Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?

Wakuu samahan kw huu ugonjwa w scabies nmepewa daw y kupaka inaitwa BBE Je naweza kupaka kwenye uume
 
Hellow guys vipi Kuna muusika alieugua huu ugonjwa akapona atuambie alitumia dawa gani mana sio powa🥺
 
Hellow guys vipi Kuna muusika alieugua huu ugonjwa akapona atuambie alitumia dawa gani mana sio powa🥺
huu ugonjwa nmeugua week mbili zilizoisha..
nliogopa sana nkijua ni magonjwa ya zinaa , nlikuja kujua ni scabbies nkatumia scaboma na vdonge vya ivermestrin..
kwa sasa nmepona kabisa japo nlipoenda hospital ugonjwa haukuonekana.
 
Back
Top Bottom