MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

Mkuu kwa hili huna data.... Martine hakuwa Askofu, alikuwa Padre na miongoni mwa sababu zilizomuondoa kwenye kanisa Katoliki ni hili la Uaskofu, alipinga hairakia ya Kanisa na vyeo kama Uaskofu, Upapa na mengineyo. Sema tu mengi aliyoyapinga aliishia kuayatenda akiwa kwenye kanisa lake. Mengine ni suala la Useja, hakutaka kabisa kulisikia na alipoondoka aliondoka na Mtawa wa kike aliyeishia kuwa mkewe.

Mambo ni mengi sana na yanahitaji muda wa kutosha. Lakini niseme tu kwamba "siyo kila alilolipinga lilikuwa baya" mengine aliyapinga kihalali kabisa japo njia aliyoitumia haikuhalalisha kitendo chake!!!

Pili, Biblia za wapeotestanti na wapentekoste zina vitabu 66 wakati biblia ya Wakatoliki ina vitabu 72. Hili lilitokana na kuwa baadhi ya yaliyomo kwenye vitabu hivyo (deuterokanoni) vinapingana na mafundisho yao. Sababu nyingi ni za kibinadamu tu!!! Hili lilikuwa rahisi sana kwake kwani suala zima la "Utaifa" liliingizwq kwenye huu mchakato wa Luther kujiondoa kanisa, matokeo yake kwa vile alikuwa Mjerumani, dhehebu lake likawa "dini dora" ya Ujerumani, katika hali kama hii, ni rahisi kwa uwezo wa kifedha kuchapisha Biblia zenye vitabi 66 na kuviondoa vile vingine!!!!
Maelezo Mazuri Thanks Mkuu
 
Otorong'ong'o,
Sasa tujikite kwenye mada na pale penye uchangiaji tusitukane...na tuweke historia ya Canon of Scripture kwanza na nina imani, Kwa uelewa wako na wengine tutakuwa msaada wa nini kilifanyika tangu mwanzo.
Kwanza nikubaliane kwamba..Canon of Scripture is the list of 73 books ni kweli na halina ubishi..nawe unaweza ukaeleza kama historia hiyo kama siyo kweli..
na uandishi wa awali ulifanyika tangu 10th century B.C mpaka Karne ya kwanza A.D ndipo Kitabu cha Ufunuo wa Yohana kilikamilika...kwahiyo mpaka hapo utakubaliana nami kwamba vitabu katika Biblia vilikuwa 73 hadi muda huo...kwa maana kwamba hivyo 66 ambavyo vinakubaliwa na Protestants or Jews jumlisha Saba (Deuterocanonical books) ambavyo vinakubaliwa na Roman Catholics and Eastern Orthodox..

Tuje kwenye hoja..Je vitabu 7 hivyo viliondolewa na Martin Luther...?
Jibu ni hapana..Kwa maana kwamba vilianza kuondolewa tangu Mkutano wa Jamnia wa Wayahudi..100 A.D...it called..'Council of Jamnia' at which walikataa hivyo vitabu..hii ilikuwa baada ya destruction of the temple in Jeresalem by the Romans in the year 70 A.D . Kumbuka hii ilitokana na Jews walipotaka kurudisha ile hali ya temple yao na ku-compose Maandiko yao baada ya kubolewa na kuharibiwa na Warumi.....
Je Ndugu Otorong'ong'o tunakubaliana hadi hapo...ili kuendelea kujenga Msingi wa Kilichotokea katika Mkutano huo wa Jamnia..Wayahudi waliviondoa vitabu vyote ambavyo walivikuta havikuandikwa kwa lugha ya Kiyahudi ingawa baadaye wamekuja kuona kwamba kumbe vipo ambavyo viliandikwa kwa Kiyahudi walipovipata kwenye Dead sea scrolls ambapo walipata flagments in hebraws of Tobit na Sirach....ingawa wapo Schoolers wengine wanaamini kwamba hata 1 Maccabees (Makabayo wa Kwanza), Judith, Baruch na sehemu za kitabu cha Hekima (Wisdom)...Kwahiyo walioanza kuondoa hivyo vitabu ni wayahudi wenyewe....Je hapo unakubaliana nami..?
Nimekuelewa vema, thanks kwa kuchangia knowledge
 
