MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

Mimi cha kwanza sitaki kuolewa na mwanaume mwenye mtoto we mungu nisaidie,
--sitaki kuolewa na mwanaume chini ya miaka 27
--sitaki kuolewa na mwanaume ambaye hajasoma ee mungu nisaidie.....

Lkn bado sijaona sababu ya mimi kuolewa coz kwangu siyo lazimaa
Kumbe bado uko single! Ngoja tulete maombi, ukizingatia sifa zote tunazo
 
Bora umemwambia. Hakukuona hadi mkwe wangu T akakubeba, sasa hivi awe tu mpenzi mtazamaji.
Hivi unajua unaweza kumuona mwanamke yuko single ila kumtoa kwenye circle fulani inakuwa zoezi? Ndio case ya Sakayo 🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom