Mjadala wa kujaza uwanja ufungwe rasmi

Mjadala wa kujaza uwanja ufungwe rasmi

Ticket ziliandaliwa 45,000 na zimeisha afu mnajisifu mmejaza uwanja. Hayo magep 15,000 tunayaona sana tu.
 
Hahahaha tunaomba picha jamani,haiwezekani tamasha kama hili liwe na picha moja tuu mitandaoni.
kapicha hako hako wanakasambaza wote. Afu wanatumia screenshot ya Ali Kamwe anayelipwa na mwamedi kwamba wamejaza kabla ya saa 8, Ali Kamwe amekuwa SI Unit yao.
 
Unajua mashabiki wa Utopolo wanapenda kushabikia mambo ya kiutopolo kama kujaza uwanja.

Sasa Simba Leo tumefunga huo mjadala Kwa kujaza uwanja kabla ya saa nane mchana. Kudadadeki.

Sasa hatutaki kujadili tena mada kama hizo tena.

Tujadili Nani bingwa, Nani ana magoli mengi, nani anacheza mpira wa burudani/biryani.

Mada ya kujaza uwanja tumeifunga Ieo rasmi.

Sasa tujadili mafanikio uwanjani na kwenye uongozi.

Utooooo [emoji23]
Kelele zimeshaanza sasa
 
Studio tunaomba picha kutoka uwanja wa Mkapa tafadhali
 
Una matatizo wewe sio bure unataka kusema unashindana na nani kuujaza uwanja, Yanga ilishatoka uko kwenye mambo madogo kama ayo ya kujaza uwanja labda mjadiliane na azam au namungo uko sio yanga, yanga inaweka rekodi zake na inazivunja yenyewe mnashindana na kivuli chenu kujaza uwanja sio yanga mzee, Pesa mliyowapa clouds na kina mwinjaku kuwapgia debe ni bora mngemlipaga manara mshahara wake maana imejionyesha dhahiri shairi kuna bugati mmoja tu Tanzania akiunguruma mnajikusanya kama kumi kujaribu kumfunika lakini wapi Sana sana ni kutumia nguvu kubwa kuwalipa watu tunajua tutazirudisha kwa kujaza matangazo kwenye jezi burr[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wewe Topolo Sikia Simba ni taasisi na hakuna kibaya kutumia event management company kufanya mambo yetu kiueledi zaidi. Tuliza mshono Topolo
 
Viti vya Orange apa chini havina watu, kama kunamtu kakosa nafasi atafute vilipo viti vya orange watakaa wote ata kama wapo mia auzaidi.Nafasi bado zopo za kutosha msiwatishe watu.
 
Oyaaa wakuu, huku kwenye mzunguko wa viti vya Orange kuna nafasi za kutosha asikutishe mtu njoo ukae huku na nafasi bado zipo nyingi sana😂😂😂😂🙌 redio
 
Simba bana. Tunachoona kwenye Tv ni tofuati na picha uliyoleta. Mbwembwe nyingi Sana. Mjadala wataufunga Yanga wenyewe.
 
Msukule wao ulisema Simba haitaujaza uwanja eti kwa vile huo msukule uliamini wenyewe ndio ilikuwa sababu ya kuujaza uwanja.

Leo msukule umepigwa mshangao ukaandika eti tushindanie makombe na si kuujaza uwanja.
Msukule utarudi kwa aibu leo kutoka Nigeria
Unajua mashabiki wa Utopolo wanapenda kushabikia mambo ya kiutopolo kama kujaza uwanja.

Sasa Simba Leo tumefunga huo mjadala Kwa kujaza uwanja kabla ya saa nane mchana. Kudadadeki.

Sasa hatutaki kujadili tena mada kama hizo tena.

Tujadili Nani bingwa, Nani ana magoli mengi, nani anacheza mpira wa burudani/biryani.

Mada ya kujaza uwanja tumeifunga Ieo rasmi.

Sasa tujadili mafanikio uwanjani na kwenye uongozi.

Utooooo [emoji23]
 
Back
Top Bottom