MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

Changamoto zinazochangiwa kutoolewa kwangu
  • Kuweza kuyamudu na kuishi maisha katika standardard ninayopenda on my own. (e.g take myself to trips, buy things and/or toys I want, build a crib and etc)
  • Experience za wanandoa wengine (friends, family including vilio vya wanandoa strangers in Jf)
  • Lack of patience and compromise. I'm generally allergic to BS and have zero tolerance kwa upuuzi ama visingizio visivyo na maana!! eg ohh nililewa, shetani alinipitia, demu alijileta and so on ....................not for me oooo(in my Naija voice)
Hivyo vingine siwezi kukushauri ila hio ya experience za wengine si sawa. Yanayowatokea wao sio lazima yakutokee wewe. Kwanini usichukue experience positive ya ndoa zilizo imara?
 
Habari za jumatatu,

Ni changamoto gani unazipata katika harakati za kutafuta mke kama wewe ni wale waliochelewa kuoa. Kwa mtazamo wa jamii zetu za kiTz mwanaume au mwanamke aliezidi miaka 35 hajaoa au kuolewa ni kuwa amechelewa. Hii sio sheria mwingine anaweza kuwa na mtazamo tofauti.

Mimi binafsi changamoto ninazopata ni hizi;

1.Umri-wanawake wengi kwenye jamii zetu ambao hawajaolewa umri wao ni 22-26. Kwangu mimi bado wadogo yaani tofauti ya umri naiona kubwa.

2.Siko tayari kuoa mwanamke mwenye mtoto-naomba nisieleweke vibaya, huu ni msimamo tu nimeamua hivyo. Changamoto kubwa sasa ni kuwa wale ambao naona ndio umri sahihi wa kuolewa na mimi wengi wao wana mtoto/watoto.

3.Nachagua sana (Naambiwa hivyo inabidi nikubali)-kuoa bila kuchagua inawezekana kweli? Huyu ni mtu nitakaekuwa nae kwa maisha yangu yote sasa inabidi nipate mtu nilieridhika nae.


Tuchangie thread hii kwa lengo la kusaidiana, kurekebisha na kushauri.

Sasa kinachokufanya usioe ni nini
 
Kuoa ni lazima mtu ajipange, kipesa na mahitaji muhimu yawe yanapatikana kwa wakati na sio kitu cha kukurupukia na kumpata mwenza ambae umeridhika nae hapo mtaishi lasivyo utaiona ndoa chungu sana na kujuta maisha yako yote.
 
Hivyo vingine siwezi kukushauri ila hio ya experience za wengine si sawa. Yanayowatokea wao sio lazima yakutokee wewe. Kwanini usichukue experience positive ya ndoa zilizo imara?
Mkuu si kuwa I seek these -ve references, they just happen to be aplenty. Let me ask you this, katika pitapita zako na maisha yako, in a sample of 10 marriages je unakutanaga na positive experience ngapi na negative ngapi?
 
Mkuu si kuwa I seek these -ve references, they just happen to be aplenty. Let me ask you this, katika pitapita zako na maisha yako, in a sample of 10 marriages je unakutanaga na positive experience ngapi na negative ngapi?
Well...rafiki zangu watano(watatu wadogo kuliko mimi) ni mmoja tu ndoa yake ipo hadi leo. Lakini experience zao hazitaathiri uamuzi wangu kwenye suala hili.
 
Mimi ni mchoyo as well..........kidding of course. I am not looking to just "have a man" ni lazima kuwe an some added value otherwise ingekuwa ilimradi bora mume probably ningekuwa nisha olewa by now. I am a strong believer of equality;"tutunzane", "Tuoane"
Are u intimidating in any way?
 
Mimi cha kwanza sitaki kuolewa na mwanaume mwenye mtoto we mungu nisaidie,
--sitaki kuolewa na mwanaume chini ya miaka 27
--sitaki kuolewa na mwanaume ambaye hajasoma ee mungu nisaidie.....

Lkn bado sijaona sababu ya mimi kuolewa coz kwangu siyo lazimaa
Ndio mana ulinikataaa kumbe wewe kuolewa sio lazima duuu
 
Ahsante kwa ushauri bado nafasi ya kusubiri ipo kinachofanya iwe ivyo ni maisha ya ujana. Binafsi niliomba niishi maisha ya uaminifu hadi pale nitakapokutana na mtu ambaye atakuwa nami maishani, thanks God huyu binti four years back ndipo nlipokutana nae.
Nipo tayari kusubiri hata miaka mitano, mwakani tutaangalia lakini kuanzia mwaka kesho nitakua tayari mda wowote.
Thanks kwa ushauri.
Kaka oa tu cha msingi muishi kwa kumtanguliza Mungu 26 to 21 ni vizuri tu
 
Kiukweli sijaoa bado ila kuna demu hajaolewa pia ila ana mtoto tayari ila ni mrembo kiasi chake mtoto kampeleka kwa mama yake huko kijijini na ana miaka mitano sasa ila mimi ni kama prondo tu sitaki kuwahi kuoa au kuoa mwanamke mwenye mtoto
Na ananing'ang'ania kweli yani
Oa mkuu
 
Mi nawaza hivii ukiolewa ili mradi tu kuolewa hujampenda huyo mme siku akiugua unamuuguzaje,,(nilivyo na kinyaa kwa mtu ambae hayupo moyoni )
Siku akiishiwa pesa itakuwaje?maana uliolewa tu ili mradi jamii ione nawe umeolewa
Na ndoa ni mjumuiko wa mambo mengi sana sio ngono tu
Tunaowapenda hawatuoi ,sijui tutaolewa na kina nani
Mim mtu ambae naweza kuishi nae ni mmoja tu huyo hata akiugua naweza kumuuguza hata akijinyea naweza mtawaza maana nampenda simuoneagi kinyaa
Mim kama hatonioa huyo nitakaa tu bana mpaka atokee mwingine atakaeniingia kichwani sana
maana wengine sitokuwa na mapenzi nao halaf watanikifu hahaahhaha
Njoo kwangu Dada tujenge familia chini ya msingi wa upendo
 
Back
Top Bottom