Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

kama mbunye asali naipata Kila siku, nioe kutafuta nin??
1000006982.jpg
 
Sio hela tu wengine hawana nguvu za kiume ndo wanatafuta company.

Wengine waliharibu ndoto za mabinti wa watu, wale mabinti wakala viapo tuone kama ataoa, output ndo inaonekana humu mitandaoni, alafu wao wanafikiri ni akili zao.

Ukichanganya na matatizo sugu mwingine ashajiona hafai, watu watafute solution za matatizo yao waache kupinga asili, asili utaipingaje kama wewe sio towashi si unatafuta mabalaa...
 
Sio hela tu wengine hawana nguvu za kiume ndo wanatafuta company.

Wengine waliharibu ndoto za mabinti wa watu, wale mabinti wakala viapo tuone kama ataoa, output ndo inaonekana humu mitandaoni, alafu wao wanafikiri ni akili zao.

Ukichanganya na matatizo sugu mwingine ashajiona hafai, watu watafute solution za matatizo yao waache kupinga asili, asili utaipingaje kama wewe sio towashi si unatafuta mabalaa...
Nakuunga mkono mara100000 vijana wa ovyooooh Kwa majina tunawahifadhi
 
hakuna timu kataa ndoa, wote wana wake zao na waneufyata, wanawachora tu huku mtandaoni,,,, Au wale wa kujiita jobless, hakuna kitu kama hiko, kila mtu ako na harakati zake japo vipato havilingani,,,, ishi nayo
Raisi wa chama Cha ma jobless pro max ni Intelligent businessman.
makamu wake ni Bolotoba.

katibu wa ma jobless ni min -me, mratibu wa mipango ni Edo kissy.

waziri wa mambo ya ndani ni Thecoder, na msemaji wa chama Cha ma jobless pro max ni makutupora.

Kidumu chama Cha ma jobless pro max.
 
Back
Top Bottom