Mjadala: Tufanye haya kutokomeza rushwa ya ngono vyuoni, Hili ni jambo mtambuka

Wazo zuri! Unakuta mwalimu anamuita mtoto ofisini pasipo kumueleza jambo la maana! Au anamgandisha hapo ofisini na kumpotezea mda pasipo jambo la maana
Mwanafunzi kuitwa ofisini hasa pasipo kuwa sehemu ya kundi na wakawa kama kundi wakiwa na mwalimu ofisi haifai, hata test au quiz mwanafunzi afanyie venue za madarasa sio kwenye ofisi za waalimu, huu upuuzi shetani anaupenda sana.

Wakuu wa idara waitishe vikao au watoe waraka wenye maudhui ya makatazo ya ngono na athari zake kwa waalimu kila mwanzo wa muhula wa masomo, na Ma CR's wapewe waraka huo na usomwe mbele ya kila mwalimu wa somo kwa muhula husika.

Hofu hupunguza au kuondoa utawala wa shetani. Sheria sheria kanuni, miongozo na taratibu wanafunzi na walimu wajue.

Wengine ni maafisa mikopo vyuoni, wahasibu, wasimamizi wa hostels hawa wote wapewe waraka na copy wanafunzi wawe nazo.

Ofisi ya taaluma vyuoni ibebe dhamana ya ulezi na ustawi wa kitaaluma kwa wanafunzi na waalimu.

Chukueni hatua kwa haki na wajibu. Kila la heri kwa wahusika.
 
Umeongea point sana mkuu
 
 
Una mawazo mazuri ila pisi ni lazima zitombwe.

Hizo pisi zimewekewa kauzibe mpaka zifikishe miaka 18 wakati zinavunja ungo na kujazia hips na kuchomoza chuchu zikiwa na miaka 15.

Kwa hiyo mfumo wowote utakaoweka ili mradi pisi ni halali kuliwa zinapokuwa vyuoni basi zitaliwa tu kwa namna yoyote ile.

Rushwa ya ngono hakuna anayelazimishwa. Wanapelekaga mbususu wenyewe wafaulishwe na vichwa vyao maji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…