denis fourplux
JF-Expert Member
- Aug 17, 2017
- 1,049
- 1,385
- Thread starter
-
- #481
Bloo uwo ugonjwa nimeupata na mim we ulitumia dawa ganBandiki la mwaka juzi unakuj jibu leo nimeishapona na kusahau..
Condom kwa mke tena🤔🤔🤔Mara ya mwisho lini kutumia Condom?
Halafu madaktari watamtibuje kwa ushauri?Ushauri tu
Ondoa hiyo picha
Bila picha binafsi nisingepa uhalisia wa tatizo. Nahisi wengi picha itawasaidia kuona tatizo husikaUshauri tu
Ondoa hiyo picha
Najua unacho waza...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tumia vitunguu swaumu meza vipande 6 asubuhi na jion na maji mengi.au meza vidonge vya mchafuko wa damu
Upo sawa mkuu, ila mgonjwa anaroho ngumu zaidi ya chuma cha pua...[emoji1787][emoji1787]Bila picha binafsi nisingepa uhakusia wa tatizo. Nahisi wengi picha itawasaidia kuona tatizo husika
Mkuu, ebu acha utani kwenye mambo ya msingi...[emoji41]Ushauri tu
Ondoa hiyo picha
Mkuu, wewe hauna picha hata moja kwani..[emoji849]paka mafuta ya Nazi pia yanasaidia,mi nilikuwa na muwasho kwenye mapumbu,yalikuwa mekunduu,nimepaka mafuta ya nazi kila nilipotoka kuoga,yamesaidia aisee, kunywa na antibiotics pia
Kinn mkuu?Najua unacho waza...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unataka picha yake yakiwa mekundu au baada ya kupona?Mkuu, wewe hauna picha hata moja kwani..[emoji849]
Mbaya weweKuna mdada atakuja kuisifia hiyo mb0...[emoji1787]
Ila pole sana mkuu, ina unaroho ngumu sana kwa kutufungulia mwaka 2022..[emoji23]