Mjamzito mie leo nilikuwa na hamu ya kula vitumbua....

Mjamzito mie leo nilikuwa na hamu ya kula vitumbua....

Kwa hali yangu hii ya ujauzito, leo nimeamka na hamu kubwa ya kula vitumbua.
Nimepita kwa mama mchoma vitumbua (vizuri sana), nimemsalimia, hakuitikia, nikaona isiwe shida. Kwa kuwa najua bei ya vitumbua ni Tshs.200/= kwa kitumbua kimoja sikuwa na haja ya kuuliza bei bali nikamwambia anipatie vitumbua viwili (2), akanijibu tena bila kuniangalia usoni, "S I U Z I". Nikabaki mdomo wazi, kwa pembeni alikuwepo kijana akanionea huruma, akaniambia kuwa hivyo vitumbua vyote nimevinunua napeleka hotelini. Nikamwambia basi niuzie kwa bei ya hotelini, akakubali akaniuzia vitumbua 2 kwa Tshs.1,000/=.

Hivi wafanya biashara ndogondogo wa jiji letu hili la Mongela kwanini mnakuwa na lugha ambayo haina mvuto kwa mteja? Nimebaini hilo tatizo siku nyingi, watu wa huku akiona biashara yake imeshamiri anakuwa na kiburi kwa wateja, hawajui kumshikilia mteja mpaka point ya mwisho.

Elimu ya Ujasiriamali hasa kipengele cha kutafuta masomo, kubuni mradi, kumhudumia mteja ni muhimu sana kwa watu hawa.

Hii habari nitaiendeleza baadae ngoja kwanza nimuone Dr. anipime mapigo ya mtoto wangu tumboni.
Elewa hali ya mwenzako, ana hasira za kunyonywa! Imagine unga wake, mafuta yake, hamira yake, mkaa wake na vitendea kazi vingine vyote vyake ila kila kitumbua anakiuza kwa 200/=. Mwingine yeye gharama yake ni usafiri tu, kitumbua hicho hicho anakiuza 500/= yaani anapata faida kama asilimia 150 kwa kitumbua. Si ajabu huyo mama kupata ghadhabu.
 
Elewa hali ya mwenzako, ana hasira za kunyonywa! Imagine unga wake, mafuta yake, hamira yake, mkaa wake na vitendea kazi vingine vyote vyake ila kila kitumbua anakiuza kwa 200/=. Mwingine yeye gharama yake ni usafiri tu, kitumbua hicho hicho anakiuza 500/= yaani anapata faida kama asilimia 150 kwa kitumbua. Si ajabu huyo mama kupata ghadhabu.
Mwanza na sehemu zingine kanda ya ziwa huwa lugha yao kwenye biashara haina mvuto kwa mteja.
 
Ngoja nikuweke ignore list maana kuna comment kule nilikujibu kuwa uache kuja ma ID lundo humu JF. Wewe ni HR 66, The List, Joji pola, Yeezus, CURRICULUM, sasa Jumapili umefungua tena hii teketeke. Halafu kule nilikuambia hivi, katika watu ninaowachukia JF wewe ni namba moja, NAKUOMBEA UFE. Sijawahi kumuombea mtu kifo, lakini wewe nakuombea ugongwe na gari hata muda huu ufe hapo hapo hapo. NAKUCHUKIA SANA HR 66 ambaye kwa sasa umejiita teketeke
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

MIMBA YAKO NAONA INAMCHUKIA JAMAA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

MIMBA YAKO NAONA INAMCHUKIA JAMAA

Sent using Jamii Forums mobile app
hahaaha, mimba huwa hazichukii mtu, wajawazito wanajiendekeza tu. hahahahahaah
 
Back
Top Bottom