Kwani Hatujambo WanaJF,
Kila Kona Ya Ulimwengu Tunazungumzia Kuhusu Vyakula Vya Viwandani (artificial foodsubrtance) na vyakula vya asili (natural foodstuff).Kwani vipi bora zaidi na zaidi kuliko chenzake?
Je, wanabiolojisti hawalitambui hili na kwanini waendelee kutengeneza vyakula vya viwandani hawajui madhara yake?
Au wanafanya makusudi kuchanaganya makemikali kwenye vyakula?
Nawasilisha kwenu, madokta kujeni hapa kwa mjadala zaidi.
Kila Kona Ya Ulimwengu Tunazungumzia Kuhusu Vyakula Vya Viwandani (artificial foodsubrtance) na vyakula vya asili (natural foodstuff).Kwani vipi bora zaidi na zaidi kuliko chenzake?
Je, wanabiolojisti hawalitambui hili na kwanini waendelee kutengeneza vyakula vya viwandani hawajui madhara yake?
Au wanafanya makusudi kuchanaganya makemikali kwenye vyakula?
Nawasilisha kwenu, madokta kujeni hapa kwa mjadala zaidi.