MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

Biblia iliandikwa na mitume na manabii.. Sasa katoliki iliandika biblia gani? Wakati ukatoliki uliikuta biblia na ukisoma biblia utaona hakuna udhehebu mule bali watu walioguswa ni wenye kuamini jina lake tu. Udhehebu ulianzishwa na wakatoliki baadae na hii ilikua kwa muuenendo wa desturi za Waroma kwamba kiongozi wa nchi ndio kiongozi wa dini hivyo.

walivyouingiza ukristo katika desturi zao ndipo baadae udhehebu ukapatikana baada ya watu kuona hawapo sahihi na biblia inavyowafundisha hapo ndipo mtengano ukatokea na baadae kuanzisha makanisa tofauti ila waliendelea kutumia kitabu hicho hicho biblia kwa mafundisho wanayo yaamini..
 
Biblia iliandikwa na mitume na manabii.. Sasa katoliki iliandika biblia gani?? Wakati ukatoliki uliikuta biblia na ukisoma biblia utaona hakuna udhehebu mule bali watu walioguswa ni wenye kuamini jina lake tu. Udhehebu ulianzishwa na wakatoliki baadae na hii ilikua kwa muuenendo wa desturi za waroma kwamba kiongozi wa nchi ndio kiongozi wa dini hivyo walivyouingiza ukristo katika desturi zao ndipo baadae udhehebu ukapatikana baada ya watu kuona hawapo sahihi na biblia inavyowafundisha hapo ndipo mtengano ukatokea na baadae kuanzisha makanisa tofauti ila waliendelea kutumia kitabu hicho hicho biblia kwa mafundisho wanayo yaamini..
Vitu vingine hata Google inaweza kukusaidia japo kidogo kujiongeza. Biblia ni mkusanyiko wa maandiko mbalimbali ambayo yameandikwa na waandishi mbalimbali. Hayo maandiko hayakuwa pamoja kwenye kitabu kimoja tunachoita leo Biblia.

Hivyo bila Kanisa Katoliki tusingekuwa na Biblia kwasababu ndio walioweka utaratibu wa kukusanya hayo maandiko mbalimbali kwa kuongozwa na Roho Mtakatifu wakajua yapi yachukuliwe na yapi yaachwe. Kwa mfano unajua ziliandikwa injili zaidi ya 24? Unajua hadi Mtume Tomaso ana injili? Lakini baada ya uchambuzi zikapatikana injili 4 unazoziona Leo. Elimu yote ya Biblia na historia yake ya kweli ipo Kanisa Katoliki tu na wengine wanaiba ukweli huu na kuingiza matakwa yao.

Halafu Rumi ,Roma na Ukatoliki havina uhusiano kabisa suala la upagani Kanisani ni dhana potofu mno ....inahitaji muda kuelimishana ....kwa mfano unajua hata kusherekea Christmas chanzo chake ni upagani? ....
 
Martin Luther alileta mapinduzi makubwa sana kiiman,

Wakati mwingine huwa najaribu kuangalia ibada za wakatoriki naishia kucheka.
Mapinduzi labda ya kupindua vitabu 7 vya Agano la Kale kwa kuviondoa kwenye canon ya Biblia.....

Mapinduzi mengine ni attempt ya kuondoa vitabu vya Ufunuo, Waebrania na Yakobo
 
Vilikuwepo vitabu ila kanisa katoliki halikuandika Biblia ila waliviunganisha vitabu ili kupata Biblia. Na vipo vitabu vilivyoachwa kujumuishwa kwenye Biblia. Zamani sisi tulikua tunasoma darasani haya Kama somo. Ni muhimu Sana kujua Nani aliandika vitabu vya Kwenye Biblia, aliwaandikia kina Nani na kwanini, je kuna criticism zozote ktk maandishi yake. Yapo mengi mno mtu anatakiwa ajifunze kuhusu Biblia kabla hajaanza kusoma yaliyomo
 
KWANINI PADRE Luther ALIFUKUZWA KANISA KATOLIKI? NA KWANINI ALIONDOA BAADHI YA VITABU KWENYE BIBLIA AGANO LA KALE?

Padre Luther alikuwa miongoni mwa Mapdre wenye karama nyingi ndani ya Kanisa katoliki wakati wake, Yeye alikuwa na Madai mengi sana juu ya mapungufu kwa kanisa. Hata hivyo madai yake mengi hayakuwa na msingi wowote.