Hivi wewe ndo ulikuwa mpiga picha siku hiyo?mmefanya photoshop hadi watu walioko kwenye picha hawaonekani.Hata hivyo picha za kufundishia zipo tangu zamani.waandishi walichora picha za manabii na mitume kwenye mapango, mawe n.k ili kuhifadhi kumbukumbu zao lakini kamwe hazikuwahi kisujudiwa. Kwa taarifa yako picha zinatumika kwenye vitabu vya makanisa mbalimbali ili kufundishia tofauti na hivyo vinyago mnavyoviabudu
Nakuuliza hiyo picha ni ya nani.. ?
 
Ndg hamna amri iliyoondolewa zaidi ya kuboreshwa umeambiwa 2+2=4 au 1+3=4 kwa mtu mwenye upeo mdogo huwezi kuelewa, kwani hiyo iliyotolewa ilikuwa inasaje na hiyo iliyowekwa inasemaje.....?hebu ziweke hadharani kwa faida forum ili zichambuliwe.
Mgumu kuelewa huyo daah!!!
 
Hivi wewe ndo ulikuwa mpiga picha siku hiyo?
Hakuna picha iliyopigwa....Hilo ni bango limewekwa likiwa na picha ya mtu na limewekwa na watu wenye uelewa na walichokuwa wajua wanachokifanya....Nataka kujua hiyo picha ni ya nani. ..??

mmefanya photoshop hadi watu walioko kwenye picha hawaonekani.
Hizo picha zipo zipo kwenye mitandao na web site za Kisabato....Sasa unataka kusema nini...? Its a matter of time mtabadilika, Mama White alikuwa kichaa so, maamuzi aliyokuwa akiyatoa yalikuwa ni maamuzi ya kiwenda wazimu...Ila sasa wasomi wapo SDA watabadilisha vyote vya kichaa yule

Hujui pia Logo yenu imebadilishwa...??


Hata hivyo picha za kufundishia zipo tangu zamani
Kwa hiyo ile amri ya kujifanyia Picha wala Sanamu ya kilichopo mbingu au duniani ina-apply wapi...? Kwa hiyo ile amri ilisema tujifanyie picha na sanamu kwa ajili ya kufundishia ehhh..??

Ndugu! Unajichanganya.....

.waandishi walichora picha za manabii na mitume kwenye mapango, mawe n.k ili kuhifadhi kumbukumbu zao lakini kamwe hazikuwahi kisujudiwa
Umeanza kwa kukataa, na kusema ni photoshop, Ila sasa ukweli umeujua unakubaliana na mimi picha zipo kwaajili ya kufundishia sio.....So unakubali picha ni muhimu sio....Hahahaha...Mtaparanganyana sana Wasabato.....Yule Mama Muhuni Ellen G White aluwaingiza chaka...
Sasa niwakati wa mabadiliko na mabadiliko yanakuja....Stay tuned....GC sasa inakwenda kuidhinusha Wanawake kuwa wahubiri.....Tukae mkao wa kula....

Kwa taarifa yako picha zinatumika kwenye vitabu vya makanisa mbalimbali
Kwa wasabato picha si haramu...? Si upagani...?? Ni lini mmeanza kutumia picha kufundishia...???
Na ni makanisa gani hayo unayoongelea...?
Tunalibadili kanisa Taratibu ..Kaa mkao wa kule...

Mama Muhuni Kichaa, Ellen G White alikuwa na mihemko ...Sasa kikanisa chenu kinabadilika....Marekani huko kanisa linakufa maana mafundisho ya Mama ni kama laana...

ili kufundishia tofauti na hivyo vinyago mnavyoviabudu
Kaa mkao wa kula mabadiliko makubwa yanakuja....

Muhuni na Kichaa Ellen G White aliwaingiza chaka....Kazazi cha ku-reason kinakuja....SDA na GC huko Marekani kunafurukuta moto na Kanisa Linakufa...Stay tuned

We Kitaja rudi kwenye hii post....Sio unakimbia ...Huwa sina tabia ya kusahau....Nipo na madudu ya GC leo na mfukuto unaondekea huko marekani
 
Kama una hoja divine kwanini unatumia nguvu na matusi?

