Happiness Essau
Senior Member
- Aug 9, 2016
- 166
- 100
Ndugu, mimi ni Afisa Mawasiliano wa Jamii Media sio wa Mbunge. Taarifa ya mkutano ataleta hapa Mbunge au Katibu wa Mbunge. Hili ni jukwaa la wanaBukoba wote na sehemu sahihi kwa ofisi ya Mbunge, Halmashauri na taasisi nyingine kuwasilisha taarifa zao kwa wananchi. Aidha, nimepata picha chache za mkutano huo;Leo tarehe 26.07.2017 mbunge alikuwa na mkutano maeneo ya soko kuu mbona hatupati mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww kama mzaliwa wa uko umechukua hatua gani, kuleta matokeo chanya?! Ivi hadi usafi tu mnasubili serikali?! Poor wahaya.Mkuu hii ni Tanzania yetu sote bukoba ni sehemu ya Tanzania hivyo tumeanzisha mjadala huu kuikumbusha serikali wajibu wake.Na wewe haukatazwi kuanzisha Wa kwako hakuna sehemu ya tz ambayo haina matatizo nadhani umenielewa
Utekelezaji wake unategemea sana wadau. Tunafanya na tunawashukuru nyote mnaofatilia
Wahaya for what mdau? Kama huwataki si unaachane nao kiroho safi tu ama wamekufata wakaja kukuomba msaada?Ww kama mzaliwa wa uko umechukua hatua gani, kuleta matokeo chanya?! Ivi hadi usafi tu mnasubili serikali?! Poor wahaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi waislam wa Bukoba mjini kama Alhaji Kichwabuta na wengine wako wapi? Au mnawatenga? WashirikisheMradi wa Tushirikishane (JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane") umeanza rasmi jimbo la Bukoba mjini chini ya Uongozi wa Mheshimiwa Mbunge Wilfred Lwakatare.
Tokana na misingi ya TUSHIRIKISHANE iliyoelemea katika kuwawezesha wabunge wa kuchaguliwa kutekeleza ahadi 4 kati ya jumla ya ahadi walizotoa wakati wa uchaguzi kwa urahisi kwa kushirikiana na wananchi; mada hii itatumika kuwasilisha, kujadili na kupeana taarifa ya kile kinachojiri Bukoba mjini.
Ahadi walizochagua kufuatilia wananchi wa Bukoba mjini kwenye mradi wa TUSHIRIKISHANE
a. Ujenzi wa soko kuu la Bukoba, soko la Kashai na Stendi kuu ya mabasi Bukoba
b. Mikopo ya vikundi vya kijasiriamali vya akina mama na vijana
c. Urasimishaji wa makazi
d. Bima za afya kwa wananchi angalau
View attachment 389799
Meya wa Manisapaa ya Bukoba, Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini na Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media wakisaini makubaliano ya kushiriki katika utekelezaji wa Mradi wa Tushirikishane
Mada hii itatumika zaidi na Wana Bukoba kutupa taarifa.
Baadhi ya Washiriki watakuwa:-
1. Mh. Mbunge Wilfred Lwakatare
2. Katibu Alex Xavery (Katibu)
3. Happiness Essau (Afisa habari Bukoba)
4. Chief Karumuna (Mayor wa Bukoba)
5. Jimmy Kalugendo (Naibu Mayor)
6. Na washiriki wote wa Warsha hiyo na wale wote wenye mapenzi ya Maendeleo ya Bukoba mjini.
Karibuni...
[HASHTAG]#Tushirikishane[/HASHTAG] [HASHTAG]#Bukoba[/HASHTAG]
Kufahamu majimbo mengine yenye mradi huu tembelea - JamiiForums yazindua rasmi mradi wa "Tushirikishane"
======
UPDATE: 1st December, 2016.
Waendeshajinwa mradi wa [HASHTAG]#TUSHIRIKISHANE[/HASHTAG]. Wanawaalika wana tushirikishane katika kikao chetu kwa pamoja kinachotarajiwa kufanyika mnamo tarehe 02/12/2016 katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa Bukoba kuanzia saa nane za mchana.
Ufunguzi rasmi wa kikao utaanza saa tisa kamili bila kujali idadi ya wajumbe.
Kuwahi ni muhimu sana, kuhudhuria kwako ndiyo mafanikio ya taarifa nyeti za halmashauri kuwafikia wananchi moja kwa moja.
Mchango wako wa maoni, maswali, na hoja mbalimbali ndiyo chachu ya maendeleo ya jimbo letu.
Kumbuka wewe ni mwakilishi wa mamia, nao wanakutegemea bila kujua, tenda haki na Mungu atakulipa kwa namna yake.
Njooni tupate kujua miradi yetu imepiga hatua kwa kiwango gani mpaka sasa.
Waweza kukili kuhudhuria kwako kwa msg fupi kwenda namba 0765 82 92 56.
Taarifa hii mfikishie na mwenzio.
Asanteni sana na Mungu awabariki.
=====
Akaunti za mradi wa Tushirikishane katika mitandao ya Kijamii:
Tushirikishane (@tushirikishane) • Instagram photos and videos
Tushirikishane | Facebook
Tushirikishane (@tushirikishane) | Twitter
Umezindua nini sasa?Mwenge ndani ya Bukoba
Wamezindua kiwanda cha maji cha TANICA, shule ya sekondary Kagemu ambayo imeanzisha advance level miradi mingine sikuhudhuria.Umezindua nini sasa?
Huku siku hizi kushajifiaAbantu ba Bukoba, mwagira mayo.........
Any updates???
Hivi stendi na soko vimefikia wapi?Jamii Media imeendesha semina ya Uendeshaji na Usimamizi wa Mijadala Huru (Meza ya Duara) katika Manispaa ya Bukoba leo tarehe 25/7/2017 ikiwa ni sehemu ya mradi wa Tushirikishane. Washiriki wa semina ni wajumbe wa vijiwe mbali mbali katika manispaa ya Bukoba na muwasilishaji alikua ni ndugu Wistone Mogha kutoka Kigoma - Ujiji ambao ndio waanzilishi wa Meza ya Duara. Mwitikio ulikua ni mzuri tunategemea kuanzishwa kwa Meza ya Duara ambayo itakua chachu ya mijadala huru katika manispaa ya Bukoba
Unafiki wa wanakagera na bukoba ni kwamba hawajui ni nan hasa anaweza kuwakwamua,Miezi tisa iliisha kwa majungu na mbwembwe. Yaani Bkb hata akija malaika hapo hatoboi kwa umbwiga ulioko hapo. Nawaona ndugu zangu wengi badala ya kuweka vikao na kujadiliana haya mambo kama wananchi wao kutwa wako fb wanaweka vipicha vyao na kuishia kusalimiana, matatizo yote hayo na bado mnatanua fb kuongea umbea wakati mji wenu ni kama machinjioni!!?? Ukiona watu wanaendekeza sana starehe na mambo ya mzaa kiasi kile wakati jahazi lao linazama basi ujue uwezo wao wa kufikiri uko chini ya wastani. They are simply abnormal. Akili zetu watu kutoka mkoa huu sahivi zinatia mashaka makubwa sana na uenda kweli tatizo la utapiamlo linalosemwa kila siku limetuathiri sana
Ni kweli viongozi ni mizigo ila wananchi ni magunia ya misumali kwa sahivi