NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Japo mchakato wa katiba haujaanza lakini sio vibaya kuanza kujadili kwenye mitandao ya kijamii.
Kwa upande wangu ningeambiwa nitaje vitu ambavyo vingewekwa kwenye katiba mpya mimi ningesema hivi:-
1.Mkuu wa jeshi la polisi asiteuliwe na raisi pafanyike usaili
2.Kuwa waziri sio lazima uwe mbunge
3.Mkuu wa mifuko ya jamii asiteuliwe na raisi
4.Spika wa bunge asitokane na vyama vya siasa anaweza hata asiwe na chama na ufanyike usaili
5.Jaji mkuu asiteuliwe na raisi ufanyike usaili
6.Mkuu wa usalama wa taifa asiteuliwa na raisi ufanyike usaili
7.Mkuu wa tume ya uchaguzi asiteuliwe na raisi
8.Sheria ya kusema raisi hawezi shitakiwa kwa makosa ya alipokuwa madarakani iangaliwe upya.Kama ni makosa ya kibinadamu ya kisiasa asishitakiwa mfano mzuri labda siasa ya kuhamisha watu vijijini ilivyoleta madhara huo ni ubinadamu ila makosa makubwa mfano kula rushwa na kufuja mali ya uma aburuzwe fasta
Ni hayo tu hebu na wengine ongeeni nyama.Ila mkuu wa majeshi aendelee kuteuliwa na raisi maana duniani hakuna nchi ambayo raisi sio Amiri jeshi mkuu
Kwa upande wangu ningeambiwa nitaje vitu ambavyo vingewekwa kwenye katiba mpya mimi ningesema hivi:-
1.Mkuu wa jeshi la polisi asiteuliwe na raisi pafanyike usaili
2.Kuwa waziri sio lazima uwe mbunge
3.Mkuu wa mifuko ya jamii asiteuliwe na raisi
4.Spika wa bunge asitokane na vyama vya siasa anaweza hata asiwe na chama na ufanyike usaili
5.Jaji mkuu asiteuliwe na raisi ufanyike usaili
6.Mkuu wa usalama wa taifa asiteuliwa na raisi ufanyike usaili
7.Mkuu wa tume ya uchaguzi asiteuliwe na raisi
8.Sheria ya kusema raisi hawezi shitakiwa kwa makosa ya alipokuwa madarakani iangaliwe upya.Kama ni makosa ya kibinadamu ya kisiasa asishitakiwa mfano mzuri labda siasa ya kuhamisha watu vijijini ilivyoleta madhara huo ni ubinadamu ila makosa makubwa mfano kula rushwa na kufuja mali ya uma aburuzwe fasta
Ni hayo tu hebu na wengine ongeeni nyama.Ila mkuu wa majeshi aendelee kuteuliwa na raisi maana duniani hakuna nchi ambayo raisi sio Amiri jeshi mkuu