Unauliza Luther alipata mamlaka kutoka kutoka wapi. Alitumia uhuru wake wa kufikiri na kuchambua.

Kama mkereketwa mkatoliki, aliandika theses zake kuhusu kanisa. Wazee wa kanisa hawakuta kujibu hoja zake na walimkana.

Mimi naamini Mungu, lakini naamini kuwa vitabu vya dini kazi ya binadamu.







Local language sio big deal....

Hakuna cha maana hata kimoja kati ya malamiko yake kilibadilishwa na kanisa....

Kwakifu makamiko yako yalikuwa hayana mantiki yoyote ..
You say local language isn't a big. I say it is. It has helped the democratization of the religion.

The masses don't read the Bible in its entirity. So for ordinary people, the number of books in the Bible doesn't really. What matters is their spiritual exprience.



Unaakili timamu kweli wewe...??? Doctrine gani alimfanya aondoe hivyo vitabu kama si kutaka ku-suit mafundisho yake na upotofu wake...?

Haya niambie ni Apostolic reason gani ilimfanya aviondoe vitabu hivyoo...???

Kama angafanikiwa leo ungekuja kutetea waprotestant kuwa na vitabu 24 vya Agano jipya...???

Acha kutetea ujinga wa Luther, hii laana ndio ilifanya mpaka leo hii Protestant si kitu kimja ila mnazidi kuparanganyika ...

Alichotaka kufanya Luther ni sawa na walokole waindoe Nyaraka ya Wakorinto inayokataza Wanawake kuhutubu madhabahuni simply ku-suit mafundisho yao..

Hicho na alichokifanya Luther...
Tutolee ujinga wa Apostolic na Doctrinal hapa


Hayo mamlaka aliyatoa wapi angali Biblia ilishskamilika.. .?

Hapo umemshika pazuri...!Doctrine gani na Apostolic reasons zipi....?nasubiri,hawa watu wako shallow sana kwenye masuala ya maandiko na hawajui historia ya biblia.

Unaakili timamu kweli wewe...??? Doctrine gani alimfanya aondoe hivyo vitabu kama si kutaka ku-suit mafundisho yake na upotofu wake...?

Haya niambie ni Apostolic reason gani ilimfanya aviondoe vitabu hivyoo...???

Kama angafanikiwa leo ungekuja kutetea waprotestant kuwa na vitabu 24 vya Agano jipya...???

Acha kutetea ujinga wa Luther, hii laana ndio ilifanya mpaka leo hii Protestant si kitu kimja ila mnazidi kuparanganyika ...

Alichotaka kufanya Luther ni sawa na walokole waindoe Nyaraka ya Wakorinto inayokataza Wanawake kuhutubu madhabahuni simply ku-suit mafundisho yao..

Hicho na alichokifanya Luther...
Tutolee ujinga wa Apostolic na Doctrinal hapa
 
Otorong'ong'o,
Sasa tujikite kwenye mada na pale penye uchangiaji tusitukane...na tuweke historia ya Canon of Scripture kwanza na nina imani, Kwa uelewa wako na wengine tutakuwa msaada wa nini kilifanyika tangu mwanzo.
Kwanza nikubaliane kwamba..Canon of Scripture is the list of 73 books ni kweli na halina ubishi..nawe unaweza ukaeleza kama historia hiyo kama siyo kweli..
na uandishi wa awali ulifanyika tangu 10th century B.C mpaka Karne ya kwanza A.D ndipo Kitabu cha Ufunuo wa Yohana kilikamilika...kwahiyo mpaka hapo utakubaliana nami kwamba vitabu katika Biblia vilikuwa 73 hadi muda huo...kwa maana kwamba hivyo 66 ambavyo vinakubaliwa na Protestants or Jews jumlisha Saba (Deuterocanonical books) ambavyo vinakubaliwa na Roman Catholics and Eastern Orthodox..

