TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Bukoba Mjini

TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Bukoba Mjini

Umaskini katika mkoa wetu Kagera na baadhi ya mikoa mingine, ulisababishwa na mambo yafuatayo:-
1.Kuanguka au kudorora kwa vyama vya ushirikika kama vile BCU,BBU,UNGA,KNPA, N.K.

2.Kushushwa bei kwa zao la buni/kahawa.

3.Kudhoofika kwa baadhi ya viwanda kama vile kiwanda cha Pepsi,kiwanda cha kahawa, n.k Sababu zote hizo zilichangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya mkoa wetu kurudi nyuma maana vijana wengi walikosa ajira sambamba na kukosekana mapato ya kutosha,kodi na ushuru wa kuiendesha Manispaa ya Mji wa Bukoba,hivyo ikabaki kuwa tegemezi ya ruzuku toka serikali kuu ili iweze kujiendesha.
Sa hivi kitu wanachoweza kufanya ni kujenga soko na stendi kwanza na hakika vitaongeza mapato
 
Uzuri ni kwamba ndugu zetu baadhi wameshaanza kuona fursa na tayari wameanza kurudi kuwekeza mkoani kwetu ...tatizo liko serikalini kwa sahivi kwa kuendelea kukwamisha miradi inayobuniwa ili kuuendeleza mkoa
 
Neema kwa mkoa wa kagera Leo nimepita kcu nikaona mengi kusema kahawa inaanza kufufuliwa na waziri mkuu atakuja hivi karibuni
 
Hizo ni habar za Leo
Screenshot_2018-05-29-16-34-38.jpg
Screenshot_2018-05-29-16-35-54.jpg
Screenshot_2018-05-29-16-37-02.jpg
 
serikali ya majimbo nilikuwa ndo suluhu. kama vipi anzisheni vuguvugu LA kujitenga, mbona zao LA kahawa chai, ndizi na samaki vinatosha kuwapa uchumi endelevu kuliko kusubiri srikali ya ccm iwaaamulie nyie sio muamue wenyewe. na hivi mko mbali na dar fursa wanapata mikoa iliyo karibu na dar, tafakalini mchukue hatua
 
kama Rwanda ni nchi kwanini kagera isiwe nchi. Zanzibar inaichimba biti Tanganyika inapata inachokitaka. hats nyie watu was kagera mnaichangia Zanzibar,
hao wanyarwanda na warundi si ndo mlikuwa mnawaita " washuti" inakuwaje wao ndo wanawaita nyie washuti, MNA kila kitu, aridhi, ziwa kubwa duniani, mvua mwaka mzima, hali ya hewa safi, tatizo kubwa mnaikumbatia Ccm
 
kama Rwanda ni nchi kwanini kagera isiwe nchi. Zanzibar inaichimba biti Tanganyika inapata inachokitaka. hats nyie watu was kagera mnaichangia Zanzibar,
hao wanyarwanda na warundi si ndo mlikuwa mnawaita " washuti" inakuwaje wao ndo wanawaita nyie washuti, MNA kila kitu, aridhi, ziwa kubwa duniani, mvua mwaka mzima, hali ya hewa safi, tatizo kubwa mnaikumbatia Ccm
Point nzr sana ila sasa MTU wa kuwaunganisha wanakagera ni nani tunahiji wadhubuti
 
kuna utafiti uliwahi fanywa na pfofesa Malyamkono. juu ya kuzorota kwa maendeleo mkoa wa kagera. huu ndo muda muafaka wakufukua maandiko na tafiti mbalimbali,
anzeni na utafiti wa Malyamkono, kama zipo utafiti zingine zitafutwe ziwekwe kati halo ndo pakuanzia.

kama hakuna utafiti, ndo muda muafaka wa kufanya tafiti,
imagine miaka yote bado mnatengeneza pombe ya rubisi kwa kunyaga ndizi na miguu. watumie vijana wenu wasomi mechanical/ Chemical andprocessing engineers. waje na simple technology ya kutengeneza Banana wine/ Via/juice, then improve tech. mzalishe wine / Bia/ juice ya kiwango cha kuexport
 
kilimo cha ndizi tu. kinaweza wapa utajiri kuliko hayo madhahabu na tanzanite. nadhani mnanielewa mi nawaza kijajisirimali zaidi kuliko kulalamikia miccm mibogus
 
kilimo cha ndizi tu. kinaweza wapa utajiri kuliko hayo madhahabu na tanzanite. nadhani mnanielewa mi nawaza kijajisirimali zaidi kuliko kulalamikia miccm mibogus
Heko UDSM product. Kwa leo umenikosha, naitafuta ile tafiti ili nipitie kwanza
 
Itakuwa safi hii walau make toka machi mambo ni kama yalisimama kabisa

Kwani soko linalojengwa linahitaji kiasi gani na hao TIB wanatoa kiasi gani? Alafu mbona Kijuu alisema serikali imekubali kutoa pesa ya soko ama alimaanisha soko lipi kumbe?
 
Baraza la madiwani lililopita liliwaangusha wana Bukoba kwa kiasi kikubwa
 
Itakuwa safi hii walau make toka machi mambo ni kama yalisimama kabisa

Kwani soko linalojengwa linahitaji kiasi gani na hao TIB wanatoa kiasi gani? Alafu mbona Kijuu alisema serikali imekubali kutoa pesa ya soko ama alimaanisha soko lipi kumbe?
Nasikia ni zaidi ya billion 13 ili kujenga majengo hayo
7-300x218.jpg
7-1170x600.jpg
8-150x150.jpg
 
Back
Top Bottom