Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa wamethibitisha kwambani sumu au! watu wengine bana.hawajathibitisha kama ni dawa!
Kwa wanajamii wote, naomba kutoa ushuhuda kuwa nilimpeleka mgonjwa wangu mke wa rafiki yangu mpenzi kwa Babu wiki mbili zilizopita ili kupata dawa kutokana na maradhi ya Breast cancer ambayo yamekuwa yakimsumbua kwa muda mrefu. Kama sote tunavyojua hakuna dawa ya kutibu kansa, lakini baada ya kusikia habari za Babu tulijenga imani kuwa huenda akapona. Tulimpeleka huko, na baada ya kukaa siku mbili kwenye foleni alibahatika kupata dawa na kuinywa. Lakini toka anywe hiyo dawa hali yake imekuwa sio nzuri na kudhoofu siku hadi siku hadi hii leo saa nne asubuhi amefariki dunia. Ninatoa ushuhuda huu si kwa kuwakatisha tamaa watu la hasha bali ni kutaka kuweka vitu hadharani ili watu wajue kuwa pamoja na kuwa huenda dawa hiyo ikawatibu baadhi ya watu lakini watu tujue pia hakuna dawa ya kuponya kifo. Huenda kweli babu anatibu kwa imani, lakini sidhani kama wale wote wanaoenda huko hawana imani. Namalizia kwa kuzidi kuwaomba waliotibiwa na kupona kweli wajitokeze watuthibitishie kwa ushahidi wa kitabibu.
Kwa wanajamii wote, naomba kutoa ushuhuda kuwa nilimpeleka mgonjwa wangu mke wa rafiki yangu mpenzi kwa Babu wiki mbili zilizopita ili kupata dawa kutokana na maradhi ya Breast cancer ambayo yamekuwa yakimsumbua kwa muda mrefu. Kama sote tunavyojua hakuna dawa ya kutibu kansa, lakini baada ya kusikia habari za Babu tulijenga imani kuwa huenda akapona. Tulimpeleka huko, na baada ya kukaa siku mbili kwenye foleni alibahatika kupata dawa na kuinywa. Lakini toka anywe hiyo dawa hali yake imekuwa sio nzuri na kudhoofu siku hadi siku hadi hii leo saa nne asubuhi amefariki dunia. Ninatoa ushuhuda huu si kwa kuwakatisha tamaa watu la hasha bali ni kutaka kuweka vitu hadharani ili watu wajue kuwa pamoja na kuwa huenda dawa hiyo ikawatibu baadhi ya watu lakini watu tujue pia hakuna dawa ya kuponya kifo. Huenda kweli babu anatibu kwa imani, lakini sidhani kama wale wote wanaoenda huko hawana imani. Namalizia kwa kuzidi kuwaomba waliotibiwa na kupona kweli wajitokeze watuthibitishie kwa ushahidi wa kitabibu.
Mti aina ya carissa ambao babu anautumia kama dawa aliyooteshwa na Mungu kutibu magonjwa sugu imethibitika kuwa imetumika miaka mingi kama tiba ya magonjwa sugu kama cacer, vidonda vya tumbo, magonjwa ya zinaa, shinikizo la damu na moyo. Suali kuwa babu hata darasa moja hajapitia nani amemwonyesha dawa hiyo kama si Mungu? Tuache kejeli na dharau kwa sababu tu ya uvivu wa kufikiri na kujifunza ama kutafuta ukweli. Angalia attachment ama mtu yeyote achapishe carissa tree and medication kwenye search engine yeyote aone.
Mti aina ya carissa ambao babu anautumia kama dawa aliyooteshwa na Mungu kutibu magonjwa sugu imethibitika kuwa imetumika miaka mingi kama tiba ya magonjwa sugu kama cacer, vidonda vya tumbo, magonjwa ya zinaa, shinikizo la damu na moyo. Suali kuwa babu hata darasa moja hajapitia nani amemwonyesha dawa hiyo kama si Mungu? Tuache kejeli na dharau kwa sababu tu ya uvivu wa kufikiri na kujifunza ama kutafuta ukweli. Angalia attachment ama mtu yeyote achapishe carissa tree and medication kwenye search engine yeyote aone.
Hivi hapo pekundu ni kweli?