Mjamzito kuumwa kiuno inasababishwa na nini na matibabu yake, Naombeni msaada please?

Mpe Pole Ni kawaida kwasababu ya kusupport uzito WA mtoto,Mimi niliumwa kiuno na haswa upande wa kushoto mpka mguu kunyanyua ilkuwa kazi naburuza, Kuwa mama sio mchezo mwambie avumilie
 
Mpe Pole Ni kawaida kwasababu ya kusupport uzito WA mtoto,Mimi niliumwa kiuno na haswa upande wa kushoto mpka mguu kunyanyua ilkuwa kazi naburuza, Kuwa mama sio mchezo mwambie avumilie
Mkuu mke wangu tumbo linauuma, inaweza kuwa sababu ya ujauzito pia? Kiuno pia huwa kina muuma
 
hesabu rahis tu uzito unaongezeka !na itazid sana akifika 7 months !kwakweli sipend ht kukumbuka !apumzike vya kutosha
 
Mpe Pole Ni kawaida kwasababu ya kusupport uzito WA mtoto,Mimi niliumwa kiuno na haswa upande wa kushoto mpka mguu kunyanyua ilkuwa kazi naburuza, Kuwa mama sio mchezo mwambie avumilie


hahahaha aisee !mie nilipojifungua mguu wa kushoto ulikufa kbs ganz km miez 2 nikawa natembea kama gari imekata centreborit !dah !
 
hahahaha aisee !mie nilipojifungua mguu wa kushoto ulikufa kbs ganz km miez 2 nikawa natembea kama gari imekata centreborit !dah !
Mie sitaki kukumbuka natoka labour najiburuza nawaza sijui ndo ntabakia hivi hivi wakaniambia utakuwa vizuri siamini kabisa ila baada ya muda mzima kabisa, Shikamoo Mimba
 
Aithee Hongera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…