Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuja kugundua team kataa ndoa wote hawana hela
Biashara haifundishwi ,epuka matapeli.HUo n mtazamo wako tuuh
why mkuu.
Ahahaha saw kiongozBiashara haifundishwi ,epuka matapeli.
HahahaWakuu,
Wakati mwingine kataa ndoa huwa wana hoja muhimu sana wasikilizwe.
Mimi nilioa miaka mitatu iliyopita,tukajaliwa kupata mtoto wa kiume mmoja,tangu mama mtoto wangu ajifungue miaka miwili iliyopita,hataki tuzichape kavukavu anasema tutumie condom,sababu kuu ni kuwa mtoto bado ni mdogo hivyo tusubiri angalau miaka 5 au 4 hivi ndipo tupate mwingine, sababu nyingine ni kuwa hali ya maisha bado ni duni tukipata mtoto mwingine tutashndwa kuwahudumia hivyo tujitafute kwanza.
Basi bwana matumizi ya condom yaliendelea na sikuwahi kuacha kutumia kondomu kwa kila tendo
Cha ajabu mwezi wa kwanza nimekuja kugundua mke wangu ni mjamzito,ndipo ulipoibuka ugomvi mzito kuwa mimba amempa nani, akawa ananificha
Ndipo nikaamua kuwaita wazazi wake, viongozi wa dini serikali na wazee wa kimila,akaulizwa aliyempatia mimba,ndipo alipomtaja kuwa ni mwalimu wa kwaya kanisani kwao aliyekuwa amekuja kanisani kwa muda sasa hayupo.
Nimemkimbia kwa sasa nipo mkoani kusaka maisha mapya.
Kataa ndoa wameshinda.
Nani alisema being a provider ni kuhonga#Kataa Ndoa
Ndoa ni utapeli hatuna hela za kuwapa wadangaji, wanyima papuchi wanautunyima uhuru wetu ndoa ni utapeli na maatapeli tumewashtukia
We unaweza ukampa hela yako tapeli huku ukijua ni tapeli
Let me slayNdoa haiwafai bikin queens
😹😹Anza kutuonyesha pesa zako kwanza
Staki huu Uzi ukae humu mnanikosea😂😂Karibu Love connect 😂
Kwa sababu umeandika pumba 😂Staki huu Uzi ukae humu mnanikosea😂😂