Mjadala kuhusu chanzo cha ulimwengu na maisha

Mjadala kuhusu chanzo cha ulimwengu na maisha

Sawa endelea lakini ukitaka kujua kuwa unadanganywa ulizia chanzo cha mungu uone utakavyotishwa na wenzio
Ukiona mtu anakutishia swali ulilouliza ujue hajui, tafuta Mtu mwingine akuelekeze.

Mungu hana chanzo, as you know it.

Ni sawa na umtengeneze roboti, alafu akuulizie chanzo chake, na ukamwambiwa kuwa ulimtengeneza via Ai mwaka 2022...alafu (roboti) akuulize tena chanzo cha Mwanadamu 😂😂😂

Hapo roboti lazima umbutue😂😂😂😂😂😂
 
Ukiona mtu anakutishia swali ulilouliza ujue hajui, tafuta Mtu mwingine akuelekeze.

Mungu hana chanzo, as you know it.

Ni sawa na umtengeneze roboti, alafu akuulizie chanzo chake, na ukamwambiwa kuwa ulimtengeneza via Ai mwaka 2022...alafu (roboti) akuulize tena chanzo cha Mwanadamu 😂😂😂

Hapo roboti lazima umbutue😂😂😂😂😂😂
Asante mkuu.
Na mimi nakazia. Wapuuzieni wapagani. Wanachokitaka watakipata tu.
Hakuna hasara yoyote ya kufata mafundisho ya kiroho.Sisi binadamu ni dhaifu na muda wetu duniani ni mfupi.
 
Watu wanakuwa wapingaji wa vitabu sio kwasababu Mungu haonekani, Bali sheria zake huwabana kufanya kile nafsi inapenda kumkosea Mungu. Msiwe na wasiwasi Mungu yupo.
 
Mimi ni BUDHAA. Sidanganyiki na hila zako.Nitaendelea kufanya ibada na kuamini uwepo wa MUNGU mpaka mwisho.
Hakuna mtu amekukataza kusali na kuamini wala kwenda kuabudu ila elewa mada ndio utoe hoja yako na sio kukimbilia kwenye kivuli cha utakuwa chizi.
 
Hakuna mtu amekukataza kusali na kuamini wala kwenda kuabudu ila elewa mada ndio utoe hoja yako na sio kukimbilia kwenye kivuli cha utakuwa chizi.
Dunia imeumbwa na nani kama si Mungu
 
Dunia imeumbwa na nani kama si Mungu
Kilicho andikwa kwenye mada sio general conclusion kwaiyo na wewe changanya na zako pia jaribu kufuatalia kwenye source mbali mbali.
Alafu elewa ya kwamba sisi tunatakiwa kumtafuta MUNGU zaidi kuliko yeye anavyo tutafuta sasa swala la kuwa chizi sio point.
Ukielewa kuhusu MUNGU basi utajua namna ya kumfuata na kuishi kwenye misingi ya mungu na sio kwenye misingi ya dini.
 
Kilicho andikwa kwenye mada sio general conclusion kwaiyo na wewe changanya na zako pia jaribu kufuatalia kwenye source mbali mbali.
Alafu elewa ya kwamba sisi tunatakiwa kumtafuta MUNGU zaidi kuliko yeye anavyo tutafuta sasa swala la kuwa chizi sio point.
Ukielewa kuhusu MUNGU basi utajua namna ya kumfuata na kuishi kwenye misingi ya mungu na sio kwenye misingi ya dini.
Sasa hawa wapagani wanapinga uwepo wa Mungu
 
Kilicho andikwa kwenye mada sio general conclusion kwaiyo na wewe changanya na zako pia jaribu kufuatalia kwenye source mbali mbali.
Alafu elewa ya kwamba sisi tunatakiwa kumtafuta MUNGU zaidi kuliko yeye anavyo tutafuta sasa swala la kuwa chizi sio point.
Ukielewa kuhusu MUNGU basi utajua namna ya kumfuata na kuishi kwenye misingi ya mungu na sio kwenye misingi ya dini.
Sasa wewe utampataje Mungu nje ya dini? Hebu tufafanulie namna yakumpata
 
Sasa wewe utampataje Mungu nje ya dini? Hebu tufafanulie
sio kwa njia ya dini ambazo tunatambua ya kwamba tuliletewa
Ila ni kwa imani yetu kama watu weusi
Historia zetu zilizikwa lakini bado hatujachelewa kutafuta ukweli kuhusu imani yetu ya kwel katika kumtafuta mungu.
 
sio kwa njia ya dini ambazo tunatambua ya kwamba tuliletewa
Ila ni kwa imani yetu kama watu weusi
Historia zetu zilizikwa lakini bado hatujachelewa kutafuta ukweli kuhusu imani yetu ya kwel katika kumtafuta mungu.
Mmh! Sasa Kama tutamtafuta kwa imani zetu weusi na ushahidi Ni mdogo mno huoni Kama wajao watatilia mashaka Kama sisi tunavyotilia mashaka imani za wenzetu?
 
