Hamza swakala
JF-Expert Member
- Feb 14, 2022
- 479
- 619
Hatari sana, MUNGU ATUSAIDIE.
We jamaa!Usioe mwanamke alokuzodi umri........... MWANAUME DHAIFU.
Usioe mwanamke aliyekuzidi Elimu ....MWANAUME DHAIFU
Usioe mwanamke aliyekuzidi kipato ...MWANAUME DHAIFU.
Kutoboa shingo, kuvaa shangaa, sio Uhuni, Wala sio umalaya ... Kwa Mataifa ya Afrika....... Hii ni sehem ya Urembo wa kitamadan .
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kila kitu kinapoanza huwa Kama uzushi.
Haya maneno yanakuja kuwa Movement Mana kurudia rudia huku mnapigilia misumali vichwani mwetu.
#Njoon kwang wote msioolewa.
Kaka semina yako unaifanyia wapi tuudhurie kaka😂😂🤣🤣🤣🤣🤣Haya haya haya,
Kwa wale mnaotaka kuoa pitieni hapa itakuja kuwasaidia.
Msiseme hatujawaambia.
~ Usioe mwanamke aliyekuzidi umri.
~ Usioe mwanamke aliyetoboa pua.
~ Usioe mwanamke anayevaa shanga kiuno ovyo ovyo.
~ Usioe mwanamke mwenye blich.
~ Usioe mwanamke aliyeachika.
~ Usioe mwanamke anayevaa skin tight.
~ Usioe mwanamke anayevaa miniskirt.
~ Usioe mwanamke asiyependa kusali.
~ Usioe mwanamke mwenye tatuu kwenye paja tako au kiunoni.
~ Usioe mwanamke aliyekuzidi elimu.
~ Usioe mwanamke aliyekuzidi kipato.
~ Finally usioe mwanamke aliyezalia nyumbani.
Ongeza ya kwako tuokoe vijana wenzetu wanaotaka kuoa.View attachment 2349388
Kwa wanyama sawa ila kwa Binadamu tuna utashi flani hivi. Ilimradi una uanaume ndani yako unaweza kumcontrol hata awe mrefu kiasi gani..Usioe mwanamke anayekuzidi urefu. Hata kwa wanyama beberu siku zote anakuwa giant. Hata kuku hivyo hivyo jogoo anakuwa giant. Ukizidiwa urefu na mwanamke na confidence yako kama mwanaume inashuka
Ukijijua wewe ni mwanaume dhaifu usioe kabis
laws of attractionUkijijua wewe ni mwanaume dhaifu usioe kabisa😃😃👋
HEBU vuta picha baba yako mzazi anapitia hii comment yako?Usiolewe na mwanaume ambae hana pesa, usiolewe na mwanaume mwenye kibamia, usiolewe na mwanaume anavaa zile kofia zimekaa kama sufulia, usiolewe na mwanaume anaeishi kwao.....usiolewe na single dad hua wanapasha vipolo na wazaz wenzao, usiolewe na mwanaume mwenye komwe, usiolewe na mwanaume ambae akitaka kununua boksa anamuuliza mama ake, usiolewe na mwanaume ambae anatumia kiswaswadu kikubwa kama vile radio call..... Wadada wenzangu olewa na mwanaume mwenye akili timamu
Nawasubili ma haters
HER PAST BRO,UPO WRONG BRUDA, Kuna maisha ya sasa na yakesho, leo anaweza akawa wa ovyo then anavyopevuka anakuwa perfect, kuzalia nyumban sio kikwazo cha kusema hafai, wala kuchora tattoo wengine walichora kipindi cha ujana moto moto na zikashindwa kufutika,
RUDIA KUFANYA RESEARCH
Haya mambo hayana formular.
Ndoa sio lazima kufanya harusi...
Mnaweza funga ndoa bila makelele wala karattasi za sheria...