Moja ya madai yake ilikuwa ni kuondoa kibali cha kwamba baada ya kuungama muumini asipewe stakabadhi ya kuonesha ameungama kwa kuwa kitubio ni siri ya MTU. Hili lilifanyiwa kazi. Mengine ikiwemo kurekebisha mfumo WA sala ya Kanuni ya Imani. Na mambo mengine mengi ambayo alipojibiwa, yeye hakuridhika pamoja na kueleweshwa vya kutosha. Alikuwa ni Great Thinker sana.


Mbaya zaidi alipokuja kusababisha mpaka akajitenga na kanisa ni kitendo cha kuondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia ikiwemo pia kupunguza baadhi ya mistari kwenye vitabu kama cha Esta na Cha Danieli.
Aliondoa vitabu vya Deutrokanoni na vingine baadhi na kuwa jumla ya vitabu 7 vilivyotolewa kwenye Biblia. Na kila kitabu alikuwa na sababu yake aliyoibainisha. Kimsingi alipata wafuasi wengi WA kumuunga mkono hoja yake hasa wale ambao walikuwa wanatafta njia ya kuchuma pesa kiulaini. Na hapo Biblia mpya ilianza yenye Vitabu pungufu.

Na ndio maana Leo watu hawaujui Ukristo vizuri na wanakinzana bila kujua historia ya kanisa. Watumishi wengi WA Mungu hasa HAWA WA kileo wasiojua nhistoria vizuri wao kila kitu wanapinga. Sio kosa lao Bali ni kosa la kutokujua historia ya kanisa.
Matumizi ya Ubani yalipingwa sana, na hapa ilikuwa ni kuondoa idadi ya waelewa. Kutokana na watu wengi walikuwa wamegeuka kama waganga kila mapepo ya kiwakabili walitumia ubani kuyafukuza na yalikimbia, lakini watu walijisahau kusali na kuomba na hata kufika ibadani ikawa nadra maana wanajua kujiponya kuondokana na majini na wachawi. Hapa Padre Luther na wenzake wakapiga marufuku matumizi ya ubani na kuwa sihi wakazanie Neno zaidi.

Hapa walichotakiwa kufanya ni kuliishi Neno la Mungu na wakati WA ibada basi ubani uchomwe kama Mungu alivyo agiza.
Luther na wenzake lengo lao lilikuwa ni biashara hapo baadae na kimsingi mpango huo ulifanikiwa. Na ndio maana mpaka Leo watu wametawaliwa na mfumo WA majini katika maisha yao kwa kuwa wamefungwa akili ya kujitambua na wanaamini maneno ya mdomoni na sio Maandiko ya Biblia kama yanavyosema.
Nimengi ya kujifunza sana Leo hii lakini kwa Leo naishia hapa.

deogratius Nalimi Kisandu.
1. 1. 2017.
 
Biblia iliandikwa na mitume na manabii.. Sasa katoliki iliandika biblia gani?? Wakati ukatoliki uliikuta biblia na ukisoma biblia utaona hakuna udhehebu mule bali watu walioguswa ni wenye kuamini jina lake tu. Udhehebu ulianzishwa na wakatoliki baadae na hii ilikua kwa muuenendo wa desturi za waroma kwamba kiongozi wa nchi ndio kiongozi wa dini hivyo walivyouingiza ukristo katika desturi zao ndipo baadae udhehebu ukapatikana baada ya watu kuona hawapo sahihi na biblia inavyowafundisha hapo ndipo mtengano ukatokea na baadae kuanzisha makanisa tofauti ila waliendelea kutumia kitabu hicho hicho biblia kwa mafundisho wanayo yaamini..
Ukienda Kwa mwendo huu wa kukaririshwa huwezi Fika.umepotoshwa.
 
Ukienda Kwa mwendo huu wa kukaririshwa huwezi Fika.umepotoshwa.
Hah hah hah mkuu umenikumbusha aya flani inasema nae Mussa akafa akiwa na miaka..........alafu wanatuambia mwandishi wa kitabu hicho ni Musa huyo huyo.
 
Mapinduzi labda ya kupindua vitabu 7 vya Agano la Kale kwa kuviondoa kwenye canon ya Biblia.....

Mapinduzi mengine ni attempt ya kuondoa vitabu vya Ufunuo, Waebrania na Yakobo
Walio compile hcho kitabu n kina nan..? N maaskofu ama ma Padre na ilikua mwaka gan.? Na chapisho la kwanza lilitolewa na nan..?