Tuje kwenye hoja..Je vitabu 7 hivyo viliondolewa na Martin Luther...?
Jibu ni hapana..Kwa maana kwamba vilianza kuondolewa tangu Mkutano wa Jamnia wa Wayahudi..100 A.D...it called..'Council of Jamnia' at which walikataa hivyo vitabu..hii ilikuwa baada ya destruction of the temple in Jeresalem by the Romans in the year 70 A.D . Kumbuka hii ilitokana na Jews walipotaka kurudisha ile hali ya temple yao na ku-compose Maandiko yao baada ya kubolewa na kuharibiwa na Warumi.....
Je Ndugu Otorong'ong'o tunakubaliana hadi hapo...ili kuendelea kujenga Msingi wa Kilichotokea katika Mkutano huo wa Jamnia..Wayahudi waliviondoa vitabu vyote ambavyo walivikuta havikuandikwa kwa lugha ya Kiyahudi ingawa baadaye wamekuja kuona kwamba kumbe vipo ambavyo viliandikwa kwa Kiyahudi walipovipata kwenye Dead sea scrolls ambapo walipata flagments in hebraws of Tobit na Sirach....ingawa wapo Schoolers wengine wanaamini kwamba hata 1 Maccabees (Makabayo wa Kwanza), Judith, Baruch na sehemu za kitabu cha Hekima (Wisdom)...Kwahiyo walioanza kuondoa hivyo vitabu ni wayahudi wenyewe....Je hapo unakubaliana nami..?
Ahsante ndugu Ndaga kwa maelezo Murua...

Maelezo yako ni mazuri sana....Ni kweli vitabu vile Saba vilikatalikwa na na Wayahudi na sababu kubwa ilikuwa ni lugha ..Vitabu saba vile vilipokelewa kwa Lugha ya Kigiriki, hivyo Wayahudi iliwawia vigumu kuvipokea kama sehemu ya vitabu vyao...

Ndio maana, kwenye post zangu za mwanzo, nilisema Martin Luther alitumua loop hole hiyo ya Wahudi kupata uhalali wa kupunguza vitabu hivyo...

Ni kweli Sasa hivi Wayahudi wameshaanza kuvikubali vitabu hivyo....Huoni kuwa Martin Luther ataumbuka soon....?? Atakuwa na justification gani tena...? Maana wayahudi wameshaanza kuvirejesha vitabu hivyo...?

Tukubali kuwa Luther alikuwa na mihemko kuondoa vitabu vile....

Tuendelee na mjadala
 
Unaakili timamu kweli wewe...??? Doctrine gani alimfanya aondoe hivyo vitabu kama si kutaka ku-suit mafundisho yake na upotofu wake...?

Haya niambie ni Apostolic reason gani ilimfanya aviondoe vitabu hivyoo...???

Kama angafanikiwa leo ungekuja kutetea waprotestant kuwa na vitabu 24 vya Agano jipya...???

Acha kutetea ujinga wa Luther, hii laana ndio ilifanya mpaka leo hii Protestant si kitu kimja ila mnazidi kuparanganyika ...

Alichotaka kufanya Luther ni sawa na walokole waindoe Nyaraka ya Wakorinto inayokataza Wanawake kuhutubu madhabahuni simply ku-suit mafundisho yao..

Hicho na alichokifanya Luther...
Tutolee ujinga wa Apostolic na Doctrinal hapa
Wewe umeanza ukatoliki toka ukiwa mtoto. Your brain has been wired to think the Catholic way without taking into consideration that religion you dearly believe is man made.
 
Ni utaratibu wa Kanisa kwa makaasisi wake na useja haulizimishwi Bali wito tuu.
Miaka ya mwanzo makasisi walioa na baadhi ya Popes walikuwa wameoa. Tatizo wakaanza kutumia mali za kanisa kurithisha watoto wao. Undugu urikithiri. Watu waka- promote mpaka watoto wao wa nje kuwa makasisi.

Nikisema dini ni man made mtanipinga sana.
 
Miaka ya mwanzo makasisi walioa na baadhi ya Popes walikuwa wameoa. Tatizo wakaanza kutumia mali za kanisa kurithisha watoto wao. Undugu urikithiri. Watu waka- promote mpaka watoto wao wa nje kuwa makasisi.

Nikisema dini ni man made mtanipinga sana.
Upo sahihi kabisa....Na swala la useja ni Doctrine ya kanisa siyo Dogma....

