Mjali sana baba yako au mama yako hata kama alikukimbia

Mjali sana baba yako au mama yako hata kama alikukimbia

Njoo huku kwetu..wakati unaweka Kidudu chako uliwahi kuwaza majukumu yatokanayo na kidudu na kitumbua huleta nini?
Unajua kuwa Baba huanzia huko kwa masihara masihara.

Tunakimbia sana majukumu na kuna baadhi ya wanawake wanateseka sana kwa malezi ya watoto tuliowakimbia.

Unakutana na Kijana miaka 22 ana mke na masega 5 na huko kote ana watoto..matunzo ya kulenga kwa Manati..mahitaji ya watoto unafanya kuchungulia kama tundu la Choo.

Mwanaume(Baba) kama vile Dudu inavyosimama, pambana kusimama kwa familia yako, na hata ikivunjika kazi kiume lea na tunza watoto wako Damu yako.
 
Baba ni baba tu ata kama alimkimbia mama yako. Sasa huu ujinga wakumthamini mmoja na kumtupa mwingine umeanza lini? Hakuna vya sperm donor au sperm maji always baba ni baba tu.

Tambua bila huyu unaye muita sperm donor wewe usingelikuja duniani, Yeye ndo kakufanya uwe duniani. Sasa mafanikio kidogo tu una muita baba yako sperm donor na wakati mwingine muwe mnauliza mama zenu sababu za baba zenu kukimbia pengine mama zenu ndo chanzo.

Nawashauri wazee wenzangu mtoto akikupiga chini na wewe mpige chini tu. Alafu muachie Mungu, Na yeye watoto wake watamtupa chini hatakama aliwajali na kuwathamini.

Always ubaya hujirudia. Samehe ili na wewe usamehewe. Ndo maisha yalivyo.
Kwa akili hizi za kimsukule ,ndio Maana CCM unaendelea kuongoza mbumbumbu Tanzania , Huu upumbav ulioandika hapa ukienda kuongea Kwa raia WA nchi nyingine wanakuzaba makofi kabisa .
Mpuuz wewe , yaani uzae umtelekeze mtoto halafu mwisho WA siku umesikia amefanikiwa kidogo ndio unaleta pumbu zako , aisee kama ni Mimi nakutoboa macho kabisa .
 
Baba ni baba tu ata kama alimkimbia mama yako. Sasa huu ujinga wakumthamini mmoja na kumtupa mwingine umeanza lini? Hakuna vya sperm donor au sperm maji always baba ni baba tu.

Tambua bila huyu unaye muita sperm donor wewe usingelikuja duniani, Yeye ndo kakufanya uwe duniani. Sasa mafanikio kidogo tu una muita baba yako sperm donor na wakati mwingine muwe mnauliza mama zenu sababu za baba zenu kukimbia pengine mama zenu ndo chanzo.

Nawashauri wazee wenzangu mtoto akikupiga chini na wewe mpige chini tu. Alafu muachie Mungu, Na yeye watoto wake watamtupa chini hatakama aliwajali na kuwathamini.

Always ubaya hujirudia. Samehe ili na wewe usamehewe. Ndo maisha yalivyo.
Mlivyo wapuuzi ,mnazaa watoto mnawatelekeza bila kuwapa matunzo na malezi wanaishia kuwa vibaka ,watoto WA mitaani na watu WA ovyo na kutengeneza kizazi na jamii ya ovyo .
Hivi Huu upumbav ulioandika hapa unajua social consequences zake
Ndio Maana nchi kama USA ,China NK child support ni mandatory wala sio mjadala , kuna watu ni wapumbav Sana hasa nchi za kIAfrixa ,unazaa mtoto unamtelekeza ,unataka Nani amtunze badala yako ?
Mnaishia kuleta mizigo Kwa serikali ,pumbav
Mi siku nikiwa Rais baweka Sheria Kali kabisa kukomesha Huu utaahira na unges£ .
Unapozaa mtoto wajibika 100 percent .Nyie ndio mnatuzalia panya roads nyie wajinga
 
Kuzaa sio tatizo usipojali watoto au mtoto karma lazima ifanye kazi yake duniani ,hakuna kitakachotokea kwa mtoto hayo ndo malipo ya hapa hapa duniani.

Hukulazimishwa kuzaa ni ngono tu za kishenzi huwezi kuhudumia tulia usidanganye watu.
 
Watu wanafiki sanaaa ya baba hajajua makuzi yangu kwa miaka 30 af nimeshakua kijana ndo ajitokeze si ujinga huo kama kuna dhambi za bora zinikumbe aisee
 

Ndo ushangae mi bond ya kukupenda tumetengeneza Saa ngapi sasa [emoji28]
 
Mzazi mwenye akili huwa alipi kisasi hata mtoto akimtenda.
 
Wanawake ugomvi wao uwaingiza watoto hata kama wao ndio chanzo cha kukimbiwa,
 
wapo Wanawake uwanyima watoto haki ya kuwa karibu na baba zao. Yaani hata ukipeleka matumizi hayapokelewi au unatupiwa chini, na mtoto umuoni miaka.
Wanawake wanapolaumu wawe wanabalance story pia
 
Sheria itungwe ukitungisha mimba na uwajibike kuilea hadi miaka 18,hii itaepusha wahuni kutunga hovyo mimba na kutelekeza.
 
Ukishaoa ndo utaelewa wakati mwingine baba alikuwa right, kuna watu wengine ni mashetani ngumu kuishi nao
 
Asilimia kubwa ya watoto wamesomeshwa na Baba zao lkn wanaofaidi matunda zaidi ni wamama. Je hapo ibadilike mama ndo awe responsible utasoma namba zote....
 
Back
Top Bottom