Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,057
- 7,611
Sijakusoma mkuu ..fwafwanua chidogo!Soko linajengwa na vyama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakusoma mkuu ..fwafwanua chidogo!Soko linajengwa na vyama
Unaweza kupitia kwenye website ya mkoa ukaangalia, zaid ya hapo na mm sina info zaidTupeni hata habari nzuri za mwenge jamani
Shana iwe nabomwanyu inywenka!Chei, ichwe abahaya twina amatatizo nikyo twikulemela nagemelelela owaitu. Titwikwegesibwa kuthamini omuka kwema tukyali bana
Katika ishu za maendeleo sikuwahi kuona komenti yako hata ya maneno mawili ...tunahitaji komenti zako kuhusu maendeleo ya mkoa wetu na sie tutafurahi sana kwa mchango wako. Usikwazike kwa lolote lile wala kuijiweka kando na mkoa wetu Kagera kwani unatuhitaji soteShana iwe nabomwanyu inywenka!
Kweli tupuWatafutiwe pengine hata kama ni viwanja vya maeneo ya bwalo la polisi kuelekea miembeni mbona kuna plots ziko wazi, kulitumia hilo eneo ni kumisuse na kuwakosesha wananchi pa kukutana na kufanya burudani kwenye mwambao wao wa ziwa. Tuchukulie mfano eneo la koko beach na walichotaka kulifanya, leo kila mmoja anapongeza maamuzi ya raisi alafu leo tunajitoa utimamu tena tunataka kurudia kosa lile lile.
Binafsi napeenda sana mkoa wetu uwe wa mfano lakini si kwa maamuzi ya hivi katu
Hii ni eishami ni kitu gani?Inatakiwa pia mpango wa kuondoa/ kuangamiza eishami; ni kero nyingine Bukoba
Ihungo inapendeza kweli yaani inaupamba mjiTupo sote tupo live ...tupe habari za ujenzi wa miundombinu hapo make tunajua ipo mingi tu kuanzia ihungo, barabara za W. Bank, stand n.k tupeni hata tupicha tulishe macho yetu
Ni mawazo mazuri sana sijui watayaonaNdugu Jimmy Karugenzi na viongozi wenzako mkoani Kagera, mojawapo ya ufumbuzi wa upanuzi na uboreshaji wa mji wa bukoba ni kulihamisha gereza la bkb mjini. Miji yote mikubwa na ya kisasa magereza hujengwa nje ya miji km. Butimba mwanza na segerea dsm. Gereza la bkb pale lilipo ni prime area sawa na mnazi mmoja dsm. Ni vema serikali ya mkoa ikashauriana na serikali kuu ili kutekeleza hatua hii kuacha lile eneo likajengwa chuo kikuu au complex ya biashara, makazi n.k
Nipo mkuuHuu Uzi ndo umekufa au hoja mpya za kuendeleza jiji letu ndo hakuna .
Cc Istanbul
Sasa sijui wamefikia wapKamati ya CCM ya Mkoa Kagera wametoa maagizo ya kusitisha ujenzi wa soko jipya na stendi kwa sababu haijashirikisha wananchi, kampuni ishawahi kunyooshewa kidole kwenye ubadhilifu. Source: kasibante fm
Ila Bk INA siasa nyingi ndo maana haiendeleiMarch 9, 2018 kimefanyika kikao cha bodi ya barabara {ROAD BOARD} mkoa wa Kagera, ambacho kimefanyika katika ukumbi wa mkuu wa mkoa uliopo manispaa ya Bukoba, ambapo imeibuka changamoto ambayo halmashauri inakumbana nayo juu ya Kampuni ya ujenzi MECCO.
Meya wa manispaa ya Bukoba Chief Kalumna amesema walipokea fedha za mradi wa barabara kutoka benki ya Dunia takribani Billion 6 na walitangaza zabuni ya ujenzi wa barabara hizo, kampuni ya ujenzi Mecco ilishinda katika mchakato huo lakini wameitwa kusaini mkataba wamekataa bila sababu zozote hali iliyopelekea manispaa kushindwa kutekeleza mradi kwa muda uliopangwa na kuamua kutangaza zabuni upya.
Kwa upande wake mkuu wa mkoa Kagera Meja Jeneral mstaafu Salum Kijuu amemuagiza Mkuu wa polisi Kagera kumkamata mkandarasi huyo na kumfikisha ofisini kwake akiwa na pingu ili aweze kueleza kwa nini amesababisha usumbufu huo
Vzrnaambiwa sasa hivi wanaweka sehemu za abiria kusubir gari
Mambo mazuri, nakukubali sana.Neema kagera ujenzi Wa chuo cha veta kuanza July bukoba wachina hao walikuwa bukoba kusurvey eneoView attachment 779417View attachment 779419View attachment 779420View attachment 779422View attachment 779423