Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

Hata sio ngonjera jibu hoja. Wewe hutaki ndoa kwa nini unafanya kampeni wengine wakatae ndoa😂

Kuna haja ya Kuwaiti psychiatrist bongo wa kutosha tunawahitaj
Ndoa ni kosa kubwa tuwape mimba wazae tutunze watoto shida nini siwezi kufuga mwanamke wakati wengine wanaibitaji huduma yangu huko nje ntakuwa nafanya dhambi ya kuwanyima haki zao, goods brought on the markets are to be consumed, and if produced in huge quantities sellers expect us consumers to buy goods in large quantities but alternatively those with cash to buy in high frequency, in a situation where goods are readily available and affordable. The assumption holds it's not my inventions 🤣🤣🤣🤣
 
Leo naona wenye kampeni yao "kataa ndoa" wame-mute[emoji16] sijui wamekukataa kimtindo[emoji1732][emoji125].
Tupo nawapiga nyundo na reference juu point kwa point, tuangalie hoja ya soko pisi kali zinajaa soko na sellers wataka kupiga pesa lazima wateja tuwepo tule hizo bidhaa
 
Nyie ndio mnaoa mkifisha miaka 50 wabinti wadogo,hapo ndio huwa mnachapiwa kwelikweli.
 
Leo naona wenye kampeni yao "kataa ndoa" wame-mute[emoji16] sijui wamekukataa kimtindo[emoji1732][emoji125].
Wanajua alichokileta ni hoja ya kizembe iliyolenga tamaa na uharibifu wa future ya kijana ambaye amekomaa kiakili na kujua tamaa zinayeyuka in a less than a second unapokomaa na kujua ustaarabu na kusudi la maisha yako ni nini. Mtu anayetambua no any gender is an object na dharau ni mbaya. Alete hoja ya msingi sio tamaa za ujana.
 
Subiria muda utaongea wanangu wanachama wanakuja ni suala la muda, sisi tupo na nyie mpo kazi iendelee
 
Subiria muda utaongea wanangu wanachama wanakuja ni suala la muda, sisi tupo na nyie mpo kazi iendelee
Nyie na nani boss, am a man na sijaoa pia ila ulichokiongea basically ni kitu cha kusononesha kama mienendo na fikra zetu zikienda hivi.
 
Nyie na nani boss, am a man na sijaoa pia ila ulichokiongea basically ni kitu cha kusononesha kama mienendo na fikra zetu zikienda hivi.
Hapana ndio ukweli wenyewe zingatia maudhui na logic pambaneni mapaja, nyashi, na mbususu zisizagae hovyo na kumwagika sokoni. Tusiue soko kwa sababu nyepesi
 
Mkuu umeandika kikubwa sanaaa🙏 nyingi kwako.
Utumwa wa ngono ni mbaya sanaaa
 
Jazaneni tu ujinga, Maisha ya Mwanaume kuanzia miaka 50 nakuendelea, yanamuhitaji sana Mke .
Hawa vijana hawaelewi wanawaonaga babu zao wanaoa uzeeni ila hawajawahi kukaa nao na kuwauliza zaid hubaki na maswali yao "eti na huyu mzee anatafuta nini kuoa ilihali umri ushamtupa mkono?"
Watakuja lelewa kwenye nyumba za wazee na watakufa kwa njaa
 
For sure,kaja kishabiki tuu bila hoja ya msingi saabu ya huu upepo unaopita wa kataa ndoa.
Wanadhani sifa sana kumbe ni ujinga mwingi.
 
Huko kwenye dini kwenyewe hakuna cha ajabu,mbona huko ndo mashoga wamejaa au hujawahi kujuwa.

Usitumie kivuli cha ushoga kukata hoja za maana, HAKUNA KUOA MKUU.

KUOA NI UTAPELI MTAKATIFU.
Tuambie tu kuwa unazibiliwa mtaro, Kwasababu mwanaume wa kweli na dhakari unayo na inafanya kazi huwezi kukaa unachezea keypads za simu yako na kuanza kuandika utumbo eti kataa ndoa wakati baba yako na mama yako wapo kwenye ndoa na wanapitia changamoto zote hizo na mpaka Leo wapo na maisha yanaendelea.
 
Japo lugha imepinda ila umeeleweka mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…