MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

Usijali
Mie mara ya mwisho kuomba hela nilikuwa na miaka mitano, Nakumbuka niliomba sh tano.... Nilichapwa viboko visivyo na idadi na Mamangu.... Kuanzia hapo Sijawahi omba teeeenaa mtu hela
Mie niliomba pesa ya kwenda kuangalia mazingaombwe mama akaniambia hana hela, kesho wakati naondoka kwenda shule nikaona pesa mezani. Nikachukua shilingi 10 kama zangu vile.

Kurudi huo msala wake nilinyooka! Mama akasema pesa zote ni zake kwahiyo ole wangu!! Yaani nilikuwa hata nikiokota pesa nampelekea mama namwambia hii pesa yako niliokota.
 
Mbona hufanan na hyo sentens sio wewe ndio huyo mama kwel na Heaven Sent ndio mtoto naona kama yako kinyume nyume vile
 
Hahahaha
Wamama wa zamani daaah, mie nilimuomba mgeni wala sio yeye sasa!!!!
 
Ha ha ha unafikir kila mtu ana roho mbaya kama wewe, Wewe ukija kunitendea wema ntajua siku zako za kufa zmekarbia so unapatana na wa dunian kwanza before hujaenda kudeal na sir God
Na hivyo sina mpango wa kufa ndio basi tena!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…