Mwinyi_tza
Member
- Oct 9, 2018
- 23
- 5
Wakuu poleni na Majukumu, hivi Mama mjamzito kutokwa Majimaji yasio na harufu au damu kiasi inaweza kuathiri ujauzito Usiendelee kukua....hasa mimba changa?
Tatizo hili limemtokea shemeji yangu
Alipima ultra sound Mara ya kwanza ikaonekana ujauzito una wiki Sita baada ya Miezi moja akaenda kupima tena Ujauzito ikaonekana ume drop hadi wiki nne.
Je hapo kitalaamu imekaaje?
Tatizo hili limemtokea shemeji yangu
Alipima ultra sound Mara ya kwanza ikaonekana ujauzito una wiki Sita baada ya Miezi moja akaenda kupima tena Ujauzito ikaonekana ume drop hadi wiki nne.
Je hapo kitalaamu imekaaje?