Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Hello balaa linaendelea hatupoi wa hatuboi.

continued assurance of excess supply of nice women and chicks in the markets can not be spoiled with marriage absurdity no no surely.

Nina ujumbe mfupi kwenu, mimi siwezi kuoa na kukiuka kanuni ya uchumi, how do we bother keeping goods in stores or stocks especially these inflammatory goods when the markets has assurance and trends ever shows extremely and excess supply of goods, the warehouses arent enough, soko itaamua itakavokuwa.

Watoto wazuri wanaingia soko kila siku tena Kwa wingi kuliko uhitaji wa soko wewe unachukua kamoja au wanne unahifidhi kama toshelevu una akili. no no

We are sure the markets is fine and from the source the farmland fertility has shown that.

If you don't have cash to buy goods on daily basis keep yours in stores, leave us those with cash and who knows the markets supply trends on our own.

Regrets is not our language we know how to behave as per market situations surely.

Ukiwaambia Mbuzi sema meeee meeee nao wakijibu meee meeee somo limeenda vizuri.
 
1.- Hii kwa wale wanaopenda kulala na malaya
Sisi wanaume tumekuwa watumwa sana wa mademu. Yani hata ukiwa na Malaysia utataka unyonye ziwa ulifurahishe na ulikojoleshe. Kichwani unadhani litakukumbuka au litaenda kusimulia Malaya wenzake kuwa uliliweza wakati liko kazini...

Naona mwanaume yeyote yule anayehangaika na K mda wote ni mtumwa wa kutupwa. Maisha ni safari Pana sana. Ila lijitu linafanya kazi lipate mihela ya kwenda kuhonga wanawake linaona limewaweza. Kwa akili zenu lile tundu unaweza likomoa? unajipaka mkongo bure unajichosha mwili wako na akili yako bure. You lose sperms you lose your essence. Mtakua lini?

Kubwa jinga peke yake ndio atajisifu kwa kutombb midemu mingi? Faida yake ni nini? Utumwa sana maana yake umekuwa mtumwa kwa hawa wanawake. Sawa umepiga mademu wengi nipe faida zako?. .
 
punguza umalaya dunia haijawai kuishiwa wanawake wazuri toka enzi za kina delila,hawa, n.k

Tafuta chombo smart ishi nayo....

Aje akuongeshe ukiishiwa nguvu 80+ age
Viwanda vimezidi uzalishaji na sisi walaji tunaenda na upepo wa uzalishaji, itakuwa na ni makosa kuharibu uchumi wa soko
 
Ndio tunataka mpanic kama hivi hatupoi wala hatuboi maisha ni yangu, maamuzi ni yangu na pesa yangu natafuta kwa bidii yangu na Kwa mishe zangu Kodi nalipa kwa usahihi tena najipendekeza kulipa na ni Mzalendo ikifika kujipongeza siwezi kupangiwa kujipongeza, kama mapaja na mbususu zitaendelea kuwepo chachu haiwezi kupotea, kupaka mkongo ni upumbavu mwanaume unatakiwa kuwa na nguvu na virutubishl halisi sio supplements na mipako ya kizembe ya hio puturu, sijui mikongo sijui mibenzo
 
2 - Kampeni ya kijinga ya kataa ndoa
Hili swala la ndoa ni swala binafsi sio swala la umma. Hawajamaa wa kataa ndoa nawashangaa kwa nini wanaforce sana wenzao nini agenda nyuma ya pazia?

Watu wako kwenye ndoa kwa sababu
1. Ndoa ni Ibada

2. Ndoa inakuepusha na magonjwa

3. Ndoa inaleta familia bora. Watoto wa ndoa na walio nje ya ndoa wanatofaut kubwa sana. Malezi bora yanaanzia ndani ya ndoa. .

4. Hata nikifa leo najua hakuna mwenye kuwalea wanangu vizuri kama mama yao. Ana uchungu na damu yao

5. Kama nikoangika leo najua hakuna wa kunisimamia na kunitunza kama mke wangu. Sio mara ya kwanza ila huyu mwanamke Mungu ampe maisha marefu. Wakati nikiwa chini sana lowest of my life she was there. Niliumwa nikalazwa modern hospital hata ndugu zangu waliondoka alikesha kwenye mabench hajala hakutaka hata kupndola hospital. Namshukuru sana kwa kwel hakuwah niacha kwenye shida zangu. .

6. Toka niingie kwenye ndoa nimenawiri sana. Nimepata mafanikio makubwa sqna mbali na kujenga nimefanya maendeleo makubwa sana. .

7. Tafuta mtu sahihi ndoa sio mbaya. Unaokota wanawake au wanaume wa hovyo unakuja kulalamika. Wewe mwenyew ni mtu wa hovyo unataka upate mtu sahihi. .

KUBALI NDOA
NDOA NA MTU SAHIHI
NDOA NI MAISHA. .
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ wadiz unavuta bangi sio bure. Sasa mbona unapangia wengine wakatae ndoa wakati wewe unatafuta hela uchakate mbususu?


wadiz alikuja duniani akachakata mbususu akafa akazikwa that's it. Najua wewe ni Muslim ila kuna story ya TALANTA kwenye Bible inaweza kukusaidia. .
 
Hizi ngonjera zimeeimbwa sana hadi zimeexpire mnajichosha bure tumewashika pabaya kazi iendelee.

Na pisi zinajaa daily
 
Hizi ngonjera zimeeimbwa sana hadi zimeexpire mnajichosha bure tumewashika pabaya kazi iendelee.

Na pisi zinajaa daily
Hata sio ngonjera jibu hoja. Wewe hutaki ndoa kwa nini unafanya kampeni wengine wakatae ndoaπŸ˜‚

Kuna haja ya Kuwaiti psychiatrist bongo wa kutosha tunawahitaj
 
Maisha matamu ila ndoa hapana ni usanii na ushamba wanawake wapo washike mimba tuwape mimba na wazae watoto tuwasaidie kulea ila kuwaoa na ndoa hapana.

Lile funzo la bustani ya Eden ni kwamba mwanamke hafai kuishi nae munyumba moya yeye alimpenda nyoka na ukiishi nae anamleta nyoka urafiki wa mwanamke na nyota haujaisha na hautaisha.

Kisa Cha Eden kipo wazi mbona hamjiongezi.

Wadiz
 
Wewe ulishawahi ona nyoka anaongea? au ana miguu? au mikono akiwa ameshika tunda?

mbona unanileta mapicha picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…