Mjadala mkubwa wa wanachama, washabiki na wapenzi wa Yanga waliopo JF (Wana Simba hawaruhusiwi)



Kulikuwa na habari za Dangote kuwekeza Yanga, ziliishia wapi?
 
Hizo pesa zitaenda matumboni mwa viongozi.
Wataanza kujipandishia mishahara na kukaa vikao kila wakati kwenye hotel za kifahari.
 
Vyura wameususia Uzi wako Kama walivyoisusia kandambili fc!

Kwa ufupi Mimi natamani njaaa iendelee mpaka msambaratike na timu lenu lifeee! Na mwakani lishuke daraja rasmi! Shuuubamit!

[HASHTAG]#Kima[/HASHTAG] wa Taifa#
Haya mawazo ya wake weza, bila shaka wewe utakuwa mke wangu mdogo una muombea mabaya mke wangu wa kwanza
 
Usitegemee lolote kwa uongozi wa Mkwasa na Sanga
 
Yanga imekosa kiongozi full stop Mkwassa na Sanga wanatakiwa wapate mtu wa kuwaamuru, wao hawajiwezi.
 
Haya mawazo ya wake weza, bila shaka wewe utakuwa mke wangu mdogo una muombea mabaya mke wangu wa kwanza
Wewe ndio malinzi? Endelea kupigwa paipu Huko segerea na manyampala!!!
 
Wewe ndio malinzi? Endelea kupigwa paipu Huko segerea na manyampala!!!
Acha uganga wa kienyeji, Leo nakuja kukupiga usiku kucha mke mwenzio zamu yake imeisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…