BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
KUBALI NDOAKataa Ndoa
Ndoa Ni Utapeli
Ndoa Ni Wizi
Kataa Ndoa
KATAA NDOA KWA NGUVU ZOTEKUBALI NDOA
NDOA NI BARAKA
NDOA NI IBADA
NDOA STAREHE
ILA SHARTI LA NDOA UPATE MKE MCHAMUNGU NA MWENYE TABIA NZURI MWENYE WAZAZI WEMA. UKIOKOTA TU CHANGU NJIANI KISA ANA MATAKO MAKUBWA NDO SHIDA INAANZIA HAPO
KUBALI NDOA KWA NGUVU ZOTE, NDOA NI AKILI , NDOA NI MAFANIKIO, WAJINGA TU NA WAHUNI NDIO HAWANA NDOAKATAA NDOA KWA NGUVU ZOTE
NDOA NI UJINGA, UPIGAJI, UJAMBAZI ULIORASIMISHWA NA VITABU VYA DINI
Wajinga ndiyo wanaopigwa kwenye huo mtego, wajanja tushasanuka kitambo sanaKUBALI NDOA KWA NGUVU ZOTE, NDOA NI AKILI , NDOA NI MAFANIKIO, WAJINGA TU NA WAHUNI NDIO HAWANA NDOA
Mnajua nyie mnaoa mwanamke kwa kigezo cha sura na tako hapo ndipo mnapofeli.Wajinga ndiyo wanaopigwa kwenye huo mtego, wajanja tushasanuka kitambo sana
Endeleeni kupigwa
sifanyi biashara ya utumwa mimi, sinunui kiumbe, sifugi kiumbe ndaniMnajua nyie mnaoa mwanamke kwa kigezo cha sura na tako hapo ndipo mnapofeli.
π π π π π πKataa Ndoa
Ndoa Ni Utapeli
Ndoa Ni Wizi
Kataa Ndoa
Sinunui kiumbesifanyi biashara ya utumwa mimi, sinunui kiumbe, sifugi kiumbe ndani
Kusema ukweli kama huna vitu hivi vitatu muhimu achana kuoa utakufa unalalamika.Ni yule niliyemshauri mda mwingi tukiwa sehemu za starehe kitambaa cheupe tukipata K vant kubwa na Windhoek za Kopo baridi, mda mwingi tuliwaza pesa na kula bata ila mwenzangu akawa busy kukusanya pesa za Mahali. Nilikwambia hiyo million mbili bora twende kidimbwi tuagize kuku wa kuchoma na jack Daniel kubwa ila akasema mimi sio mtu mzuri namfudisha upumbavu
Vijana nawasihi mjipende wenyewe kwanza, hawa wanawake siku hizi wamekuwa tooo cheap Sasa unaowa ili iweje. Unaleta stress za ajabu tu nakujaza majukumu ndani ya Familia unakosa hata pesa ya kula kitumbua barabarani mda wote unawaza bajeti ya kula na kusomesha watoto
Sasa kwakumalizia jamaa kaja kwangu Jana usiku analia anaomba msaada mke wake kamtoroka alimtumia meseji akasema hawezi ishi na JITU ambalo halina pesa. Ona Sasa haya mambo, kabla ya sasa jamaa alikuwa yupo vzr ila mke ndokamfilisi. Jamaa kawajengea wakwe zake ila wazazi wake wa kumzaa wanaishi kwenye banda la nyasi na kuta la Mavi ya punda. Mke wake waliyeachana saizi yupo Kwa wazazi wake anakaa kwenye mjengo mpyaa ambao jamaa aliwajengea
Finally, jamaa yupo hapa kwangu mda huu Hana hata pakulala mke ameuza kila kitu kodi ya nyumba anadaiwa. Linakoroma tu sijui nilipake mafuta [emoji30][emoji31]π₯±
eti nitoe mahari , nihudumie kiumbe kinacho offer papuchi tuSinunui kiumbe
Sifugi kiumbe
Sifanyi biashara ya utumwa
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chai ya moto na hizi mvua za dar saizi yangu kabisaNi yule niliyemshauri mda mwingi tukiwa sehemu za starehe kitambaa cheupe tukipata K vant kubwa na Windhoek za Kopo baridi, mda mwingi tuliwaza pesa na kula bata ila mwenzangu akawa busy kukusanya pesa za Mahali. Nilikwambia hiyo million mbili bora twende kidimbwi tuagize kuku wa kuchoma na jack Daniel kubwa ila akasema mimi sio mtu mzuri namfudisha upumbavu
Vijana nawasihi mjipende wenyewe kwanza, hawa wanawake siku hizi wamekuwa tooo cheap Sasa unaowa ili iweje. Unaleta stress za ajabu tu nakujaza majukumu ndani ya Familia unakosa hata pesa ya kula kitumbua barabarani mda wote unawaza bajeti ya kula na kusomesha watoto
Sasa kwakumalizia jamaa kaja kwangu Jana usiku analia anaomba msaada mke wake kamtoroka alimtumia meseji akasema hawezi ishi na JITU ambalo halina pesa. Ona Sasa haya mambo, kabla ya sasa jamaa alikuwa yupo vzr ila mke ndokamfilisi. Jamaa kawajengea wakwe zake ila wazazi wake wa kumzaa wanaishi kwenye banda la nyasi na kuta la Mavi ya punda. Mke wake waliyeachana saizi yupo Kwa wazazi wake anakaa kwenye mjengo mpyaa ambao jamaa aliwajengea
Finally, jamaa yupo hapa kwangu mda huu Hana hata pakulala mke ameuza kila kitu kodi ya nyumba anadaiwa. Linakoroma tu sijui nilipake mafuta [emoji30][emoji31]π₯±