mamboNakusalimia tu..
Kwa tamaduni na mazingira ya kiafrika yalivyo ukishafika miaka 33+ ni vigumu sana kupata mwenza aliye sahihi hii ni kwa jinsia zote!
Kwa umri huo watu wa umri wako ambao wako available watakuwa ni wataraka au masingle mothers/fathers na waliokobuhu kwenye mahusiano kiasi kwamba hata kuumiza au kuumizwa hawaoni shida kabisa.
Jinsia ipi inakuwa makapi ?kiufupi wengi umri huo wanakuwa makapi, cream zishawahiwa
Please, naomba unisamehe......kusema kweli nilisema kwa masihara tu,sikujua kama nitakuumiza kiasi hiki. Nimekosa amani kuona nimekukwaza rafiki yangu.Ha ha haaa ningeshangaa zaidi
Ilamtego wake umenasa na keshaniita mmbea bila soni asee nimemsamehe ila ntampita mbali.
Hata wakijenga ntaruka tu jirani..Hamna namnaUjirani wetu hakuna wa kuujengea ukuta wa mererani usihofu jirani
Hapa nimekuelewa yameishaPlease, naomba unisamehe......kusema kweli nilisema kwa masihara tu,sikujua kama nitakuumiza kiasi hiki. Nimekosa amani kuona nimekukwaza rafiki yangu.
Wangapi hawajaolewa hapo ?Kama hujapata wa kuoa leta namba zako nikuunganishe na walimu ninaofundisha nao.
Hahaa nimecheka eti 'nachagua sana' hakuna ubaya kwenye kuchagua sana maana mtu ambae utaishi nae maisha yako yote ni lazima roho yako iwe imeridhika la sivyo ndoa itakuwa ndoano, lakini unatakiwa ujue no one is perfect na huyo utakayemuona umeridhishwa nae anaweza asiwe ameridhishwa na weweHabari za jumatatu,
Ni changamoto gani unazipata katika harakati za kutafuta mke kama wewe ni wale waliochelewa kuoa. Kwa mtazamo wa jamii zetu za kiTz mwanaume au mwanamke aliezidi miaka 35 hajaoa au kuolewa ni kuwa amechelewa. Hii sio sheria mwingine anaweza kuwa na mtazamo tofauti.
Mimi binafsi changamoto ninazopata ni hizi;
1.Umri-wanawake wengi kwenye jamii zetu ambao hawajaolewa umri wao ni 22-26. Kwangu mimi bado wadogo yaani tofauti ya umri naiona kubwa.
2.Siko tayari kuoa mwanamke mwenye mtoto-naomba nisieleweke vibaya, huu ni msimamo tu nimeamua hivyo. Changamoto kubwa sasa ni kuwa wale ambao naona ndio umri sahihi wa kuolewa na mimi wengi wao wana mtoto/watoto.
3.Nachagua sana (Naambiwa hivyo inabidi nikubali)-kuoa bila kuchagua inawezekana kweli? Huyu ni mtu nitakaekuwa nae kwa maisha yangu yote sasa inabidi nipate mtu nilieridhika nae.
Tuchangie thread hii kwa lengo la kusaidiana, kurekebisha na kushauri.
Umemshauri vizuri sana pacha wangumbona wapo wengi mkuu wa 27-34 ambao hawajaolewa na hawana watoto kama uchaguzi wako ulivyo.
kuchagua sana sio tatizo, tatizo ni kuchagua bila kuwa na standards, weka viwango vyako vilivyohalisi chagua mwenye afadhali.
Maisha hwyasubiri, wengi huoa nusu wakqmilifu kama wao walivyo nusu wakamilifu. hizo nusu mbili ndio zinafanya ndoa kamilifu mkuu.
ila hata hao uliowwtaja kama wadogo sana ukikuta kaivishwa vizuri na wazazi ni bora sana tena saana
wote ila wanaume zaidi vile mwanamke huwa anasubiri kutongozwa sa bahati inaweza mpitaJinsia ipi inakuwa makapi ?
tuko kundi moja wala usihofuAisee...tushakuwa makapi! Heri yako cream.
Nimependa ushauri wakombona wapo wengi mkuu wa 27-34 ambao hawajaolewa na hawana watoto kama uchaguzi wako ulivyo.
kuchagua sana sio tatizo, tatizo ni kuchagua bila kuwa na standards, weka viwango vyako vilivyohalisi chagua mwenye afadhali.
Maisha hwyasubiri, wengi huoa nusu wakqmilifu kama wao walivyo nusu wakamilifu. hizo nusu mbili ndio zinafanya ndoa kamilifu mkuu.
ila hata hao uliowwtaja kama wadogo sana ukikuta kaivishwa vizuri na wazazi ni bora sana tena saana