Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Wakuu,

Wakati mwingine kataa ndoa huwa wana hoja muhimu sana wasikilizwe.

Mimi nilioa miaka mitatu iliyopita,tukajaliwa kupata mtoto wa kiume mmoja,tangu mama mtoto wangu ajifungue miaka miwili iliyopita,hataki tuzichape kavukavu anasema tutumie condom,sababu kuu ni kuwa mtoto bado ni mdogo hivyo tusubiri angalau miaka 5 au 4 hivi ndipo tupate mwingine, sababu nyingine ni kuwa hali ya maisha bado ni duni tukipata mtoto mwingine tutashndwa kuwahudumia hivyo tujitafute kwanza.

Basi bwana matumizi ya condom yaliendelea na sikuwahi kuacha kutumia kondomu kwa kila tendo

Cha ajabu mwezi wa kwanza nimekuja kugundua mke wangu ni mjamzito,ndipo ulipoibuka ugomvi mzito kuwa mimba amempa nani, akawa ananificha

Ndipo nikaamua kuwaita wazazi wake, viongozi wa dini serikali na wazee wa kimila,akaulizwa aliyempatia mimba,ndipo alipomtaja kuwa ni mwalimu wa kwaya kanisani kwao aliyekuwa amekuja kanisani kwa muda sasa hayupo.

Nimemkimbia kwa sasa nipo mkoani kusaka maisha mapya.

Kataa ndoa wameshinda.
Mkuu amini nakuambia , Hata huyo mtoto wa Kwanza sio wako .
 
Ndipo nikaamua kuwaita wazazi wake, viongozi wa dini serikali na wazee wa kimila,akaulizwa aliyempatia mimba,ndipo alipomtaja kuwa ni mwalimu wa kwaya kanisani kwao aliyekuwa amekuja kanisani kwa muda sasa hayupo.
Hawa walimu wa kwaya ifike wakati wafundishe nyimbo wakiwa nyuma ya waimbaji maana wamezidi sasa
 
Mkeo anakupangia namna ya kumfanya na wewe unakubali?
Mnawasingizia wanawake kwa mengi, kwa hiyo sentensi ya kwanza hapo juu wewe bado sio mwanaume.
 
Wakuu,

Wakati mwingine kataa ndoa huwa wana hoja muhimu sana wasikilizwe.

Mimi nilioa miaka mitatu iliyopita,tukajaliwa kupata mtoto wa kiume mmoja,tangu mama mtoto wangu ajifungue miaka miwili iliyopita,hataki tuzichape kavukavu anasema tutumie condom,sababu kuu ni kuwa mtoto bado ni mdogo hivyo tusubiri angalau miaka 5 au 4 hivi ndipo tupate mwingine, sababu nyingine ni kuwa hali ya maisha bado ni duni tukipata mtoto mwingine tutashndwa kuwahudumia hivyo tujitafute kwanza.

Basi bwana matumizi ya condom yaliendelea na sikuwahi kuacha kutumia kondomu kwa kila tendo

Cha ajabu mwezi wa kwanza nimekuja kugundua mke wangu ni mjamzito,ndipo ulipoibuka ugomvi mzito kuwa mimba amempa nani, akawa ananificha

Ndipo nikaamua kuwaita wazazi wake, viongozi wa dini serikali na wazee wa kimila,akaulizwa aliyempatia mimba,ndipo alipomtaja kuwa ni mwalimu wa kwaya kanisani kwao aliyekuwa amekuja kanisani kwa muda sasa hayupo.

Nimemkimbia kwa sasa nipo mkoani kusaka maisha mapya.

Kataa ndoa wameshinda.


Hii ni hadithi tu au story ya kutunga, sioni uhalisia hata kidogo, hata nukta ya feelings za ukweli katika story hii, yaani umeandika easily, with no pain and no shock, kwa sie watalaam wa hisia na mambo, hii ni chai kabisa, tukio kubwa kama hilo alafu uko no stress, uongo huu.
 
