screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Tatizo hamletagi mrejeshoAsante mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hamletagi mrejeshoAsante mkuu
TuelekezeUnapata vipele kwenye kiwiko(kipepsi)? Luna vipele vidogovidogo vidoleni? Unawashwa Sana usiku ukilala? Unasikia vitu kama vinakutembea mwilini? Kuna saa unawashwa kiunoni?
Kama unapata his dalili nijibu nikuelekeze dawa pharmacy.. Zinauzwaga 8,000 -10,000( elf nane hadi elf kumi)
TuelekezeTuelekeze
Ushapona 😀Kaka habari yako, hili tatizo ulipona vipi maan na Mimi nimeipata
Kupima tu haitoshi,kikubwa ni kuepuka ngono kwa watu tusio na taarifa nao vyema,huwezi kupima maradhi yote ukapata majibu kwa wakati,siku izi hata UTI inaambukiza kwa ngono,warts ,herps,homa ya ini,yani unaweza kutumia kinga ila ukatoka na warts za kwenye mapumbu ,kazi bureeeePlay safe wazee kam unataka kavu kwann usipime
Mzee vp uliponagaa hikituTatizo girlfriend wangu hana hii kitu na tumeishapima nae sana hana kabisa hapo ndio nashindwa elewa tatizo ni nini
Nimeona hata mm unaweza nisaidia Leo ingawaje Uzi wakitamboUnapata vipele kwenye kiwiko(kipepsi)? Luna vipele vidogovidogo vidoleni? Unawashwa Sana usiku ukilala? Unasikia vitu kama vinakutembea mwilini? Kuna saa unawashwa kiunoni?
Kama unapata his dalili nijibu nikuelekeze dawa pharmacy.. Zinauzwaga 8,000 -10,000( elf nane hadi elf kumi)
Umepona? Kama hujapona na una hizo dalili alizoorodhesha mchangiaji unayemjibu hapo juu hiyo ni scabbies. Tafuta lotion hii upake kila baada ya kuogaNimeona hata mm unaweza nisaidia Leo ingawaje Uzi wakitambo
Dah ila picha haifunguki kwanguUmepona? Kama hujapona na una hizo dalili alizoorodhesha mchangiaji unayemjibu hapo juu hiyo ni scabbies. Tafuta lotion hii upake kila baada ya kuogaView attachment 2779566
Cheki pm mkuuDah ila picha haifunguki kwangu
Scaboma ni ya ScabiesDah ila picha haifunguki kwangu
Kwani ana upele kati ya vidole pia?Umepona? Kama hujapona na una hizo dalili alizoorodhesha mchangiaji unayemjibu hapo juu hiyo ni scabbies. Tafuta lotion hii upake kila baada ya kuogaView attachment 2779566
Inapatkanaje hi mkuuUmepona? Kama hujapona na una hizo dalili alizoorodhesha mchangiaji unayemjibu hapo juu hiyo ni scabbies. Tafuta lotion hii upake kila baada ya kuogaView attachment 2779566
Inapatkanaje hi mkuuUmepona? Kama hujapona na una hizo dalili alizoorodhesha mchangiaji unayemjibu hapo juu hiyo ni scabbies. Tafuta lotion hii upake kila baada ya kuogaView attachment 2779566
Pharmacy mkuu.Inapatkanaje hi mkuu
Inapatkanaje hi mkuu
Tatizo girlfriend wangu hana hii kitu na tumeishapima nae sana hana kabisa hapo ndio nashindwa elewa tatizo ni nini
Bulamba nilikuwa namshauri atumie scaboma kama ana dalili hizi.Unapata vipele kwenye kiwiko(kipepsi)? Luna vipele vidogovidogo vidoleni? Unawashwa Sana usiku ukilala? Unasikia vitu kama vinakutembea mwilini? Kuna saa unawashwa kiunoni?
Kama unapata his dalili nijibu nikuelekeze dawa pharmacy.. Zinauzwaga 8,000 -10,000( elf nane hadi elf kumi)