Kataa ndoaKataa ndoa
Kataa ndoa
Ndoa ni ujinga
Ngoja nimuite dronedrake tusaidiane kwenye hiliSantos06 sema kitu mkuu π
mrembo vipi?mbona umeadimika Sana?Santos06 sema kitu mkuu π
broo vipi?ileinshu mbona unazingua sasa?Mtu mwenyewe ticha, hamna hasara hata usipooa
Kaka nahis AKil yangu inaharihika huu nahitaji msaada wa kisaikolojia,Ila we jamaa inaonekana unapitia maumivu sana, pole mkuu ndio unabatizwa kuwa mwanaume kamili
Umekosea id mkuuumrembo vipi?mbona umeadimika Sana?
Vitu vya kawaida hivyo kwenye maisha ila ukijichanganya tu utapoteana utajikuta umemezeshwa chuki zisizokustahili. Za kuambiwa changanya na zako safari bado ni ndefu mno. Tafuta utulivu accept the real situation.Kaka nahis AKil yangu inaharihika huu nahitaji msaada wa kisaikolojia,
sorry mkuu.Umekosea id mkuuu
Mi dume la mbegu π€π€π€π€
π₯π₯π₯π₯
KasomeshaNini tena mkuu,? mbona mapema sana...
mpwayungu village kuna jambo hapa kaka πππMtu mwenyewe ticha, hamna hasara hata usipooa