Wakuu,

Wakati mwingine kataa ndoa huwa wana hoja muhimu sana wasikilizwe.

Mimi nilioa miaka mitatu iliyopita,tukajaliwa kupata mtoto wa kiume mmoja,tangu mama mtoto wangu ajifungue miaka miwili iliyopita,hataki tuzichape kavukavu anasema tutumie condom,sababu kuu ni kuwa mtoto bado ni mdogo hivyo tusubiri angalau miaka 5 au 4 hivi ndipo tupate mwingine, sababu nyingine ni kuwa hali ya maisha bado ni duni tukipata mtoto mwingine tutashndwa kuwahudumia hivyo tujitafute kwanza.

Basi bwana matumizi ya condom yaliendelea na sikuwahi kuacha kutumia kondomu kwa kila tendo

Cha ajabu mwezi wa kwanza nimekuja kugundua mke wangu ni mjamzito,ndipo ulipoibuka ugomvi mzito kuwa mimba amempa nani, akawa ananificha

Ndipo nikaamua kuwaita wazazi wake, viongozi wa dini serikali na wazee wa kimila,akaulizwa aliyempatia mimba,ndipo alipomtaja kuwa ni mwalimu wa kwaya kanisani kwao aliyekuwa amekuja kanisani kwa muda sasa hayupo.

Nimemkimbia kwa sasa nipo mkoani kusaka maisha mapya.

Kataa ndoa wameshinda.
Kwann Sasa umekimbia kwako?
Au umepanga ?.

Ubaya ni ubaya, kama hamna kitu chake chochote, huyo alitakiwa umfurumushe.

Tena unakomaa tu kua Kwa Sasa huna Imani na mtoto wa kwanza piaa.

Tayari
 
Wakuu,

Wakati mwingine kataa ndoa huwa wana hoja muhimu sana wasikilizwe.

Mimi nilioa miaka mitatu iliyopita,tukajaliwa kupata mtoto wa kiume mmoja,tangu mama mtoto wangu ajifungue miaka miwili iliyopita,hataki tuzichape kavukavu anasema tutumie condom,sababu kuu ni kuwa mtoto bado ni mdogo hivyo tusubiri angalau miaka 5 au 4 hivi ndipo tupate mwingine, sababu nyingine ni kuwa hali ya maisha bado ni duni tukipata mtoto mwingine tutashndwa kuwahudumia hivyo tujitafute kwanza.

Basi bwana matumizi ya condom yaliendelea na sikuwahi kuacha kutumia kondomu kwa kila tendo

Cha ajabu mwezi wa kwanza nimekuja kugundua mke wangu ni mjamzito,ndipo ulipoibuka ugomvi mzito kuwa mimba amempa nani, akawa ananificha

Ndipo nikaamua kuwaita wazazi wake, viongozi wa dini serikali na wazee wa kimila,akaulizwa aliyempatia mimba,ndipo alipomtaja kuwa ni mwalimu wa kwaya kanisani kwao aliyekuwa amekuja kanisani kwa muda sasa hayupo.

Nimemkimbia kwa sasa nipo mkoani kusaka maisha mapya.

Kataa ndoa wameshinda.
Duuh,yaani unayejulikana kwao,uvae koti jua Kali,mgeni avae tshirti!Kimbia
 
Yeye anasemaje mkuu.. kwamba umsamehe mlee mimba au naye katekewa hajui chakufanya?

Familia moja hatunayo tayari!
 
Hii ni hadithi tu au story ya kutunga, sioni uhalisia hata kidogo, hata nukta ya feelings za ukweli katika story hii, yaani umeandika easily, with no pain and no shock, kwa sie watalaam wa hisia na mambo, hii ni chai kabisa, tukio kubwa kama hilo alafu uko no stress, uongo huu.
sio mimi mkuu,ni jamaa yangu,ila nimeona nikilifikisha kupitia yeye itaonekana chai,hivyo mimi nikaamua nivae uhusika. Mimi bado sijaoa
 
Back
Top Bottom