Yaani ww akili huna kabisa...unalazimisha vitu, hamna sheria inayotaka uoe au kuolewa...sio sheria, umelewa mipombe yako unakuja fanya hitimisho lako...Kijana husika na kichwa hapo juu.
Kumekuwa na wimbi kubwa Sana la vijana wa kileo nikiwemo Mimi kwamba katutaki kuoa kutokana na masekeseke mengi waliyonayo hawa mademu.
Ila ukweli mchungu ni kwamba tutaoa Tu.. tutake tusitake tujiandae tu Kwa hilo hakuna namna sasa.
Narudia tena... TUTAKE TUSITAKE TUTAOA TUUU.
NI WAY OUT.
sijawahi kuona mtu kafa kisa hajaoaHamna jambo hatari miaka hii kama kuoa.
Umewaza kama mimi, pombe zake anakuja fanya mahitimisho..Keshalewa huyu..[emoji23]
Sogea karibu, mtoa mada ameshalewa leo sikukuuNipo kwa mbali nafuatilia huu Uzi kwa umakini sana
wanawake wenyewe hawa wa tomb@ niachie ndio uoeYaani ww akili huna kabisa...unalazimisha vitu, hamna sheria inayotaka uoe au kuolewa...sio sheria, umelewa mipombe yako unakuja fanya hitimisho lako...
Kaa tulia.
Hahahha kwann kila mmoja anaona jamaa kalewa....sijui, uzi una reply 13 ila reply 3 wanasema hivyo, arudi home akalale..kesho j3,..hahahah taifa inabd tufanye kazi.Nilipoona unaongeza bia tu nikajua zikikolea utaanza mada zako za ajabu ajabu[emoji23]
Hii comment nimecheka sanaaa, ulivyoona tu anaongeza bia ukasema mmmmh ataanza kutoa maboko hapa...ila dunia ina furaha sana.Nilipoona unaongeza bia tu nikajua zikikolea utaanza mada zako za ajabu ajabu[emoji23]
Mwanaume tafuta tu pesa,..hawa unakula unaacha...huyu anakuja anasema tuoe ni lazima...akalale, naona kalewa.wanawake wenyewe hawa wa tomb@ niachie ndio uoe
Mbona unalia lia sana dada? Kwani bado tu hujaolewa mpaka Leo?Yaani ww akili huna kabisa...unalazimisha vitu, hamna sheria inayotaka uoe au kuolewa...sio sheria, umelewa mipombe yako unakuja fanya hitimisho lako...
Kaa tulia.
Karibu tupige maji ya mende mzeeπNilipoona unaongeza bia tu nikajua zikikolea utaanza mada zako za ajabu ajabu[emoji23]
wao wana weza kabisaaaa za kuingiza na za kutolea!! kwa raha zooote wasije huku kutuharibia tunawaomba sana!! Lkn wanaume fanyeni hivi kwa wale Msio taka kuoa;Usipo oa utaolewa. Hivyo yani
Huk ni ukwel mchungu.....na pia mkae (ambao hamjaoa).....Ubachelor ni gharama sana iwe ni kifedha (kichumi), kihisia na hata muda........Mtakuja kunishuhudia hili utakapoamua kuoaKijana husika na kichwa hapo juu.
Kumekuwa na wimbi kubwa Sana la vijana wa kileo nikiwemo Mimi kwamba katutaki kuoa kutokana na masekeseke mengi waliyonayo hawa mademu.
Ila ukweli mchungu ni kwamba tutaoa Tu.. tutake tusitake tujiandae tu Kwa hilo hakuna namna sasa.
Narudia tena... TUTAKE TUSITAKE TUTAOA TUUU.
NI WAY OUT.