TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Bukoba Mjini

TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Bukoba Mjini

Yanayotokea Kyakailabwa ilipo stand ni utoto. Kwanini mmesitisha ujenzi na kuacha kazi yote ianze kurudi 0? Sahivi kila kitu pale kimeanza kuharibiwa. Msiporudi site haraka vyuma vile na udongo wote mtavikuta pembeni kabisa.

Watoto kutwa wanashinda pale wanaruka juu ya seat za kukalia abiria, udongo nao umekutana na mvua na ilivyo slope ni kama kugusa vile. Kila kitu kinaharibika kwa kasi ya 4G.

Naamini hasara inayokwenda kutokea kutokana na mradi huu kusimama itakuwa ni maradufu ya hiyo pesa mnayodai imepigwa. Huwezi kutatua tatizo kwa kutengeneza kubwa zaidi. Hii itakuwa ni sawa na yule mtu anayeamua kukichoma moto kitanda eti kisa kina kunguni, only a crazy one can afford.

Acheni mradi uendelee wakati mkitatua hizo changamoto ndogo ndogo zinazojitokeza, na hakuna kisichokuwa na changamoto hata siku moja. La sivyo basi mjiandae kuanza tujenzi upya kuanzia kwenye 0 point. Kumbukeni hizo ni pesa zetu wananchi. Kuweni na uchungu na pesa zetu walipa kodi, hamuwezi kutuingiza gharama tena kwa mara nyingine
 
Wanajukwaa hongereni kwa kurudi hewani kwa Jf
 
Mkuu habar nzr kutoka bukoba mkataba umesainiwa upya tazama picha hapo huyo ni naibu meya alipost Facebook leoView attachment 789918View attachment 789919View attachment 789920
Inabidi manispaa wawe serious katika kutumia pesa zetu, injinia wanaotengeneza barabara za mjini ni wabovu na hawana viwango kutengeneza kwa usahihi. Mfano mzuri nendeni mikoa mingine mkaone barabara zao za mitaa zinavyojengwa it is very very impressive. Tabora kunajengwa barabara chini ya kampuni ya SAMOTA, jamaa wako vizuri mno kupita maelezo. Kwanini mnaendekeza mafundi njaa wasiojua hata kuchonga mitaro? very local yaani.

Huu undugu na uswahiba katika kupeana kazi manispaa jichunguzeni kabla hamjanyimwa na pesa zingine, mnachezea pesa za serikali bure na hamstahili kupewa kama mambo yako kindugu hivyo. It is unaffordable completely
 
Bukoba/Kagera kumekucha kimaendeleo. Utalii na meli kunogesha zaidi
 
Sehemu ya kusubiria abiria stendi mpya ya mabasi Bukoba, 11 Feb 2019


bk stand2.jpg
 
bk stand.jpg

Waheshimiwa Madiwani na wafanya kazi wa Bukoba Manispaa wakiwa kwenye ukaguzi wa miradi stendi mpya ya mabasi. 11 Feb.2019
 
Hiyo sehemu lazima lazima lazima iwekwe lami, otherwise it should remain closed. Nasema hivyo ukizingatia mvua ya Bukoba
 
Back
Top Bottom