Pamoja na hayo, imesaidia sana ktk umoja wa Kanisa na kanisa kudumu....Maana upadre ni wito na mtu halazimishwi...
 
Martin Luther alishapata cheo cha , 'uaskofu' wakati huo. Dhana kwamba alifuta vitabu 7 napata shida mamlaka hayo aliyapata wapi? Mnyonge mnyonge lakini haki yake mpe
Shida gani unapata,sema umeamua kujipa shida,Iko wazi kabisa tafuta biblia ya inayotumiwa na waprotestant kisha tafuta biblia inayotumika kwa wakatoliki utabaini hili,
Na bila wasiwasi biblia ya awali zaidi ni wanayotumia wakatoliki,sasa ukisha pata hili haya tafuta niblini na ni nani alipunguza utamkuta huyo ndugu,
 
Wewe umeanza ukatoliki toka ukiwa mtoto. Your brain has been wired to think the Catholic way without taking into consideration that religion you dearly believe is man made.
Man made kivipi..? Kuwa Yesu ni man made ..daah..mpaka naogopa kuandika...,

Imani ya Kanisa Katoliki ijipambanua kwenye Creed tunayo ikiri kila tunapokutana..
 
kiukweli umekuwa mkristo usie na faida.
kuabudu miungu na kuvunja amri za Mungu ndiko kunakutesa mpaka umkosoe martini luther.
kajipange upya na hoja zako zenye kukinzana na imani ya ukristo.
Umeathirika na hasira zitokanazo na msimamo ulopitiliza wa mahaba ya nje juu unakosali,
Relax
Changanua mambo kwa namana ambayo hata unaemkosoa ataona kuna kitu umeongea cha maana,
Nisikulaumu sana yamkini ndo ukomo wako wa kupambanua mambo,
 
Shida gani unapata,sema umeamua kujipa shida,Iko wazi kabisa tafuta biblia ya inayotumiwa na waprotestant kisha tafuta biblia inayotumika kwa wakatoliki utabaini hili,
Na bila wasiwasi biblia ya awali zaidi ni wanayotumia wakatoliki,sasa ukisha pata hili haya tafuta niblini na ni nani alipunguza utamkuta huyo ndugu,
Martin Luther ataumbuka soon...Maana wayahudi wameshaanza kuvirejesha vitabu hivyo...."Dead Sea Scroll"
 
.
*uandishi wako unaonyesha kua huijui historia ya kanisa,,,
kwa mfano huzungumzii sala kwa bikira maria na cheo chake cha umalkia, ubatizo,,, imani, na neno..
Mkuu hebu nikuulize ni kanisa kipi ambalo jamaa hajui historia yake,unaonaje umkosoe kwa kuleta historia hyo ya kweli unayoijua ww ili tuisome na kuwianisha na yake kuliko kuongea maneno matupu,
Ushauri wa bure,usitumie maneno ya kukarilishwa huko unakosali kiasi ukiyaskia yahusuyo mtangulizi wako unaona ni uongo,
Acha chuki haimpendezi MUNGU
 
We jamaa ni tatizo... Kuandika tu hujui... Unatuharibia kiswahili bwana
Yesu aliyajua kuawa siku zijazo kunawatu watamtukuza bikla ..kaamua kupigilia msumali kavitabu vyiote vya injili vinasema ..yesu alipokua hekaluni akihubi kaja mtu akamwambia Bwana nduguzo nawazazi wako wakoinje wanakuita.. Yesu akajibu ndugu zangu nawazazi wangu niwale wanao lisikia neno la Mungu..kuanzia hapo huyo bikila wenu alianza kupoteza muelekeo ndani yabibilia.. Ee huundio ukweli japo wa Rc hamuutaki lakini tunausema
 
We jamaa ni tatizo... Kuandika tu hujui... Unatuharibia kiswahili bwana
Tofautisha kati ya kutojua kuandika na makosa ya kiuchapaji,
Lkn nyuma ya ukosoaji huu uloufanya kumebeba siri kubwa ya ufahamu wako,maana waelewa wanajua kuna typing errors ambazo kimsingi hazibadili maana
 
Back
Top Bottom