Mjadala uliopo ni camera za Azam tv kurudia na kushindwa kuona tukio lililofanya refa kutoa red card je camera hizo hazikuweza kuona tukio hili?

Mjadala uliopo ni camera za Azam tv kurudia na kushindwa kuona tukio lililofanya refa kutoa red card je camera hizo hazikuweza kuona tukio hili?

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Mjadala nimeusikia haswa amri kiemba akikazania kauli kuwa hata marudio ya camera za azam haikuona kitendo alichofanya mchezaji kupewa red card ...swali je hizi camera hazikuliona tukio hilo la baka kwenye picha..... napatwa na wasi wasi na ubora wa kamera za azam labda ni chache uwanjani au wataalamu hawana weledi sababu matukio mengi yanayotokea uwanjani zinashindwa kuyakamata zaidi matukio ya ramadhani kayoko...
 

Attachments

  • 20241225_065945.jpg
    20241225_065945.jpg
    116.7 KB · Views: 1
Camera chache bwashee. Hili tumelipigia kelele kwa misimu miwili na zaidi sasa. Wenzetu wanakuwa na camera nyingi, hata ukiwa unatoa kipwinto wanakukapcha.

Pia viwanja vyote ukiacha wa Mkapa vinatumia taa za ulinzi na siyo taa sahihi za kuonyesha mechi za usiku katika kiwango sahihi.
 
Kwahiyo kama hakuna kilichotokea wao Azam waoneshe kitu gan sasa
Mbona magori walikuwa wanayaonesha?

Biblia inasema wanataka nirudishe kitu ambacho sijaiba

Ndo wewe sasa unataka Azam aoneshe tukio ambalo halipo?
 
Mi vyura inalalamika tuu....
Wao magoli ya mkono waaaah
 
Ni wakati sahihi marefa waliozionea tumu zilizocheza na kolowizard waandikwe majina yao hapa tuwajue.

Ila kwenye derby Sasii alizuia safari zote za Yanga hatujasahau na hatumtaki achezeshe derby!
 
Angle ya camera ilipo na wingi wa camera kwenye angle tofauti tofauti hufanya tukio kuonekana vizuri. Ni wazi angle ya kamera ilipo haikuweza kucapture tukio lililosababisha redcard
 
Hapo siku hiyo camera za azam pia hazikuona kitu!
 
Back
Top Bottom