mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Ndiyo uzuri wake, katilia mkazo maana asingeweka wewe pamoja na wakereketwa wengine mngemlazimisha aweke.Aisee mkuu naona umetuwekea na kapicha kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo uzuri wake, katilia mkazo maana asingeweka wewe pamoja na wakereketwa wengine mngemlazimisha aweke.Aisee mkuu naona umetuwekea na kapicha kabisa.
Tiba yake ni nini mkuuHiyo ni Herpes no discussion
Tiba yake ni nini?Genital Warts.
Pole.
Na wewe umeukwaa?Denis fourplux samahan
Kama hautojali nicheki 0768951488 watsap
Kaka ulipata tiba gani maana vimenianza siku ya tatu leoinazidi
Tumia BBE au SCABOMAHellow guys vipi Kuna muusika alieugua huu ugonjwa akapona atuambie alitumia dawa gani mana sio powa🥺
huu ugonjwa nmeugua week mbili zilizoisha..Hellow guys vipi Kuna muusika alieugua huu ugonjwa akapona atuambie alitumia dawa gani mana sio powa🥺
Nunua lotion inaitwa SCABOMA na vidonge vinaitwa ACYCLOVIR (ndo inavyotamkwa).Kaka ulipata tiba gani maana vimenianza siku ya tatu leo
nicheki 0748464846Hellow guys vipi Kuna muusika alieugua huu ugonjwa akapona atuambie alitumia dawa gani mana sio powa🥺
Wekq hapaNi
nicheki 0748464846