MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

ogopa sana 27-30 ambaye hana mtoto, wanatoa mimba hawa dada zetu siku hizi mpaka unajiuliza hivi wangekua wanazaa hii nchi si ingekua na 100mill population, jamani mimba zinatolewa wakuu, dada zetu wanatoa mimba mpaka 3 kwa mwaka achana nao kabisa hawa viumbe.
 
Free forum mkuu...
Changamoto kubwa nnazokumbana nazo,
1. Pesa sina, (japokuwa wafanyakazi wenzangu wananiona nnazo)

2. Kuna washkaji wawili wananipigia kelele kila siku nioe mmoja ni supervisor, yaani huwa nawamaind mpaka nawajibu, "MI MDOGO"

3..... Au basi..... Najijenga kiuchumi kwanza kisha ntaoa
 
ogopa sana 27-30 ambaye hana mtoto, wanatoa mimba hawa dada zetu siku hizi mpaka unajiuliza hivi wangekua wanazaa hii nchi si ingekua na 100mill population, jamani mimba zinatolewa wakuu, dada zetu wanatoa mimba mpaka 3 kwa mwaka achana nao kabisa hawa viumbe.
Mkuu utakua doctor wewe
 
mbona wapo wengi mkuu wa 27-34 ambao hawajaolewa na hawana watoto kama uchaguzi wako ulivyo.
kuchagua sana sio tatizo, tatizo ni kuchagua bila kuwa na standards, weka viwango vyako vilivyohalisi chagua mwenye afadhali.
Maisha hwyasubiri, wengi huoa nusu wakqmilifu kama wao walivyo nusu wakamilifu. hizo nusu mbili ndio zinafanya ndoa kamilifu mkuu.

ila hata hao uliowwtaja kama wadogo sana ukikuta kaivishwa vizuri na wazazi ni bora sana tena saana
dah ushauli wako ni mzuri
 
Back
Top Bottom