MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?


kiufupi wengi umri huo wanakuwa makapi, cream zishawahiwa
 
Please, naomba unisamehe......kusema kweli nilisema kwa masihara tu,sikujua kama nitakuumiza kiasi hiki. Nimekosa amani kuona nimekukwaza rafiki yangu.
Hapa nimekuelewa yameisha

Kiukweli nilihisi limekutoka moyoni japo utani ila mwanaume kuitwa mmbea haipendezi nashukulu kama umetengua kauli.
 
Hahaa nimecheka eti 'nachagua sana' hakuna ubaya kwenye kuchagua sana maana mtu ambae utaishi nae maisha yako yote ni lazima roho yako iwe imeridhika la sivyo ndoa itakuwa ndoano, lakini unatakiwa ujue no one is perfect na huyo utakayemuona umeridhishwa nae anaweza asiwe ameridhishwa na wewe
 
Umemshauri vizuri sana pacha wangu
 
Nimependa ushauri wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…