dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... itolewe wapi Chief! Ni as if ni kuku wameuawa hakuna hata anayejali kisa wana madaraka.Hivi ripoti za kiuchunguzi kuhusu kupotea kwa hawa wananchi wenzetu ulishatolewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... itolewe wapi Chief! Ni as if ni kuku wameuawa hakuna hata anayejali kisa wana madaraka.Hivi ripoti za kiuchunguzi kuhusu kupotea kwa hawa wananchi wenzetu ulishatolewa?
Wanabodi,
View: https://www.youtube.com/live/clOESBBmMmI?si=WZKqn4KF5vTxrtGR
Leo Tarehe 10 October ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Adhabu ya Kifo. Niko hapa jengo la Wakili House kuwaletea live mjadala kuipinga adhabu ya kifo nchini, ulioandaliwa na Chama cha Mawakili Tanganyika, TLS.
Kiukweli TLS imeonyesha kujali utu wa mtu, yaonyesha njia ya kuachana na adhabu hii ya kikatili, na kiukweli adhabu hii Ifutwe kabisa ni very barbaric, very unfair, it's inhuman, cruel and degrading human dignity!.
Mgeni Rasmi ni Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Pindi Chana.
Kongamano limeanza, Rais wa TLS, Harold Sungusia, anazungumza.
Karibu
Paskali
Rejea
Naunga mkono hoja. 🤝Hii Adhabu isifutwe Ten iboreshwe zaidi Wauaji wauliwe kwa Njia tofauti tofaut zinazovutia ili Iwe fundisho kwa wengine.
Njia ambzo mimi napendekeza ni Hizi
1. Kukatwa kichwa kwa kisu kama Kuku
2. Kupewa Sumu inayoua taratibu kuanzia siku 5-10 ili apitie mateso siku kadhaa
3. Kuingizwa kwenye Mashine yenye mfano wa Kusagia mahindi mtu aingizwe humo asagwe mpak kufa.
Etc,.... adhabu hiz zitolewe huku Ndugu wa upande wa Muuaji wakiwa wanashuhudia ten kwa lazima ili kujenga jamii itakayoheshimu Maisha ya Mtu mwingne.
Wanabodi,
View: https://www.youtube.com/live/clOESBBmMmI?si=WZKqn4KF5vTxrtGR
Leo Tarehe 10 October ni Siku ya Kimataifa ya Kupinga Adhabu ya Kifo. Niko hapa jengo la Wakili House kuwaletea live mjadala kuipinga adhabu ya kifo nchini, ulioandaliwa na Chama cha Mawakili Tanganyika, TLS.
Kiukweli TLS imeonyesha kujali utu wa mtu, yaonyesha njia ya kuachana na adhabu hii ya kikatili, na kiukweli adhabu hii Ifutwe kabisa ni very barbaric, very unfair, it's inhuman, cruel and degrading human dignity!.
Mgeni Rasmi ni Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Pindi Chana.
Kongamano limeanza, Rais wa TLS, Harold Sungusia, anazungumza.
Karibu
Paskali
Rejea