Naomba mtupatie historia ya biblia Katka mtiririko ulio nyooka il tuwaelewe
 
KWANINI PADRE Luther ALIFUKUZWA KANISA KATOLIKI? NA KWANINI ALIONDOA BAADHI YA VITABU KWENYE BIBLIA AGANO LA KALE?

Padre Luther alikuwa miongoni mwa Mapdre wenye karama nyingi ndani ya Kanisa katoliki wakati wake, Yeye alikuwa na Madai mengi sana juu ya mapungufu kwa kanisa. Hata hivyo madai yake mengi hayakuwa na msingi wowote.

Moja ya madai yake ilikuwa ni kuondoa kibali cha kwamba baada ya kuungama muumini asipewe stakabadhi ya kuonesha ameungama kwa kuwa kitubio ni siri ya MTU. Hili lilifanyiwa kazi. Mengine ikiwemo kurekebisha mfumo WA sala ya Kanuni ya Imani. Na mambo mengine mengi ambayo alipojibiwa, yeye hakuridhika pamoja na kueleweshwa vya kutosha. Alikuwa ni Great Thinker sana.


Mbaya zaidi alipokuja kusababisha mpaka akajitenga na kanisa ni kitendo cha kuondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia ikiwemo pia kupunguza baadhi ya mistari kwenye vitabu kama cha Esta na Cha Danieli.
Aliondoa vitabu vya Deutrokanoni na vingine baadhi na kuwa jumla ya vitabu 7 vilivyotolewa kwenye Biblia. Na kila kitabu alikuwa na sababu yake aliyoibainisha. Kimsingi alipata wafuasi wengi WA kumuunga mkono hoja yake hasa wale ambao walikuwa wanatafta njia ya kuchuma pesa kiulaini. Na hapo Biblia mpya ilianza yenye Vitabu pungufu.

Na ndio maana Leo watu hawaujui Ukristo vizuri na wanakinzana bila kujua historia ya kanisa. Watumishi wengi WA Mungu hasa HAWA WA kileo wasiojua nhistoria vizuri wao kila kitu wanapinga. Sio kosa lao Bali ni kosa la kutokujua historia ya kanisa.
Matumizi ya Ubani yalipingwa sana, na hapa ilikuwa ni kuondoa idadi ya waelewa. Kutokana na watu wengi walikuwa wamegeuka kama waganga kila mapepo ya kiwakabili walitumia ubani kuyafukuza na yalikimbia, lakini watu walijisahau kusali na kuomba na hata kufika ibadani ikawa nadra maana wanajua kujiponya kuondokana na majini na wachawi. Hapa Padre Luther na wenzake wakapiga marufuku matumizi ya ubani na kuwa sihi wakazanie Neno zaidi.

Hapa walichotakiwa kufanya ni kuliishi Neno la Mungu na wakati WA ibada basi ubani uchomwe kama Mungu alivyo agiza.
Luther na wenzake lengo lao lilikuwa ni biashara hapo baadae na kimsingi mpango huo ulifanikiwa. Na ndio maana mpaka Leo watu wametawaliwa na mfumo WA majini katika maisha yao kwa kuwa wamefungwa akili ya kujitambua na wanaamini maneno ya mdomoni na sio Maandiko ya Biblia kama yanavyosema.
Nimengi ya kujifunza sana Leo hii lakini kwa Leo naishia hapa.

deogratius Nalimi Kisandu.
1. 1. 2017.
 
Walio compile hcho kitabu n kina nan..? N maaskofu ama ma Padre na ilikua mwaka gan.? Na chapisho la kwanza lilitolewa na nan..?

Naomba mtupatie historia ya biblia Katka mtiririko ulio nyooka il tuwaelewe
Ondoa Shaka mkuu...kila kitu utapata
 
Unajua maana ya neno Catholic?...

Kama ulikua hujui anglikana nao wanaitwa Anglican Catholic, Orthodox Catholic, na ndiyo maana hakuna dhehebu linaloitwa Catholic ila lipo Roman Catholic.. nenda kasome maana ya Catholic
Wataalamu wanasema hakuna dhehebu linaitwa Roman Catholic bali kuna The Catholic Church. na kweli hili ndilo tunaloliona huku mtaani. Unaona Kanisa katoliki na siyo Kanisa Katoliki la Roma.
 
Back
Top Bottom