Hii inaonekana kama Lichen PlanusHabari zenu wana JF, samahani sana kwa usumbufu kama vile tujuavyo misemo ya wahenga kuwa mficha uchi hazai.
Since mwezi wa nne nasumbuliwa na hili tatizo nimetumia dawa nyingi sana ant fungus kama zote za tube mpaka za kopo ila bado tatizo linanisumbua...
Haahah hapana mkuu, kumbe ni scabies, asanten sanaHii yako isije ikawa Ni reaction ya kitu ulichokula yaani kitu ambacho una allergy nacho.
Hebu kumbuka Kama umekula samaki wa maji baridi Jana au juzi, au umeshika paka au umekunywa energy drink au Kama umekwenda porini ukagusa majani fulani.
Au Kama hivi karibuni ulitembea peku peku na slayqueen mgeni kwako. Maana Kama sio allergy au VD Basi huyu mama wa nyumba ya tatu muangalie sana. Hapendi maendeleo yako.
mkuu unatumiaje maana zote ni za kupakaHuu ugonjwa ni scabies kama unataka kuamini zaidi jaribu kugoogle "nodular scabies" .
Dawa yake ni rahisi sana Scaboma cream na Benzyl benzoate lotion
Kama Ni scabies jihesabu umepona.Haahah hapana mkuu, kumbe ni scabies, asanten sana
Machungwa mangapi kwa siku na kwa muda gani?Kama Ni scabies jihesabu umepona.
Dawa yake Ni machungwa. Kwa Sasa hivi Dar machungwa yanaanzia shilingi hamsini Hadi Mia.
Yaani hela ya bia moja unapata machungwa zaidi ya kumi.
Au Bei ya konyagi moja ya kawaida unajaza tenga.
Don't even touch the chemicals. Machungwa tu.
Mkuu kingereza kimekupiga chenga jaribu kutofautisha scabies na scurvy utakuja kuua watu humuKama Ni scabies jihesabu umepona.
Dawa yake Ni machungwa. Kwa Sasa hivi Dar machungwa yanaanzia shilingi hamsini Hadi Mia.
Yaani hela ya bia moja unapata machungwa zaidi ya kumi.
Au Bei ya konyagi moja ya kawaida unajaza tenga.
Don't even touch the chemicals. Machungwa tu.
Anakupoteza huyo ndugu haelewi ata alichoandikaMachungwa mangapi kwa siku na kwa muda gani?
Unachagua dawa moja wapo unatumiamkuu unatumiaje maana zote ni za kupaka
Chagua moja wapo ndugumkuu unatumiaje maana zote ni za kupaka
sawa mkuu nashukuru sanaUnachagua dawa moja wapo unatumia
Machungwa hata ule Mia kwa siku huwezi kuumia.Mkuu kingereza kimekupiga chenga jaribu kutofautisha scabies na scurvy utakuja kuua watu humu
Machungwa hata ule Mia kwa siku huwezi kuumia.
Kumbuka hakuna daktari anayekataza watu kula matunda au mboga. Hata diabetics hawakatazwi.
Hivi mbuzi kwenye picha anakuwa paka?Umepima ukubwa wa kitu cha live na chakwenye picha
Nimekucheki pm mkuuNingesema kwa maneno msingeelewa so ni bora nipate msaada kuliko kuona aibu, najua nyie ni zaidi ya ndugu na msaada ntapata.
Nliwahi kupata ili tatizo, Tumia BBE solution, unapaka usiku baada ya kuoga, After one week unaponaMkuu umepata suluhu ya tatizo lako? Mana na mimi nimepata tatizo kama lako sema mim na mwili unawasha sana, tena sehemu ya uume ndiyo inawasha zaidi, yaani najikuna hatari. Nimetumia dawa ya aleji (NEOLOR), Erythrokant pamoja na Cream ya Elocom. Lakin bado nawashwa sana. Jamani mwenye ujuzi naomben msaada wenu
Hata Mimi jamani nawashwa usiku kucha silali niliambia nimeze citrizen ya kukausha lakin Bado ndugu zangu naombeni msahad
Pole sana, tiba ya haraka ni kula vitunguu swaumuHata Mimi jamani nawashwa usiku kucha silali niliambia nimeze citrizen ya kukausha lakin Bado ndugu zangu naombeni msahad
Natafuna au napakaPole sana, tiba ya haraka ni kula vitunguu swaumu