baharia 1
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 1,580
- 1,773
[emoji16][emoji16][emoji16]Achaa utakuja upate sundo sundo mshedede unaisha km ice cream inayeyukaaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]Achaa utakuja upate sundo sundo mshedede unaisha km ice cream inayeyukaaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo sawa . Nimekuelewa.Usimlaum labd kondom ilipwaya ikachomoka
UTI mnakuwa mna dalili zipi?Inategemea unaishi wapi.
Sisi tunaoishi uswahilini, tunaokwenda kupata ulabu kwenye baa za kawaida unaweza ukawa unakwenda washroom za kiume unakuta aliyetoka alikuwa na UTI akashika mlango ama kitasa cha mlango na wewe unafungua mlango kwa kutumia mikono kweli utakosa kuugua UTI.
Nakojoa vizuri kama kawaida tuh situmii leo vina siku ya 4 yaan inshort nibipere havina maumivu yoyotePole sana. Picha nimeona na mapele vivyo hivyo.
Ila ni ngumu kusema, ungepaswa kuambatanisha na dalili nyinginezo. Je, zinawasha? Unapata maumivu wakati wa kukojoa? Unaenda uani mara kwa mara?
Hivyo vipele vimekuanza lini? Vinaongezeka!? Vinapasuka baada ya muda?
Pole sana.
Kesho uamkie katika kituo cha afya kwa ajili ya uchunguzi.Nakojoa vizuri kama kawaida tuh situmii leo vina siku ya 4 yaan inshort nibipere havina maumivu yoyote
Hapana mapumbu yako vzrKesho uamkie katika kituo cha afya kwa ajili ya uchunguzi.
Mapumbu je? Yamebabuka?
Kesho uamkie katika kituo cha afya kwa ajili ya uchunguzi.
Mapumbu je? Yamebabuka?
Hahaha!. Nguruwe zake zimebabuka?Afanye haraka kabla izo pumba hazijababuka zikafanana na za nguruwe
Umenasa kwenye grid 220kv. Ya tanesco. Ushauri: anza arv fastaAnyway Habar wakuu
Nimetoka na vipere kwenye uume baada ya siku chache nilipofanya ngono zembe naombeni msaada wenu utakuwa ugonjwa GANI wakuu?
Basi nenda hospital kwa uchunguzi. Ni ngumu kwa sasa kusema kinachokusumbua.Hapana mapumbu yako vzr
Hahaha!. Nguruwe zake zimebabuka?
Hii list itakuwa ndefu sana😂Gono hiyo,nenda hospital watakuandikia Sindano. Na wasiliana yule uliyegusishana nae vikojoleo nae atibiwe.Na yeye awasiliane na wote aliolala nao.Inapona hiyo.Sema baada ya miezi mitatu ukapime na ngoma.
Jamaa hayupo serious kabisa. Unaweza kuta akapuuzia haya madini.Dogo hahudhurii vikao, hasomi nyuzi za watu wenye upeo mkubwa , haombi kwetu ushauri. Ndo maana anapatwa na majanga kama hayo. Angekuwa anahudhuria vikao zamani angeshakuwa yupo ok. Na pia asingefanya hiyo nini zembe. Tulishatoa mwongozo kama upo sehemu hakuna condom nunua ice cream ya ukwaju au yoyote ile. Kula ice cream kile kimfuko vaa. Au kama unaona nayo ni ngumu ukishamaliza mchezo nawa kwa petrol au mafuta ya break na kama inahisi demu ana ngoma nawia maji ya battery ndani ya saa moja baada ya kitendo.
Lakini kama huwezi mwandaa mwenzio akapata utelezi basi tumia grease inakuepusha na magonjwa pia.