Mmh! Sasa Kama tutamtafuta kwa imani zetu weusi na ushahidi Ni mdogo mno huoni Kama wajao watatilia mashaka Kama sisi tunavyotilia mashaka imani za wenzetu?
sio kwamba ushaid ni mdogo ila mentality yetu ni ndogo sana kuhusu kuhoji na pia jamii yetu inamtazama vibaya mtu anae jaribu kuuliza kuhusu hizi dini za mkoloni
Ukwel ni kwamba lazima tujiulize kabla ya hizi dini kuletwa wazee wetu waliwezaje kuwasiliana na mungu
Pia itakuwa vyema kujiuliza kwann historia yetu imeanzia apa kwenye mambo ya utumwa kabla ya biashara ya utumwa watu walikuwa wanaishije?
Wazee wetu walijaribu kuweka historia iliyo simama kwaajir ya vizaz vyao lkn mzungu akawa mjanja kuifutilia mbali alafu akapandikiza ya kwake
Kunabaadhi ya makanisa huwa wanasema hivi
Mtakatifu peter utuombee. Unaweza kujiuliza kuhusu hili? Kwanni wanasema peter awaombee na ni mtu alikufa miaka mingi iliyo pita
Basi na sisi tutaje mizimu yetu
(wahenga) kwenye ibada zetu chini ya miti mikubwa.
 
sio kwamba ushaid ni mdogo ila mentality yetu ni ndogo sana kuhusu kuhoji na pia jamii yetu inamtazama vibaya mtu anae jaribu kuuliza kuhusu hizi dini za mkoloni
Ukwel ni kwamba lazima tujiulize kabla ya hizi dini kuletwa wazee wetu waliwezaje kuwasiliana na mungu
Pia itakuwa vyema kujiuliza kwann historia yetu imeanzia apa kwenye mambo ya utumwa kabla ya biashara ya utumwa watu walikuwa wanaishije?
Wazee wetu walijaribu kuweka historia iliyo simama kwaajir ya vizaz vyao lkn mzungu akawa mjanja kuifutilia mbali alafu akapandikiza ya kwake
Kunabaadhi ya makanisa huwa wanasema hivi
Mtakatifu peter utuombee. Unaweza kujiuliza kuhusu hili? Kwanni wanasema peter awaombee na ni mtu alikufa miaka mingi iliyo pita
Basi na sisi tutaje mizimu yetu
(wahenga) kwenye ibada zetu chini ya miti mikubwa.
Sasa ndugu yangu kwakweli endapo ujumbe wa dini ungekuwa Ni ulaghai basi nafikiri hata wazungu wasingesali. Jaribu kupima mambo na sio kusema tumeletewa tu.

Haya, hao wazungu wenyewe wanaabudu mno japo wanatofautiana lkn dhima bado Ni ileile moja.

Upande wa mizimu, kitabu Chao kimeweka kwamba iwe mizimu, miungu nk. Viko na nguvu ndogo ukilinganisha na Mungu wanaemwabudu kwa kutoa ushahidi wakihistoria. Sasa endapo utapinga lazima ulete ushahidi wa mizimu yetu kuishinda Mungu wait au uombe mizimu kukupa nguvu yakukubalika kuliko wao, happy utakuwa umeweza.

Kiukweli kwa upande wangu baada yakusoma maandiko sikuona haja yakupambana na ujumbe wakigeni coz unajibu maswali yangu mengi ambayo asili yetu haikuweza kujibu hapo awali.
 
sio kwamba ushaid ni mdogo ila mentality yetu ni ndogo sana kuhusu kuhoji na pia jamii yetu inamtazama vibaya mtu anae jaribu kuuliza kuhusu hizi dini za mkoloni
Ukwel ni kwamba lazima tujiulize kabla ya hizi dini kuletwa wazee wetu waliwezaje kuwasiliana na mungu
Pia itakuwa vyema kujiuliza kwann historia yetu imeanzia apa kwenye mambo ya utumwa kabla ya biashara ya utumwa watu walikuwa wanaishije?
Wazee wetu walijaribu kuweka historia iliyo simama kwaajir ya vizaz vyao lkn mzungu akawa mjanja kuifutilia mbali alafu akapandikiza ya kwake
Kunabaadhi ya makanisa huwa wanasema hivi
Mtakatifu peter utuombee. Unaweza kujiuliza kuhusu hili? Kwanni wanasema peter awaombee na ni mtu alikufa miaka mingi iliyo pita
Basi na sisi tutaje mizimu yetu
(wahenga) kwenye ibada zetu chini ya miti mikubwa.
Shida nyingine kubwa Ni kwamba wale jamaa walihamishwa nakupewa ardhi na Mungu Kama wanavyodai na ushahidi tumeuona leo wanavyopambana na palestina. Sasa tusemeje Tena? Huoni Kama yapo sahihi?
 
Ushamba huu!!! Wajameni Mimi bado mgeni nafanyaje kunakili kipande Cha sentensi kuweza kumjibu mtu?
 
Kama kila kitu kimetokea kwa bahati mbaya/accidentally/Nature kama wanavyoita wao . THEN MBONA HAIKOKEI SIMBA.Tembo. Twiga au ngamia wakachati kwa kutumia smart phone kama binadamu..

Nini kimetokea hadi hiyo Nature akabagua viumbe wengine wote na kumpatia ufahamu binadamu kuendesha hii Dunia..
Kama ni hivyo basi hii Nature inaubaguzi sana kudharau viumbe wengine wote na kumpenda zaidi binadamu..
Na kama nature inaubaguzi kiasi hiki nani kaifundisha hiyo sellection ya kuacha Fisi na mamba asiwape.akili kama binadamu..

Mbona Ngamia hajui kusoma na kuandika ..

Nani kampendelea binadamu kujua yote hayo na viumbe wengine wasijue..
Useme nani kampendelea mwanadamu, binadamu kujipendelea mwenyewe hivi ni sifa gani inakufanya ujitofautishe na wanyama wengine, Umewahi kujiuliza hao wanyama pia wanamuona vipi mwanadamu!? What if kama mbwa anakiona we ndio mbwa!?
 
Ingekuwa nature ndo imetutoa basi inaakili zaidi ya ufahamu wake. Inahitaji kuabudiwa.
 
Back
Top Bottom