Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Siyo ngedere tu bali "ngedere wa maonyesho"

JF hii bana we acha tu.

Ushapona sawasawa doc au mpaka nikamuulize mpwa wangu?
Dah,nimecheka Sana mkuu.

Kumbe unajua naumwa alafu ukapita kimya kimya!? Bado sijapona sawasawa ila nipo kazini now night shift. Fungua pm doc nataka tutete.
 
Na ukijileta tunakupiga wewe chuma cha tigo mbele ya mkeo...sasa oa tukunyooshe
Jifafariji ukidhani ni rahisi kihvyo. Sijawah sikia aliyefumania kaliwa tigo mbele ya mkewe ila najua anayefimaniwa ndiyo analiwa tigo. Kama ulichopost unamaanisha upo kwenye risk kubwa ya kupumuliwa kisogo.
 
Si mpaka umkamate sasa, unagongewa na wewe hujui, anaaga yupo kwa Church kumbe yupo Kiraracha Lodge anapakwa mafuta na mjuba mmoja hivi
Wanaofumaniwa na kupigwa chuma cha tigo walijiona wajanja kama wewe wakidhan ni ngumu kukamatwa lakini end of the day wakaingia kwenye 18.

Ushauri: kama utaki kuoa bas gonga malaya na wadada masingle kuepuka shari ya dunia usizoee kugonga wake za watu na wanafunzi aina hii ya wanawake watakuhalibia taswira nzima ya uwepo wako duniani, amin nakwambia kuna watu wanaroho mbaya dunia hii usije ukaingia kwenye 18 zao utajuta.

Unaweza kuwa mjanja ila mwanamke wa mtu ulienaye akawa boya akakosa umakini ukagundulika.
Kuna jamaa yangu katili sana aliwahi sema kwamba namnukuu "Mimi kama nikimjua anaye kula mke wangu nawaalika wana waje tunamfanya kitu mbaya kama nikiona simudu yaan lambda ni mtu mzito basi nitafanyia kitu mbaya kwa siri sana hata kutumia sumu na kama siyo yeye basi ata mzazi wake au ndugu yake lazima alipe ubaya uliotenda."
 
FUNGA NDOA UGONGEWE MKEO
HATA UWE NANI UTAGONGEWA TU
USHAHIDI UPO MEZANI
WALIOGONGEWA WANAJULIKANA
WEWE NI NANI USIGONGEWE?
HAKUNA ANAETISHIKA NA MANENO
WAKIKUAMULIA MKEO ATAGONGWA TU
KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI

Kwa taarifa yako mke wa mtu anajiachia sana kwa mtu wa pembeni kuliko anavyojiachia kwa mumewe yaan hua anapanua zaidi na kuonyesha ushirikiano kwa mtu wa nje kuliko anavyofanya kwa mumewe,

Hujawahi kula mke wa mtu kwa hio hujui unachokiongea wanagongwa sana hao wanawake,

Wewe baki na mihasira yako maana km ikitokea ukifanya uharifu kwa mgoni wako aidha kwa kuua au kumdhuru ukibainika basi utaenda kunyea debe Segedance

Huku mtaani mkeo akiendelea kukamuliwa, kupanuliwa, kumanuliwa, kugongwa, kupakuliwa na kuchapwa km kawaida, na wewe ukikimbizana na bwana Jela mzee Nyapala kwa maamuzi yako ya kijinga, wengi mnalea watoto wasio wa kwenu mnasingiziwa mimba zisizowahusu

Funga ndoa kwa tahadhari ukigongewa usikunje ndita usiseme hukuambiwa
 
Ukifatilia Story za Mitandaoni, unaweza amini wanawake wote/karibia wote walioolewa wanagongwa nje.

Ila mtaani mambo hayako hivyo.

Mmmh bosi una uhakika.
Hebu Anza kuchunguza kazini kwako hapo halafu Lete jibu...

#YNWA
 
Kuna rafiki yangu mwenyeji wa Manyara alilipa ng'ombe kumi kama mahari kwa mwanamke,yule mwanamke alimdanganya kuwa ni bikra,siku a harusi jamaa kutest mitambo,break ilikuwa........

Humu duniani wanaume wamenyanyua maisha ya wanawake wengi kiuchumi kuliko hata serikari zao,si kikoba,saccos wala bank inayoweta kumuinua mwanamke kiuchumi isipokuwa mwanaume.

Ndio maana dada zetu ukiomba namba tu kesho yake shangazi yake atakufa,simu itaharibika,kodi itaisha,gesi itaisha,atapata UTI vyote vinahitaji pesa.
Kwa mwanamke wanatuchukuliasisi kama ajira rasmi.

Wanawake wa kizungu sasa wanakuvizia utajirike waombe talaka mgawane pasu kwa pasu kukukomoa.

Nini tufanye:
tutafute hela na tuwazalishe sana,watoto ni muhimu sana kuliko mke,tuhakikishe watoto tutakaozalisha tunawahudumia vizuri

Tena tuzalishe wanawake wenye asili na sifa tofauti tofauti ili watoto wawe na fikra tofautitofauti,hata kwenye botany na zoology wataalam wanasisitiza cross breeding.sio we mzaramo unazaa na mzaramo,mtoto lazima awe mcheza vigodoro

Unataka kuoa do it at your own risk
 
Kipi kifanyike ndugu mtaalamu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…