusu tiba ya magonjwa sugu inayopatikana huko Loliondo wilaya ya Ngorongoro. Dawa hiyo inasemekana ni ya kunywa na unalipa sh mia tano tu. Anayetibu hataki chochote zaidi.
Wanasiasa mbalimbali wanaenda huko kutibiwa. Tiba hiyo haina TBS wala TFDA hawaijui.
Ikatokea ikawekwa tone la sumu, tutakuwa na janga la taifa. Namkumbuka mtu aliyeitwa Kibwetere.
Sina tatizo na suala kwamba imani yako inaponya ila in the unlikely event something goes wrong as it usually does at least I said.
Kama tungekuwa na viongozi na si wanasiasa wangekuwa wametoa tamko na maelekezo. Tatizo letu nchi imejaa wanasiasa. Na wao wanaenda huko kutibiwa. Kama kuna aliyepona atujulishe.
Jana kuna mgombea Ubunge mmoja ameniambia kuna daktari amemueleza kwamba kuna wagonjwa wawili wa HIV wameenda kunywa hiyo dawa ila nao its worse!
Hii mada ipo tayari hapa jamvini.
Unataka data gani zaidi?
I sometimes dont understand these things:
1. Ameoteshwa na Mungu
2.Lazima akuone ndio upone
3.Dawa ni 500 tu.
Hivi Mungu anabagua? yule bibi kizee pale mtwara ana kansa halafu nauli ya kwenda kule hana si utakufa na hiyo kansa!
Ina maana hii ni tiba kwa wenye uwezo wa hiyo 70,000 ya usafiri tu.
kwanini anacharge 500, dawa ambayo angeweza charge 100,000,000,000,000..... na akapata wateja?
Siwezi chemsha hiyo mizizi mwenyewe nikanywa nikapona?
1. sina jibu
2. Mgonjwa ndio humfuata Dr. Pia hapa kuna suala la imani hivyo kufika huko utakua umeshaonyesha imani
3. Inawezekana gharama za kutengeneza hiyo dawa hazizidi 500 shs, na hataki kuwaibia wagonjwa au kupata faida kupitia kwa wagonjwa.
Afadhali uwaambie akina Tomaso..
Tumejaribu kuwaeleza watu juu ya hii ishu lakini wanakuwa reluctant...By the time wanagundua itakuwa too late!