bene michael
Senior Member
- Mar 1, 2017
- 130
- 98
Kuisifu Simba kufanya vizuri kwa sababu ya usajili wa bilioni 1.3 ni kupotoka. Ukweli ni kwamba kile si kikosi cha hicho kiasi cha fedha.
Simba amechukua kombe msimu huu si kwa sababu ina kikosi bora, bali ni kwa sababu ya ubovu wa washindani wake (hususani Yanga na Azam)
Back to the topic. Tatizo la Yanga ni kubwa kuliko usajili wa msimu unaokwisha, tatizo la Yanga mfumo mbovu wa kutegemea fedha za mtu ili kuendesha timu.
Hizo pesa zitaenda matumboni mwa viongozi.Timu yetu inahitaji stable income na utaona matokeo,wachezaji hawawezi kucheza kwa moyo na kujituma huku wanadai hela za usajili na mishahara ya miezi 3,Yanga ina wapenzi na washabiki wasiopungua millioni sita tanzania nzima ,tukichukua wapenzi na wanachama 1,000,000 kila mwezi tuchange TZS 1000 au buku timu itaingiza billion moja na hutasikia njaa tena na hapo watapata na hela za kuwekeza kwenye miradi inayolipa.
Haya mawazo ya wake weza, bila shaka wewe utakuwa mke wangu mdogo una muombea mabaya mke wangu wa kwanzaVyura wameususia Uzi wako Kama walivyoisusia kandambili fc!
Kwa ufupi Mimi natamani njaaa iendelee mpaka msambaratike na timu lenu lifeee! Na mwakani lishuke daraja rasmi! Shuuubamit!
[HASHTAG]#Kima[/HASHTAG] wa Taifa#
Ukidurusu kwenye hizi taarifa kwa kina utagundua jinsi hali ya YangaMkuu ni vema ukatueleza hapa Japo kwa Ufupi Lwandamina alishauri
nini? Kina nani walimpinga?
Wewe ndio malinzi? Endelea kupigwa paipu Huko segerea na manyampala!!!Haya mawazo ya wake weza, bila shaka wewe utakuwa mke wangu mdogo una muombea mabaya mke wangu wa kwanza
Acha uganga wa kienyeji, Leo nakuja kukupiga usiku kucha mke mwenzio zamu yake imeishaWewe ndio malinzi? Endelea kupigwa paipu Huko segerea na manyampala!!!